Featured
Ili kufanikiwa na kupata unachokitaka badili hiki kwanza

Ili kufanikiwa na kupata unachokitaka badili hiki kwanza

Mpendwa rafiki, Heri ya mwezi mpya. Mazingira yanamchango mkubwa sana kwenye mafanikio yako. Kile unachokitaka, kile unachokipata kwa namna moja ama nyingine kinaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka. Unataka kupunguza uzito? Angalia mazingira yanayokunguka; utaona ni kwa namna gani yanachangia wewe kuwa na uzito uliopitiliza. Marafiki wanokuzunguka, urahisi wa upatikanaji wa vyakula vinavyochangia wewe kupata uzito uliopitiliza n.k. Sasa ili uweze kufanikiwa kuwa na uzito unaoutaka au unaotakiwa unapaswa kupunguza uzito. Mfano; Ili kupunguza uzito umejiwekea utaratibu wa kula karoti kila siku….

Read More Read More

Featured
Maeneo manne ya kuweka malengo ili upige hatua mwaka 2024

Maeneo manne ya kuweka malengo ili upige hatua mwaka 2024

Kwako rafiki mpendwa, Heri ya mwaka mpya 2024. Tayari siku ya kwanza ya mwaka 2023 imeshakatika, je kuna kitu chochote cha tofauti ulichofanya jana kuliko ulivyofanya juzi yaani mwaka 2023? Ni muhimu kukumbuka kuwa kinachobadilika huwa ni namba tu, kama hutabadili fikra na akili zako. Mwaka mpya kwako utakuwa ni jina tu. Sasa ushauri wangu kwa mwaka huu mpya ni kuwa na malengo makubwa, kuliko uliyokuwa umeweka mwaka jana. Unapoweka malengo yako mapya, hakikisha unaweka malengo kwenye maeneo haya manne…

Read More Read More

Featured
Heri ya Krismas na mwaka mpya 2024

Heri ya Krismas na mwaka mpya 2024

Mpendwa rafiki, Unaweza Investment inawatakia heri ya Krismass na mwaka mpya 2024. Karibu sana tuendelee kuwa pamoja kwa mwaka 2024. Habari njema ni kwamba, vitabu vyetu pendwa vipo kwenye punguzo kubwa kabisa wakati huu wa sikuku. Jipatie vitabu vya 1. Unaweza Kuwa Unayemtaka kwa 10000/=, 2. Itawale hofu yako kwa 10000/=, 3. Ndoa si ndoano kwa elfu 10000/=. Jumla utalipa elfu 30 tu badala ya elfu 40. Piga 0655046577/0789353877 utaletewa ulipo. Pia Unaweza kujiunga na kundi letu la WhatsApp https://chat.whatsapp.com/LwoojycUxgpE11qCQLcosa…

Read More Read More

Featured
MIAKA 8 YA NDOA NA MAMBO 8 NILIYOJIFUNZA KUHUSU NDOA

MIAKA 8 YA NDOA NA MAMBO 8 NILIYOJIFUNZA KUHUSU NDOA

Mpendwa rafiki, mwezi huu wa 12 imetimia miaka 8 toka nilipofunga ndoa. Hapa kuna mambo 8 niliyojifunza kuhusu ndoa. Je, wewe ni namba ipi hapo juu imekugusa moja kwa moja? Kitu kimoja zaidi, ili kujifunza na kupata maarifa zaidi pata nakala ya kitabu NDOA SI NDOANO ili ndoa kwako isiwe ndoano. Habari njema ni kwamba leo utalipia Sh. 15000/= badala ya kulipa 20,000/=. Ofa hii inaisha leo. Pia nakala zimebaki chache. Lipa kwenda 0768497747 au piga 0655046577/0789353877. Pia Unaweza kujiunga…

Read More Read More

Featured
Mwanamume kuwa makini na hiki kitu

Mwanamume kuwa makini na hiki kitu

Mpendwa rafiki, Mwanamume ni kama simba anayemfukuzia swala, pale swala anaposimama na asiendelee kukimbie simba naye atasimama. Maana yake ni kwamba, wakati mume wako anakuoa, ulikuwa unaonekana mtanashati kila wakati, ulikuwa unajilemba na kujipamba. Ulikuwa msafi, na mwenye muonekano wa kumvutia na hivyo kumshawishi mpaka akakuoa, sasa umeshaolewa, umeshazaa umeacha kuwa kujilemba nakujipamba maana yake, na mume wako ataacha kushawishika na kuvutiwa na wewe. Madhara yake huwa ni makubwa sana kwani hupelekea wanandoa wengi kuingia kwenye migogoro. Utamsikia mwanamke anasema…

Read More Read More

Featured
Je unayajua mahitaji yako na ya mwenza wako kwenye mahusiano?

Je unayajua mahitaji yako na ya mwenza wako kwenye mahusiano?

Mahitaji yasiyotimizwa au kutimia huwa ni chanzo cha mfadhaiko na kukata tamaa kwa watu wengi kwenye mahusiano. Hivyo kitu cha muhimu kabisa ni mahitaji kutimia na kutimizwa kwenye mahusiano. Je, wewe huwa unatimiza mahitaji ya mwenza wako kwenye mahusiano ya ndoa?Je, mwenza wako je naye huwa anatimiza mahitaji yako? Je unajua mahitaji haswa ya mwenza wako? Kwenye kitabu KIPYA cha Ndoa si ndoano utajifunza kanuni ya mahitaji ya mwanamke na mwanamume kwenye mahusiano ya ndoa. Lipa sasa elfu 20 kwenda…

Read More Read More

Featured
Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Mpendwa rafiki, Watu huingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu mbalimbali. Wengine huingia kwa sababu nzuri na sahihi huku wengine wakiingia kwa sababu mbaya, za hovyo na zisizo sahiihi kabisa. Hapa tuna kwenda kujifunza sababu nane zisizofaa, na zisizo na afya kwa wewe kuingia kwenye ndoa. 1. Matarajio ni hatari kuingia nayo kwenye ndoa na mahusiano Matarajio siyo sawa na mahitaji. Kutarajia chochote kutoka kwa mwenza wako ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako, kwani matarajio yasipotimizwa huo ndiyo mwisho…

Read More Read More

Featured
Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Mpendwa rafiki, Watu huingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu mbalimbali. Wengine huingia kwa sababu nzuri na sahihi huku wengine wakiingia kwa sababu mbaya, za hovyo na zisizo sahiihi kabisa. Hapa tuna kwenda kujifunza sababu nane zisizofaa, na zisizo na afya kwa wewe kuingia kwenye ndoa. 1. Matarajio ni hatari kuingia nayo kwenye ndoa na mahusiano Matarajio siyo sawa na mahitaji. Kutarajia chochote kutoka kwa mwenza wako ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako, kwani matarajio yasipotimizwa huo ndiyo mwisho…

Read More Read More

Featured
KWA NINI HAUPATI KILE UNACHOKITAKA AU HAUWI YULE UNAYEMTAKA?

KWA NINI HAUPATI KILE UNACHOKITAKA AU HAUWI YULE UNAYEMTAKA?

Kwako mpendwa rafiki; Miaka kumi iliyopita nilikuwa nataka kuwa mwandishi wa vitabu vya hamasa! Ndiyo! Vitabu vya kuhamasisha wengine kubadili namna ya kufikiri na kupiga hatua kwenye mafanikio na maisha yao. Basi, nikiwa shule ya sekondari nilikuwa nikiandika makala mbali mbali za kuelimisha na kutoa hamasa kwa wengine. Kwa ufupi, nilikuwa najua nataka nini. Nataka kuwa nani. Lakini bado sikuweza kuwa mwandishi wa vitabu. Sikuwa najua namna ya kuwa ninayemtaka na kupata ninachokitaka. Mhhh hebu subiri kwanza; kwani wewe unajua…

Read More Read More

Featured
MAMBO 10 YANAYOKUZUIA KUPIGA HATUA KWENYE MAHUSIANO NA MAFANIKIO YAKO 2

MAMBO 10 YANAYOKUZUIA KUPIGA HATUA KWENYE MAHUSIANO NA MAFANIKIO YAKO 2

Kwako mpendwa rafiki Jana tulijifunza mambo matano kati kumi ambayo hankuzuia wewe kupiga hatua kwenye mahusiano na mafaniko yako. Leo tunaangazia mambo mengine matano. Unaweza kusoma hapa kama ulipitwa na makala hiyo 6. Kujithibitishia uhalali wa jambo au tendo(Justification). Hiki ndicho chanzo cha mambo yote mabaya, dhambi zote, matendo yasiyofaa ambayo mtu anaweza kujifanyia au kimfanyia mwingine. Kabla mtu hajafanya kosa, dhambi au kitendo kiovu, lazima atajipa uhalali wa kukifanya ndipo atakifanya. Hii inatokana kufikiria vibaya kwa kujihesabia haki, kujipa…

Read More Read More

Featured
Mambo 10 yanayokuzuia kupiga hatua kwenye mahusiano na mafanikio yako

Mambo 10 yanayokuzuia kupiga hatua kwenye mahusiano na mafanikio yako

Kwako mpendwa rafiki, Hapa kuna mambo kumi ya kuepuka ili uweze kupiga hatua kwenye mahusiano na mafaniko yako. Unapaswa kuyaepuka kwa namna na kwa gharama yeyote ile. Leo tutaangalia mambo matano na kesho tutamalizia mambo mengine matano. 1. Kujiweka upande wa mhanga au mwathiriwa wakati wote. Unakuwa unajisikia wewe ni muhanga na mwathiriwa wa kila mtu hata kama watu hao hawana nia wala lengo la kukuumiza. Wewe ndiye unakuwa unajiweka upande wa kushindwa tu. Epuka mara moja kujituhumu, kujihukumu na…

Read More Read More

Featured
Mambo sita ya kuzingatia kwenye maisha yako ili uwe mkuu

Mambo sita ya kuzingatia kwenye maisha yako ili uwe mkuu

Kwako mpendwa rafiki, Watu wengi huwa hawaijui siri hii. Unatakiwa uwe mtumwa wa kipaji, kazi na kusudi lako kama unataka kuwa mkuu. Ninaposema unakuwa mtumwa, nina maana kwamba wewe utaamka mapema kuliko wenzako ili kukitumikia kipaji, kusudi au kazi yako hiyo. Na pia utalala wa mwisho, na kuamka wa kwanza ili kuhakikisha unakitumikia kipaji chako, kazi yako na kusudi lako. Mtu yeyote anayetaka kuwa mkuu, lazima akubali kuwa mtumwa wa kipaji, kazi na kusudi lake. Hii ni kanuni ya asili,…

Read More Read More

Featured
Je unafahamu tofauti hii kati ya Mwanamke na Mwanamume na jinsi ya kuitumia kwenye mahusiano yako?

Je unafahamu tofauti hii kati ya Mwanamke na Mwanamume na jinsi ya kuitumia kwenye mahusiano yako?

Rafiki, iko hivi; Wanamume huwa wanaangalia mambo ya mbele, Wanawake huwa wanakumbuka na kuangalia mambo ya nyuma. Hii ni tofauti muhimu sana kuijua na kuifahamu kama unataka kuwa na ndoa yenye furaha, amani na upendo. Pale kunapokuwa na changamoto yeyote au kutokuelewana kwenye mahusiano kati ya mwanamke na mwanamume, unapaswa kujua kwamba, mwanamume huwa anataka tatizo hilo liishe na anataka kusonga mbele, huku mwanamke yeye anataka kuyaongelea mambo yote ya nyuma yanayohusiana na tatizo hilo. Nakumbuka siku moja nipo kwenye…

Read More Read More

Featured
Kwa nini kitabu cha Ndoa si ndoano ni muhimu kwako?

Kwa nini kitabu cha Ndoa si ndoano ni muhimu kwako?

Mpendwa rafiki, Kama unataka kuwa na mahusiano na ndoa bora, yenye furaha, amani na kudumu basi unatakiwa uwekeze kwenye uelewa. Uelewa juu yako wewe, juu ya mtu unayehusiana naye, lakini pia uelewa wa mahusiano ya ndoa. Unapaswa kuelewa mahitaji ya mwenza wako, matarajio yake kwako, na ndoa kwa ujumla, na ndiyo sababu ya uwepo wa kitabu hiki cha Ndoa si ndoano. Kitabu hiki kina kupa uelewa kwamba upendo pekee haufanyi ndoa kudumu bali kanuni ya maarifa, uelewa na hekima. Ili…

Read More Read More

Featured
Je mahusiano yako umeyajenga kwenye msingi upi?

Je mahusiano yako umeyajenga kwenye msingi upi?

Mpendwa rafiki, Je wewe umejenga mahusiano yako kwenye msingi upi? Unafikiri yanaweza kudumu? Vipi pale mnapopitia changamoto huwa mnazitatuaje? Rafiki, usijenge mahusiano yako ya ndoa kwa kutegemea uzuri wa mwili, uzuri huwa haudumu. Nywele hubadilika, rangi ya ngozi hufubaa na kusinyaa. Kuona kunapungua, kusikia nako kunapungua. Meno hung’ooka na mwili hupungua au kuongezeka. Kama ndoa na mahusiano yako umeyajenga kwenye uzuri na muonekana wa mwili, je utafanya nini vikipotea? Usijenge ndoa na mahusiano yako kwa kutegemea tendo la ndoa. Kadili…

Read More Read More

Featured
Ukiona sifa hizi kwenye mahusiano, jua siyo mtu sahihi kwako

Ukiona sifa hizi kwenye mahusiano, jua siyo mtu sahihi kwako

Kwako mpendwa rafiki, Nimekuwa nikipokea maswali mengi kutoka kwa watu wengi hasa vijana ambao hawajaingia kwenye ndoa, je wanaweza je kujua kama mtu waliyenaye kwenye mahusiano ni mtu sahihi kwao? Nafahamu fika kabisa, kwamba kuna changamoto kubwa sana linapokuja suala la kuchagua na kujua mtu sahihi wa kuingia naye kwenye ndoa. Ni vigumu kwa sababu binadamu hubadilika kutokana na mazingira fulani anayokutana nayo. Mfano mwanamume anaweza kumchukulia (kumtreat ) mwanamke tofauti kutokana na mwanamke husika anavyojiweka. Anaweza kukunyima wewe elfu…

Read More Read More

Featured
Mambo matatu ya kuzingatia wakati wa kuchagua rafiki au mwenza wako

Mambo matatu ya kuzingatia wakati wa kuchagua rafiki au mwenza wako

Hakuna kitu kigumu kama kujua mtu unayehusiana naye kwenye mahusiano ya kimapenzi anakufaa au ni mtu sahihi kwako. Kuna sifa na tabia ambazo huwa ni muhimu kuziangalia kabla ya kuanza mahusiano yoyote yale. Kabla ya kuingia na mtu kwenye mahusiano yoyote yale ni muhimu kumchunguza, kumhukumu na kujua kama kweli atakuwa sahihi kwako. Watu wengi huwa hawaweki nguvu kwenye kuchunguzana na kujuana kabla ya kuingia kwenye mahusiano au urafiki. Wanakutana leo, kesho ni marafiki au wapenzi walioshibana. Baada ya muda…

Read More Read More

Featured
Nitajuaje kama mtu huyu ni sahihi kwenye mahusiano yangu?

Nitajuaje kama mtu huyu ni sahihi kwenye mahusiano yangu?

Kwako rafiki mpendwa, Moja ya changamoto kubwa sana kwenye mahusiano ni kujua kama mtu uliyenaye ni sahihi kwako ama la. Ni muhimu kujua kwani hakuna kitu kibaya kama kuingia kwenye ndoa au mahusiano na mtu asiye sahihi kwako. Si unaukumbuka msemo wa wahenga kosea njia usikosee kuoa au kuolewa? Bila shaka unaukumbuka; ukikosea kuoa au kuolewa madhara hayaishii kwako tu, bali huwaathiri na watu wako wa karibu. Hivyo karibu uendelee kujifunza hapa. Kama ulipitwa na makala zilizopita tuliangalia mambo au…

Read More Read More

Featured
Wewe fanya kazi, badala ya kusubiri hiki

Wewe fanya kazi, badala ya kusubiri hiki

Kwako mpendwa rafiki, unayesubili mpaka upate ajira ndipo uanze kufanya kazi. “Kaka mimi ni kijana wa umri wa miak 25 nimemaliza kidato cha 4 Kilombero sec kwa bahati mbaya nikafeli, nipo mtaani huu mwaka wa 6 sasa lakini hakuna ninachofanya kaka. Nimesoma kitabu chako jana tena hapa Chalinze lakini mimi mtoto wa Ifakara hapo V/60 hospital ya Cancer nikaona nikutafute bro labda nitapata msaada wowote toka kwako hata wa ushauri tu kaka” Huu ni ujumbe niliopokea kwenye simu yangu wiki…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho kinafanya mahusiano ya ndoa kudumu

Hiki ndicho kinafanya mahusiano ya ndoa kudumu

Kwako mpendwa rafiki uanyejiuliza ni nini hasa kinachofanya mahusiano ya ndoa kudumu na nini ufanye ili mahusiano yako yaweze kudumu. Jana nilikuletea ushauri kutoka kwa Mzee Sahani, pamoja na ushauri alioutoa kwangu “Mjue mwenza wako vizuri na ishi naye vizuri kwenye ndoa”, kuna jambo kubwa la kujifunza katika kauli hii hasa kinachofanya ndoa iweze kudumu, unaweza kuisoma hapa makala ya hiyo. Rafiki, mafanikio yoyote kwenye mahusiano ya ndoa yanatokana na wanandoa kujuana vizuri na kuishi vizuri kwenye ndoa yao. Watu…

Read More Read More

Featured
Je unamjua vizuri mwenza wako kwenye mahusiano yako?

Je unamjua vizuri mwenza wako kwenye mahusiano yako?

Kwako mpendwa rafiki, “Mjue mwenza wako vizuri na ishi naye vizuri kwenye ndoa” Ulikuwa ni ushauri alionipa mzee Sahani, Mwalimu mstaafu baada ya kukutana naye na kutaka kujua kwa undani maisha yake ya mahusiano ya ndoa yalikuwa je. Lengo la kukutana naye ilikuwa ni kujua kutoka kwake, sababu zilizomfanya akaoa wake kumi na wawili kwa wakati tofauti tofauti katika maisha yake ya mahusiano ya ndoa. Katika maisha yake ya ndoa, alikuwa akioa mwanamke anakaa naye mwaka mmoja au miwili anaachana…

Read More Read More

Featured
Sababu gani imekufanya uingie au utarajie kuingia kwenye mahusiano ya ndoa?

Sababu gani imekufanya uingie au utarajie kuingia kwenye mahusiano ya ndoa?

Kwako mpendwa rafiki, Ni ukweli kwamba, sababu za watu kuingia kwenye ndoa huwa ziko nyingi sana, inategemea na wahusika wenyewe. Kuna wanaoingia kwa sababu za msingi kabisa, lakini pia wapo wanaoingia kwa sababu za hovyo kabisa. Matokeo yake ndoa hizo hazidumu na haziwi na furaha upendo na amani. 1. Kuoa au kuolewa kwa sababu ya kuondoka kwenye mikono ya wazazi. Huwezi amini kwamba, kuna baadhi ya vijana huingia kwenye ndoa kwa hasira na kuwa komoa wazazi wao. Wanataka kuondokana na…

Read More Read More

Featured
Mtu wa namna hii usiingie naye kwenye mahusiano ya ndoa

Mtu wa namna hii usiingie naye kwenye mahusiano ya ndoa

Kwako mpendwa rafiki, Najua unaendelea kutafuta mtu wa kufanana na wewe ili uingie naye kwenye mahusiano ya ndoa. Je unajua ni kwa namna gani mtu ulieyenaye ni mtu sahihi kwako? Je utajua je sasa? Usiwe na wasiwasi, kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya kumjua mtu sahihi kwako wa kuingia naye kwenye ndoa basi soma hapa. Leo tunaendelea na sifa na tabia ambazo ni ishara kwamba mtu huyo siyo mtu sahihi kwako. 4. Anaua kujiamini kwako. Kama mtu uliyenaye kwenye…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kumjua mtu sahihi kwenye mahusiano yako

Jinsi ya kumjua mtu sahihi kwenye mahusiano yako

Kwako mpendwa rafiki, unayepambana kupata mwenza sahihi kwenye mahusiano yako. Najua swali unalojiuliza sasa nitajuaje kama mtu ninayedate naye ni mtu sahihi kwangu kuingia naye kwenye ndoa? Habari njema ni kwamba hapa tunaendelea kujifunza tabia na sifa ambazo watu wasio sahihi kwako walivyo na ishara ya kwamba usiingie nao kwenye mahusiano serous ya ndoa. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia, zisome hapa na hapa. Leo tunajifunza sifa na tabia nyingine, ambazo ni ishara kwamba siyo watu sahihi kwako kuingia nao kwenye…

Read More Read More

Featured
Mtu wa namna hii usiingie naye kwenye mahusiano ya ndoa

Mtu wa namna hii usiingie naye kwenye mahusiano ya ndoa

Kwako mpendwa rafiki unayepambana kupata mwenza sahihi kwenye mahusiano yako. Hapa tunaendelea kuangalia tabia na sifa za watu wasiofaa kuingia nao kwenye ndoa au mahusiano yako. Kama ulipitwa na makala ya jana unaweza kuisoma hapa. Leo tuendelee na sifa ya pili, ambayo ni; kujiweka kwako kwa haraka. Mtu yeyote anayeingia kwenye mahusiano na wewe, kisha ndani ya wiki moja au mbili anakwambia anakupenda, anataka kukuoa au kuolewa na wewe, usiingie naye kwenye ndoa kwa haraka. Iko hivi rafiki yangu, watu…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kumjua mtu sahihi kwenye mahusiano yako

Jinsi ya kumjua mtu sahihi kwenye mahusiano yako

Kwako rafiki mpendwa unayepambana kupata mtu sahihi kwako wa kuingia naye kwenye ndoa au mahusiano. Kama unavyojua, asilimia kubwa ya mahusiano mengi huanza na fungate, furaha na amani, huku mtu uliyenaye akikuonesha upendo, kujali na hata upole wa hali ya juu. Hali hii huwafanya watu wengi wasijue mapema wanajihusisha na mtu wa namna gani kwenye mahusiano yao hayo, mpaka pale mambo yanapowaendea vibaya ndipo hushtuka na kujikuta wako kwenye mtego na hawawezi kutoka. Kama unavyojua mahusiano ya kimapenzi ni mazuri…

Read More Read More

Featured
Je ? Endapo tayali mmeshapata watoto na wanaishi na mmoja wapo na kila baada ya muda hasa likizo watoto huenda upande wa pili je hapa unawezaje kukata mawasiliano?

Je ? Endapo tayali mmeshapata watoto na wanaishi na mmoja wapo na kila baada ya muda hasa likizo watoto huenda upande wa pili je hapa unawezaje kukata mawasiliano?

Kwako mpendwa rafiki unayepambana kupona kutoka kwenye taraka au kuachana. Hapa kuna mdau na msomaji wa makala zetu, ambaye ameuliza swali zuri sana, na majibu yake ndiyo tunakwenda kuyajadili hapa. Kaka Felician Tumsifu Yesu KristoNaitwa Emmanuel Kutoka DsmNina swali kwakoKatika MtandaoUmezungumzi mambo mawili ya kufanya baada ya Talaka1: Kuondoka Eneo la zamani ambalo linaweza sababisha kuonana tena 2:Kukata mawasiliano.Hapa ndipo nina swaliJe ? Endapo tayali mmeshapata watoto na wanaishi na mmoja wapo na kila baada ya muda hasa likizo watoto…

Read More Read More

Featured
Upendo na imani ni siri ya mafaniko yako

Upendo na imani ni siri ya mafaniko yako

Kwako mpendwa rafiki unayepambana kupata kile unachotaka lakini haupati. Leo na kupa siri mbili muhimu katika mfululizo wa funguo muhimu za mafaniko yako. Tayari tulishaangalia funguo nne na siri zake kwenye makala zilizopita, kama vile kuwa mtumwa wa kipaji, kazi na kusudi lako, msamaha, kutoa pamoja na kuongea. Leo tumalizie hizi funguo mbili na siri zake ili uweze kufanikiwa kwenye maisha yako na kupata kile unachotaka nazo ni kupenda pamoja na kuwa na imani. Upendo. Upendo ni muhimu sana kwenye…

Read More Read More

Featured
Kuongea au kusema ni siri ya mafanikio yako

Kuongea au kusema ni siri ya mafanikio yako

Kwako mpendwa rafiki unayepambana kupata kile unachotaka kwenye maisha yako. Leo tunajifunza siri moja wapo muhimu sana kwenye mafaniko yako. Siri hiyo ni kuongea au kusema. Katika kufanikiwa kwenye kile unachokifanya kuna siri moja muhimu sana amabayo watu wengi huwa hawaijui. Siri hii ni kuongea au kusema. Huwezi kupata chochote kwenye maisha au kwenye dunia hii mpaka useme, uongee au uoneshe unataka nini. Hii inatokana na ukweli kwamba nyuma ya maeneo huwa kuna nguvu inayofanyia kazi maneno hayo. Kama unajisemea…

Read More Read More

Featured
Utoaji ni ufunguo wako wa mafanikio

Utoaji ni ufunguo wako wa mafanikio

Kwako rafiki unayepambana kuwa mtoaji lakini unashindwa, na hata haujui utoe nini na kwa nani. Leo tujifunze moja ya ufunguo muhimu sana kwenye maisha ya mahusiano na mafanikio yetu. Utoaji. Mtu yeyote anayetaka kufanikiwa lazima awe mtoaji. Ndiyo lazima awe mtoaji. Na ili utoaji uweze kukamailika lazima mpokeaji apokee zawadi hiyo. Yaani kwa lugha nyingine ni kuwa utoaji haukamiliki bila mpokeaji. Unaweza ukatoa, zawadi, msaada na hata sadaka zako, lakini kama unayempa hatozipokea basi utoaji unakuwa haujakamilika na ni vigumu…

Read More Read More

Featured
Msamaha ni ufunguo wako wa mafanikio

Msamaha ni ufunguo wako wa mafanikio

Kwako mpendwa rafiki, unayepambana na kushindwa kusamehe. Na kwa sababu ya kutokusamehe na kuachilia huko, unashindwa kupata mafanikio unayoyataka. Leo tujifunze kanuni muhimu sana ya mafanikio kwenye mahusiano na maisha yako. Iko hivi rafiki yangu, msahamaha ni siri moja wapo kwenye mafanikio yako. Ni siri kwa sababu wengi huwa hawajui maana na nguvu ya msamaha. Msamaha si kwa ajili ya yule aliyekukosea bali kwa ajili ya wewe uliyekosewa. Ni kwa ajili yako. Unapoamua kumsamehe mtu siyo kwa ajili yake, bali…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo siri pekee itakayokufanya kuwa mkuu

Hii ndiyo siri pekee itakayokufanya kuwa mkuu

Kwako mpendwa rafiki unayefikiria na kuwaza kwamba utapateje mafanikio, utakuwa je mtu mkubwa au mkuu kwenye kile unachokifanya? Hapa leo ninakupa siri hii bure kabisa, ni siri ambayo ni watu wachache sana wanaoijua, na ndiyo hao walio na mafanikio katika kile wanachokifanya. Naomba nisikuchoshe, najua unatamani sana kuijua! Siri hii ni: Kuwa mtumwa wa kipaji, kazi au kusuudi lako. Ndiyo, umesoma vyema! Ilikuwa mkubwa kuliko wote, ili kuwa na mafanikio makubwa ni lazima uwe mtumwa wa wengine. Unatakiwa utumike. Haijalishi…

Read More Read More

Featured
Ndoa kwako inamaana gani?

Ndoa kwako inamaana gani?

Kwako rafiki mpendwa uliyeko kwenye ndoa au yule unayetarajia kuingia kwenye ndoa. Moja ya changamoto kubwa kwenye mahusiano ya ndoa ni kwa wanandoa au wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa ni kutokufahamu ndoa kwao inamaana gani. Hali hii hupelekea makosa na kufanyiana visa, vitimbwi na kila aina ya visa kwa wanandoa. Ni muhimu kufahamu kuwa, ndoa ni chombo cha kuwafikisha kule mnakotaka kwenda. Ni kama boti inayotakiwa kuwavusha baharini. Huwezi kuingia kwenye boti kisha ukaanza kuitoboa, huku ukitegemea utavuka salama. Lazima…

Read More Read More

Featured
Sababu Sita Zinazovunja Mahusiano Na Ndoa Nyingi

Sababu Sita Zinazovunja Mahusiano Na Ndoa Nyingi

Mpendwa rafiki, Mahusiano ya kimapenzi na ndoa ndiyo mahusiano yenye changamoto zaidi kuliko aina nyingine za mahusiano. Yana changamoto kwa sababu mbali mbali ikiwemo kwa wahusika kutokujuana, kutokufuata misingi inayoongoza mapenzi na ndoa. Hapa tunajifunza mambo sita yanayofanya ndoa na mahusiano mengi kuvunjika. Kumbuka; Ndoa na mahusiano mengi yanayovunjika huwa tayari yalishavujika tokea siku ya kwanza ya kuanza mahusiano hayo kwa wahusika. Dalili zote zilionekana mwanzoni, lakini muhisika alijipa moyo kwamba atabadilika au atambadilisha mwenza wake. 1. Kuingia kwenye mahusiano…

Read More Read More

Featured
Maisha hayajawahi kuwa rahisi na hayatakuwa rahisi

Maisha hayajawahi kuwa rahisi na hayatakuwa rahisi

Mpendwa rafiki, Maisha ni fumbo, lakini pia ni mtihani. Kila mtu anamtihani wake na fumbo lake analopaswa kulifumbua. Hauwezi kuangalizia maisha ya mwenzako, kisha ukategemea uwe na maisha yako ambayo ni bora kwako. Watu wengi huishia kuishi maisha ya wengine badala ya kuishi maisha yao wenyewe kwa sababu ya kuiga maisha ya wengine. Wanafanya mitihani na kutatua mafumbo ambayo siyo yao. Kinachowafanya watu wengi kuishia kuishi maisha yasiyo yao ni kwa sababu watu kwa asili huwa wanapenda urahisi. Wanafanya kazi…

Read More Read More

Featured
Wanamume wanaongea kwa ajili ya taarifa, wanawake wanaongea kwa ajili ya mahaba

Wanamume wanaongea kwa ajili ya taarifa, wanawake wanaongea kwa ajili ya mahaba

Mpendwa rafiki, Huwa kunapengo kubwa sana kwenye mawasiliana kati ya mwanamke na mwanamume wanapokuwa wanazungumuza kwenye mahusiano. Hii hutokana na utofuti uliopo kati ya mwanamke na mwanamume kwenye mazungumzo yao. Mwanamume huwa anaongea pale tu kunapokuwa na taarifa anataka kupata au kutoa kwa mwenza wake, lakini mwanamke yeye huongea kwa ajili ya huba, mahaba na mapenzi kwa yule anayempenda. Nakumbuka siku moja nikiwa kwenye semina ya wa wanandoa, niliulizwa swali na wa mama, kwanini wanamume mkiondoka kwenda kazini hampigi tena…

Read More Read More

Featured
Mwanamume anatoa upendo ili apate tendo la ndoa, mwanamke anatoa tendo la ndoa ili apate upendo

Mwanamume anatoa upendo ili apate tendo la ndoa, mwanamke anatoa tendo la ndoa ili apate upendo

Mpendwa rafiki, Ni muhimu kufahamu na kukubali kwamba, mwanamume na mwanamke kuna utofauti. U tofauti huu ndiyo unaofanya mahusiano ya ndoa kuwa na radha, kuwa mazuri na yenyefuraha kama tu nyinyi wahusika mtajua na kukubali utofauti mlionao. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya tofauti ya mwanamke na mwanamume zisome hapa na hapa. Katika utofauti huu, mwanamume huwa anabadilishana na mwanamke upendo( anatoa upendo), huku yeye akipata tendo la ndoa yaani sex. Kwa upande wa mwanamke, kwa sababu yeye hitaji…

Read More Read More

Featured
Wanamume ni watu wa mantiki, wanawake ni watu wa hisia kwenye mahusiano

Wanamume ni watu wa mantiki, wanawake ni watu wa hisia kwenye mahusiano

Mpendwa rafiki, Sina uhakika kama unajua au ulishawahi kusikia, lakini ukweli ni kuwa, mwanamume ni mtu anayeongozwa na mantiki zaidi kuliko hisia kwenye eneo la mahusiano. Hii haina maana kwamba wanamume hawana kabisa hisia, hapana wanahisia pia. Lakini linapokuja suala la mahusiano na mwenza au mke wake, kinachotangulia kwake huwa ni mantiki kwanza. Lakini kwenye maeneo mengine ya maisha, kama michezo, burudani na hata hobi, mwanamume huonesha na kutanguliza hisia. Bila shaka ulishawahi kumuona mwanamume ambaye ni shabiki wa mpira,…

Read More Read More

Featured
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamume unazopaswa kuzingatia

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamume unazopaswa kuzingatia

Mpendwa rafiki, Binadamu wote ni sawa lakini, watu wote siyo sawa, kunautofauti. Kuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamume. Na huo utofauti ndiyo unaoleta usawa na uwiano kwenye maisha yetu. Kutokana na utofauti huo kimaumbile, huleta pia utofauti wa kimajukumu na mugawanyo wa kazi. Kutokujua na kuzingatia ukweli huu ndiyo chanzo cha migogoro na kuvunjika kwa ndoa na mahusiano mengi kwenye jamii yetu. Hapa tunakwenda kujifunza baadhi ya tofauti kati ya mwanamke na mwanamume unazopaswa kuzijua na kuzizingatia kwenye mahusiano…

Read More Read More

Featured
Zitawale hisia zako kwenye mahusiano yako kwa kufanya hivi

Zitawale hisia zako kwenye mahusiano yako kwa kufanya hivi

Mpendwa rafiki, Watu wengi kwa sasa wanaamini kwamba kile wanachojisikia na kuhisi ndicho cha ukweli. Ni kweli hisia zetu zinaweza kuwa za kweli lakini siyo kila wakati hisia zetu ziko sahihi. Unaweza ukajihisi na kujisikia vizuri sasa hivi, lakini baadaye kidogo ukajisikia tofauti au vibaya. Watu wengi wanajua jinsi ya kuzitawala hisia zao katika maeneo au nyanja zingine za maisha kama vile kazi, biashara n.k . Mfano, hata kama mtu hajisikii vizuri kwenda kazini siku hiyo, labda hakulala vizuri siku…

Read More Read More

Featured
Swali unalopaswa kumuuliza umpendaye siku ya wapendanao

Swali unalopaswa kumuuliza umpendaye siku ya wapendanao

Sina uhakika kama unajua, lakini leo ni siku ya wapendano. Wakati watu mbali mbali wakisherehekea siku hii, ni muhimu wewe kujifunza mambo yatakayokusaidia kuwa na mahusiano yenye upendo. Unaweza kujiuliza; sasa nitajuaje kama mahusiano yangu yanaupendo? au mwenzangu anaupendo? Ananipenda? Jibu ni moja tu, upendo huwa hauonekani, bali huwa kunaishara ya upendo tu. Ishara kuu ya upendo ni furaha. Furaha ndiyo ishara pekee inayoaashiria uwepo wa upendo. Palipo na furaha pana upendo, na palipo na upendo pana furaha. Kwa sababu…

Read More Read More

Featured
Kama hauuzi basi unauzwa

Kama hauuzi basi unauzwa

Rafiki mpendwa, Kama ningeambiwa nichague ujuzi mmoja tu kwenye maisha yangu, basi ningechangua ujuzi wa mauzo. Huu ni ujuzi ambao kila mmoja wetu anapaswa kuwa nao. Kutokuwa na ujuzi huu wa mauzo, ni chanzo cha watu wengi kuwa masikini. Pesa na vitu vyote unavyohitaji hapa duniani vyote wanavyowatu wengine. Sasa huwezi kuvipata au wao kukupatia wewe kama huwezi kuwauzia. Kama wewe ni mkulima wa mpunga, utahitaji kuuza mpunga wako ili uweze kupata fedha, hivyo hivyo kwa mfugaji, mfanyakazi na mfanyabiashara….

Read More Read More

Featured
Chimba kisima chako kabla hujasikia kiu!

Chimba kisima chako kabla hujasikia kiu!

Mpendwa rafiki, Watu wengi huwa hawafanyi maandalizi katika kile wanachokifanya au watakachokifanya, iwe ni biashara kazi na hata maisha kwa ujumla. Hivyo hawapati kile wanachokitaka kwenye maisha yao. Pata picha uko na kiu sana ya maji, kisha unaamua kuwa ili uweze kupata maji ya kukata kiu yako hiyo, basi uchimbe kisima. Kwanza itakuchukua muda mrefu, nguvu nyingi na hatakupelekea kuchochea kiu zaidi. Pili utapoteza maji mengi mwilini kwa sababu ya kufanya kazi ya nguvu, hivyo kuchoka zaidi hata kabla hujayapata…

Read More Read More

Featured
Mambo muhimu ya kujifunza kutoka kwa Mandoga

Mambo muhimu ya kujifunza kutoka kwa Mandoga

Mpendwa rafiki, Sina uhakika kama unamfahamu au ulishawahi kumsikia lakini kuna vitu vyingi muhimu vya kujifunza kutoka kwake.Huyu si mwingine bali ni bondia aliyejizolea maarufu sana siku za hivi karibuni nchini Tanzania. Alianza kama utani wakambeza, wakamcheka na wengine kumdharau na kumdhihaki pengine kwa sababu ya umri wake kuwa mkubwa, au kutokuwa na hisitoria yoyote kwenye mchezo wa ngumi si mwingine bali ni Karim Mandonga. Kwasasa Mandonga anaushawishi mkubwa kwenye ndondi pengine kuliko bondia yeyote hapa Tanzania. Si Mwakinyo, Dulla…

Read More Read More

Featured
Je, uko tayari kubeba majukumu kwenye ndoa?

Je, uko tayari kubeba majukumu kwenye ndoa?

Kwako wewe mpendwa rafiki yangu. Usioe au kuolewa kwa sababu ndugu zako wamekushauri, usiolewe au kuoa kwa sababu umri umekwenda, usioe au kuolewa kawa sababu marafiki zako wameoa au kuolewa. Usioea au kuolewa kwa sababu ya kutafuta uraia, pesa, fursa na mambo yafananayo na hayo, bali oa au olewa kwa sababu ukotayari kubeba majukumu. Uko tayari kujitoa kuachilia badhi ya vitu unavyovipenda ili uweze kuishi na mwenza wako. Ndoa inahitaji utayari wako wa kubeba majukumu. Usiingie kwenye ndoa kwa sababu…

Read More Read More

Featured
Kama huwezi kuitawala hamu ya tendo la ndoa, usiingie kwenye ndoa

Kama huwezi kuitawala hamu ya tendo la ndoa, usiingie kwenye ndoa

Kwako rafiki yangu mpendwa. Huwa zipo hamu au njaa nyingi kwenye mahusiano ya ndoa. Kuna hamu ya chakula, maji, usingizi, n.k . Lakini moja ya hamu muhimu ambayo inahitaji kulishwa na kushibishwa ni tendo la ndoa. Tendo la ndoa ni hitaji linalopaswa kutimizwa au wanandoa kutimiziana na wote wanapaswa kuridhika. Pamoja na ukweli huo, lakini tendo la ndoa ni zaidi ya hitaji. Ni hamu, ni kiu, ni njaa inayopaswa kushibishwa.  Unahitaji kujua kuwa, hamu yoyote ile tunaweza kuishibisha au kuikata…

Read More Read More

Featured
Je unayajua makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano ya ndoa?

Je unayajua makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano ya ndoa?

Kwako mpendwa rafiki. Rafiki, unajua nini kuhusu tendo la ndoa? Mbali na kuzaliana, je yapi ni makusudi ya tendo la ndoa? Na je unafahamu kuwa, tendo la ndoa ndiyo ndoa yenyewe? Kulingana na umuhimu wa tendo la ndoa kwenye mahusiano ya ndoa, hapa kuna makusudi haswa ya tendo la ndoa kwenye mahusiano ya ndoa ambayo ni muhimu kuyafahamu. Kwanza, tendo la ndoa ni kwaajili ya mawasiliano. Siku zote mahusiano ni mawasiliano. Moja ya njia nzuri ya kuwasiliana ni kupitia tendo…

Read More Read More

Featured
Tendo la ndoa ni njia muhimu ya mawasiliano kwa wanandoa

Tendo la ndoa ni njia muhimu ya mawasiliano kwa wanandoa

Kwako mpendwa rafiki. Tendo la ndoa ndiyo ndoa yenyewe. Likitumika vizuri kama lilivyokusudiwa, ni njia nzuri na muhimu ya kuwasiliana kimwili, kihisia, kiroho na kisaikolojia kwa wanandoa. Tendo la ndoa linaleta muunganiko wenye umuhimu. Linatengeneza bondi na kuuwaunganisha wanandoa. Kama likifanyika kwa usahihi na ukamilifu mkubwa, huwa linatibu migogoro mingi na changamoto zinazoibuka kwenye ndoa. Sasa changamoto ni pale tendo la ndoa linapotumika kinyume na kusudi lake. Kama nyinyi siyo wanandoa, na mkafanya tendo la ndoa, bondi hiyo inabaki ikiwa…

Read More Read More

Featured
Je unafahamu wewe ni dhahabu?

Je unafahamu wewe ni dhahabu?

Kwako rafiki mpendwa. Unafahamu kwamba wewe ni dhahabu? Ndiyo! Wewe ni wa thamani kubwa sana. Ni vile tu hujajua thamani uliyo nayo. Dhahabu huchimbwa chini sana, lakini pia ili iwe na thamani zaidi huwa inapitishwa kwenye moto ili kusafishwa na kughara zaidi. Changamoto unazokuwa unapitia ni kwa sababu ya dhahabu uliyonayo inazidi kusafishwa, ili iwe na thamani kubwa zaidi. Hivyo, kwanza usijidharau na kujiona hauna thamani. Pili, kuwa adimu na usiyepatika kwa kila mtu. Rafiki, unajua kinachoifanya dhahabu iweze kuendelea…

Read More Read More

Featured
Usiiruke hatua hii kwenye uchumba

Usiiruke hatua hii kwenye uchumba

Kwako mpendwa rafiki, Uchumba ni hatua muhimu sana kuelekea kwenye ndoa. Hatua hii ndiyo pia hutoa mwelekeo wa jinsi mambo yatakavyokuwa kwenye ndoa. Ndoa huwa haimbadilishi mtu bali ndiyo humfunua mtu na tabia zake. Hivyo ni muhimu kuitumia hatua ya uchumba ili kumjua vizuri mwenza wako unayetarajia kuingia naye kwenye ndoa. Pamoja na ukweli huo, kuna hatua moja ambayo hutakiwi kabisa kuiruka wakati wa hatua ya uchumba. Hatua hiyo ni hatua ya Urafiki. Hii ni hatua muhimu sana mnapokuwa kwenye…

Read More Read More

Featured
Je wewe unajijua? unamjua mwenza wako vizuri?

Je wewe unajijua? unamjua mwenza wako vizuri?

“Mjue mwenza wako vizuri na ishi naye vizuri kwenye ndoa” Ulikuwa ni ushauri alionipa mzee Sahani, Mwalimu mstaafu baada ya kukutana naye na kutaka kujua kwa undani maisha yake ya mahusiano ya ndoa yalikuwa je. Lengo la kukutana naye ni kutaka kujua kutoka kwake, sababu zilizomfanya akaoa wake kumi na wawili kwa wakati tofauti tofauti katika maisha yake ya mahusiano ya ndoa. Alikuwa akioa mwanamke anakaa naye mwaka mmoja au miwili anaachana naye, yaani alikuwa hawezi kuishi pamoja na mwanamke…

Read More Read More

Featured
Usichokijua kuhusu ndoa

Usichokijua kuhusu ndoa

Kwako rafiki mpendwa uliyeko kwenye ndoa au yule unayetarajia kuingia kwenye ndoa. Moja ya changamoto kubwa kwenye mahusiano ya ndoa ni kwa wanandoa au wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa ni kutokufahamu ndoa kwao inamaana gani. Hali hii hupelekea makosa na kufanyiana visa, vitimbi na kila aina ya visa kwa wanandoa. Ni muhimu kufahamu kuwa, ndoa ni chombo cha kuwafikisha kule mnakotaka kwenda. Ni kama boti inayotakiwa kuwavusha baharini. Huwezi kuingia kwenye boti kisha ukaanza kuitoboa, huku ukitegemea utavuka salama. Lazima…

Read More Read More

Featured
Wapenzi kujeruhiana ni wivu wa kimapenzi kweli?

Wapenzi kujeruhiana ni wivu wa kimapenzi kweli?

Rafiki, mahusiano ya ndoa huwa yanapita katika vipindi tofauti tofauti. Hakuna mahusiano yaliyonyooka. Kunakutofautiana kimtazamo, kiitikadi na hata kidini, lakini pamoja na kutofautiana huko maisha lazima yaendelee na umoja unahitajika. Wapo wanandoa au wapenzi ambao hawawezi kabisa kutatua changamoto na tofauti zao wanazokuwa wanapitia. Matokeo yake huwa ni kujeruhiana, kupigana na hata kupelekea wengi kuumizana na kuuana. Mara nyingi kile watu wanachoita ni wivu wa kimapenzi huwa siyo kwani hisia ya wivu huwa inalengo zuri la kukilinda na kukithamini kile…

Read More Read More

Featured
Njia moja pekee ya kumjua mwenza wako vizuri

Njia moja pekee ya kumjua mwenza wako vizuri

Rafiki, hakuna kitu muhimu kwenye mahusiano ya ndoa kama kumjua mwenza wako. Kumjua ni hatua muhimu sana kuelekea kwenye ndoa na mahusiano bora. Kumjua mwenza wako si kufanya mapenzi naye, bali ni kujua haiba zake za ndani, historia yake , amelelewaje? Anajua nini kuhusu ndoa? Kama bado unajiuliza unawezaje kumjua mwenza wako basi usiwe na wasiwasi leo utaenda kufahamu hapa hapa. Ili uweze kumjua mwenza wako kwa undani zaidi ni kuwa rafiki yake. Ndiyo! Umesoma vyema! Mfanye kuwa rafiki yako….

Read More Read More

Featured
Fanya kile kinachokufanya kuwa bora na si kuwa na furaha

Fanya kile kinachokufanya kuwa bora na si kuwa na furaha

Heri ya mwaka mpya, kwako mpendwa rafiki, Lengo la maisha siyo kuwa na furaha kwanza, bali ni kuwa bora na vizuri kwanza ndipo upate furaha inayodumu. Mambo yote yanayokufanya kuwa bora huwa hujisikii kuyafanya lakini yale ambayo yanayokupa furaha ya muda mfupi huwa unajisikia vizuri kuyafanya. Watu wengi hawafanikiwi kwa sababu ya kutokufanya mambo yanayowafanya kuwa bora na vizuri (better), bali wanafanya yale ambayo yanawapa furaha ya haraka (instant gratification). Mfano kula chokoleti, kunakupa furaha ya muda, lakini chokoleti haiwezi…

Read More Read More

Featured
Heri ya mwaka mpya na malengo manne muhimu kwako

Heri ya mwaka mpya na malengo manne muhimu kwako

Kwako rafiki mpendwa, Heri ya mwaka mpya 2023. Tayari siku ya kwanza ya mwaka 2023, inaelekea kuisha, je kunakitu chochote cha tofauti ulichofanya leo kuliko ulivyofanya jana yaank mwaka 2022? Ni muhimu kukumbuka kuwa kinachobadilika huwa ni namba tu, kama hutabadili fikra na akili zako. Mwaka mpya kwako utakuwa ni jina tu. Sasa ushauri wangu kwa mwaka huu mpya ni kuwa na malengo makubwa, kuliko uliyokuwa umeweka mwaka jana. Unapoweka malengo yako mapya, hakikisha unaweka malengo kwenye maeneo haya manne…

Read More Read More

Featured
Siri ya mafanikio ni kufanya kile usichojisikia kufanya

Siri ya mafanikio ni kufanya kile usichojisikia kufanya

Kwako rafiki mpendwa, Nafahamu kwamba wewe huwa unafanya kile unachokuwa unajisikia kufanya; ndiyo maana uko hapo ulipo leo. Biashara zako haziendi, kazi zako haziendi, mahusiano yako yamekwama na maisha yako siyo mazuri. Unafanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa lakini bado mambo ni magumu. Habari njema ni kwamba leo na kwenda kukushirikisha siri moja muhimu ambayo itabadili kabisa biashara yako, kazi yako, mahusiano yako na maisha yako kwa ujumla. Ni siri ambayo hakuna serikali, ndugu, jamaa na rafiki aliyetayari kukwambia….

Read More Read More

Featured
Fanya kazi zaidi ya saa 40 kwa wiki au uwe na maisha magumu

Fanya kazi zaidi ya saa 40 kwa wiki au uwe na maisha magumu

Kwako mpendwa rafiki, Sina uhakika kama unajua au haujui lakini ni muhimu kuwambia hili. Kama unafanya kazi saa 40 kwa wiki unaishi maisha ya kawaida na magumu. Unamaisha ya kawaida na magumu kwa sababu kuna kanuni unakuwa unaivunja kwa kujua au kwa kutokujua. Ni bahati mbaya sana hakuna rafiki, ndugu, serikali au mjomba atakaye kuambia ukweli huu. Haya; tufanye kwamba hauijui: Kanuni hiyo inasema, fanya kazi zaidi ya saa 40 kwa wiki. Ndiyo! Kwa mtu wa kawaida, anayeishi maisha magumu…

Read More Read More

Featured
Wewe fanya kazi tu

Wewe fanya kazi tu

Kwako rafiki mpendwa, “Kaka mimi ni kijana wa umri wa miak 25 nimemaliza kidato cha 4 Kilombero sec kwa bahati mbaya nikafeli, nipo mtaani huu mwaka wa 6 sasa lakini hakuna ninachofanya kaka. Nimesoma kitabu chako jana tena hapa Chalinze lakini mimi mtoto wa Ifakara hapo V/60 hospital ya Cancer nikaona nikutafute bro labda nitapata msaada wowote toka kwako hata wa ushauri tu kaka” Huu ni ujumbe niliopokea kwenye simu yangu wiki iliyopita, siku ya Jumapili nikiwa nimepumzika. Baada ya…

Read More Read More

Featured
Kwa nini juhudi inalipa mara mbili kuliko kipaji?

Kwa nini juhudi inalipa mara mbili kuliko kipaji?

Kwako mpendwa rafiki, Nimekuwa nikiulizwa mara kwa mara swali hili juu ya kipaji na juhudi. Je, kati ya kipaji na juhudi kipi kinalipa zaidi? Najua na wewe pengine umekuwa ukijiuliza swali kama hilo au linalofanana na hilo. Leo na kwenda kulitolea majibu na ufafanuzi hapa. Iko hivi rafiki yangu; kipaji ni kipawa ambacho mtu anazaliwa nacho ili kimuwezeshe kutimiza kusudi lake hapa duniani. Kila kusudi ulilonalo huwalinaambatana na kipaji cha kukusaidia kulitimiza kusudi hilo. Hivyo ili kujua unakipaji gani, lazima…

Read More Read More

Featured
Huyu ndiye rafiki wa kweli

Huyu ndiye rafiki wa kweli

Mpendwa rafiki, kila mtu anaweza kuwa na marafiki wengi na wa aina mbali mbali kadili awezavyo yeye. Unaweza kuwa na marafiki kazini, chuoni, shuleni na hata pale unapoishi. Lakini ukweli ni kwamba, ukibadili kazi au eneo ulilopo sasa hivi utapoteza marafiki wengi. Kama ukipanda daraja/cheo leo, marafiki wengi watakuacha au utawaacha kutokana na wewe kuuanda cheo. Utakuwa na marafiki wapya kwenye hicho cheo au nafasi uliyohamia. Hivyo marafiki wengi ulionao kwa sasa wanatokana na nafasi uliyonayo na mazingira uliyopo kwa…

Read More Read More

Featured
Huwezi kufanya usichokijua

Huwezi kufanya usichokijua

Rafiki, ulishawahi kujiuliza kwanini huwa haufanyi kile unachopaswa kufanya? Kwani nini unaendelea kufanya yale unayofanya hata kama hayakuletei matokeo? Iko hivi rafiki yangu; huwezi kufanya usichokijua. Chochote unachokifanya kwa sasa ni kwa sababu unakijua. Na vile vyote ambavyo huvifanyi na ulipaswa uwe unavifanya lakini huvifanyi ni kwa sababu tu huvijui. Mfano, kumekuwepo na changamoto nyingi kwenye biashara na kazi siku hizi ambazo hupelekea biashara nyingi kufa. Moja ya changamoto hiyo ni wafanyakazi wengi kutokujua wanatakiwa kufanya nini kwenye biashara au…

Read More Read More

Featured
Amua kuumia badala kumia na kisha ndipo uamue

Amua kuumia badala kumia na kisha ndipo uamue

Rafiki, kwenye mafanikio, mahusiano na maisha kwa ujumla huwa kuna mambo mawili lazima yatokee, pale unapotaka kufanya maamuzi na kuchukua hatua. Mambo haya ni amua-umia, au umia-amua. Usisubiri mpaka uumie ndipo uamue kufanya kile unachopaswa kufanya, bali amua sasa na kisha pata maumivu. Faida ya kuamua sasa ni kwamba utaweza kuamua pia ni maumivu kiasi gani upate. Ni gharama ipi unayoilipa. Kumbuka, kila kitu huwa kina gharama unayopaswa kuilipa. Ni wewe tu kuamua kuilipa na kupiga hatua kwenye maisha yako….

Read More Read More

Featured
Kitabu cha Unaweza kuwa unayemtaka kitakuwa TBC1 leo.

Kitabu cha Unaweza kuwa unayemtaka kitakuwa TBC1 leo.

Rafiki, sina uhakikaki kama unataarifa hii, lakini ni muhimu wewe kufahamu. Leo kitabu cha Unaweza kuwa unayemtaka kitakuwa “live” yaani mbashara kwenye kipindi cha KURASA DARASA, cha TBC1. Muda ni saa kumi na nusu jioni. Kama unavyo jua, furaha ya mwandishi ni kuona kazi yake inasomwa na watu wengi, na kuwasaidi kutoka kwenye changamoto wanazopitia. Na wewe unaweza kusoma kitabu hiki na kutoka kwenye changamoto unayopitia.  Leo nakupa OFA ya kupata kitabu cha UNAWEZA KUWA UNAYEMTAKA kwa elfu 10 tu…

Read More Read More

Featured
Kuwa makini na kile unachokifanya

Kuwa makini na kile unachokifanya

Rafiki, je unajua kuwa kila unapofanya kitu kipya kwa mara ya kwanza, unatengeneza na uwezo? Kisha huo uwezo uliotengenezwa huzalisha hitaji ambalo lazima litimizwe. Nadhani bado hujanielewa, nasema hivi; kila unapofanya jambo lolote jipya kwa mara ya kwanza, huwa kuna uwezo unazalishwa na mwili wako ambao uwezo huo pia huzalisha hitaji linalotakiwa kutimizwa. Mfano; ukitumia madawa ya kulevya leo; najua wewe siyo mtumiaji lakini ni mfano tu. Kuna uwezo (capacity), unazalishwa ili kufanikisha madawa hayo na huwa huishii hapo tu…

Read More Read More

Featured
Hivi utajisikiaje kama utaondoka duniani bila kuwa unayemtaka?

Hivi utajisikiaje kama utaondoka duniani bila kuwa unayemtaka?

Rafiki, nataka kuoongelea jambo kukuhusu! Ndiyo, kukuhusu wewe. Hivi utajisikia kama utaondoka duniani bila kujua ulikuja kufanya nini? Hakuna kosa kubwa kama kuja duniani na kuishi bila kujua ulikuja kufanya nini. Ulikuja duniani ili uwe nani? Ufanye nini? Kusudi lako ni lipi? Kipaji chako ni kipi?Hakuna ajali mbaya kuliko zote ambazo mtu anaweza kuzipata kama kuishi bila kusudi. Yaani kuishi bila kujua kwanini unaishi, kwa nini uko hai mpaka sasa? Hiyo ni ajali mbaya sana. Rafiki, ili uweze kuepuka ajali…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo kanuni rahisi ya kuwa unayemtaka na kupata chochote unachotaka

Hii ndiyo kanuni rahisi ya kuwa unayemtaka na kupata chochote unachotaka

Rafiki, kile unachokitaka kwenye maisha yako unaweza kukikipata. Yule unayetaka kuwa kwenye maisha yako, unaweza kuwa. Yaani unaweza kuwa chochote unachotaka kwenye maisha. Kanuni hii ninayokushirikisha hapa, inanguvu sana, hivyo kuwa nayo makini. Usiitumie vibaya! Oops! Najua wewe huwezi kuitumia kanuni hii vibaya ndiyo maana unasoma hapa. Hebu tuyaache hayo, turudi kwenye kanuni yenyewe. Kanuni ni kuwa, fanya, pata. Rafiki si unaona ilivyo rahisi. Kwanza unakuwa yule unayetaka kuwa. Yaani, kuwa mtu ambaye unataka kuwa. Unataka kuwa nani? Mfanyabiashara anza…

Read More Read More

Featured
Kwa nini haupati kile unachokitaka au kuwa unayemtaka?

Kwa nini haupati kile unachokitaka au kuwa unayemtaka?

Miaka kumi iliyopita nilikuwa nataka kuwa mwandishi wa vitabu vya hamasa! Ndiyo! Vitabu vya kuhamasisha wengine kubadili namna ya kufikiri na kupiga hatua kwenye mafanikio na maisha yao. Basi, nikiwa shule ya sekondari nilikuwa nikiandika makala mbali mbali za kuelimisha na kutoa hamasa kwa wengine. Kwa ufupi, nilikuwa najua nataka nini. Nataka kuwa nani. Lakini bado sikuweza kuwa mwandishi wa vitabu. Sikuwa najua namna ya kuwa ninayemtaka na kupata ninachokitaka. Mhhh hebu subiri kwanza; kwani wewe unajua unataka nini kwenye…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili ambayo mtu yeyote hatakiwi kukuzidi

Mambo mawili ambayo mtu yeyote hatakiwi kukuzidi

Rafiki, kwenye maisha na mafanikio unaweza kuzidiwa na mtu yeyote. Wala hilo siyo kosa wala tatizo. Unaweza kuzidiwa kipato, elimu na hata maisha mazuri. Wala isiwe kosa au dhambi. Pamoja na kuzidiwa huko, kamwe usiruhu mtu yeyote akuzidi kwenye vitu hivi viwili. 1. Kujifunza na kuchukua. Rafiki kama huwa haujifunzi huwezi kupiga hatua yoyote ile kuelekea kwenye mafanikio unayoyataka. Lakini pia kama utaishia kujifunza tu na usichukue hatua, bado hutaweza kupiga hatua. Hakikisha unakuwa mtu wa kujifunza na kuchukua hatua….

Read More Read More

Featured
Kukosekana kwa uwazi ni tatizo kubwa kwenye mahusiano mengi

Kukosekana kwa uwazi ni tatizo kubwa kwenye mahusiano mengi

Rafiki, kutokuwa wawazi kwenye mahusiano ni sawa na kujifunika blanketi fupi. Kadili unavyopambana kujifunika kichwani ndivyo miguu inabaki wazi zaidi, na kadili unavyofunika miguu ndiyo kichwa kinabaki wazi zaidi. Kutokumwambia mwenza wako huharibu radha ya mahusiano na mazuri na mwenza wako. Mawasiliano huharibika na hivyo mahusiano pia kuharibika. Kama unakitu ambacho huwezi kumwambia au hutaki mwenza wako ajue, huko ni kujidanganya kwani ipo siku atajua tu. Unachopaswa kufanya ni kutafuta njia nzuri ya kumwambia hata kama kitamletea maumivu kwa sasa,…

Read More Read More

Featured
Sababu za kujeruhiana kwenye mahusiano na jinsi ya kuziepuka

Sababu za kujeruhiana kwenye mahusiano na jinsi ya kuziepuka

Rafiki, kujeruhiana kwenye mahusiano imekuwa ni kilio kikubwa sana. Kumekuwepo na matukio mengi ya wanandoa na wapenzi kujeruhiana, lakini sababu hasa huwa ni nyingi. Moja ya sababu kubwa ni inatokana na wanandoa au wapenzi wengi kutokuwa na maarifa, uelewa na hekima juu yao wenyewe na ndoa kwa ujumla. Kwa kifupi ni kwamba hawajijui, hawajuani na hawajui kwa nini wako kwenye ndoa au mahusiano. Kutokujuana vizuri kunapelekea hasira, na kujichukulia hatua mkononi kwa nia ya kumrekebisha mwenza wako, au kutimiza hitaji…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo hamu tano zinazosumbua mahusiano mengi

Hizi ndizo hamu tano zinazosumbua mahusiano mengi

Rafiki, kwenye mahusiano na ndoa nyingi huwa kuna shauku, hamu au tamaa tano zinazosumbua mahusiano na ndoa nyingi unazopaswa kuzifamu, ili uwe na mahusiano yenye upendo, amani na furaha. 1. Chakula. Hii ni hamu ambayo kila mtu anayo. Mtoto kabla hajazaliwa anaandaa chakula chake kabisa. Akishazaliwa chakula chake huwa kiko tayari. Maziwa kutoka kwa mama yake yanakuwa yako tayari pale anapopatwa na njaa. Hivyo tatizo kubwa sana la mwanadamu huwa ni njaa na hili huwa haliwaachi salama wanandoa au watu…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo sababu kwanini ndoa za Kikristo hazina talaka

Hii ndiyo sababu kwanini ndoa za Kikristo hazina talaka

Rafiki, moja ya swali kubwa kabisa kwenye masuala ya ndoa basi huwa ni hili la kwa nini ndoa za kikristo huwa hakuna talaka. Hakuna kuachana? Yawezakuwa wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakijiuliza maswali hayo bila majibu. Kuna njia moja tu ambayo inaweza kutenganisha ndoa ya kikristo ambayo ni kifo. Pale mwanandoa mmoja anapofariki, ndiyo hapo agano la ndoa ya kikristo linafika mwisho. Mke au Mume ndipo hapo anaruhusiwa kuolewa au kuoa tena. Hata pale ambapo maandiko yanasema unaweza…

Read More Read More

Featured
Watu wengi wamefunga ndoa, lakini hawajaoana

Watu wengi wamefunga ndoa, lakini hawajaoana

Rafiki, kufunga ndoa huwa ni tukio la siku moja, lakini kuoana ni mchakato unaoanza baada ya wenzi kufunga ndoa. Kuoana ni kuendana. Kuoana ni kufanana. Ni kuunganika kimwili, kiroho na kihisia. Ukimuona mke ni kama umemuona mume. Hivyo ndivyo maana ya kuoana. Kama umeshafunga ndoa au kama waswahili wasemavyo, kufunga pingu za maisha na hamuelewani na mwenza wako jua ya kuwa bado hamjaoana. Mumeshafanya tukio tu, lakini mchakato wa kuishi pamoja bado hamjauanza ambao ndiyo ndoa yenyewe. Si ajabu siku…

Read More Read More

Featured
Unasubiri nini?

Unasubiri nini?

Rafiki, kile unachokisubiri hata ukikipata hakitabadili maisha yako. Kitakufaa kwa siku za mwanzo tu lakini baada ya hapo ha kitakufaa tena. Utakiona ni kitu cha kawaida sana. Hivyo usiahirishe kufanya yale unayopaswa kufanya sasa, kisa unasubiri mambo yako yakae sawa. Usisubiri mpaka mipango yako inyooke ndipo uanzishe hiyo biashara, rafiki haitakaa itokee. Kama ni kufurahi, furahi sasa hivi. Kama ni kufanya kile unachopaswa kufanya basi, fanya sasa hivi. Hakuna wakati mzuri unaousubiria wa wewe kufanya, kufurahi na kutimiza yale unayopaswa…

Read More Read More

Featured
Je, umeshapata kitabu cha ITAWALE HOFU YAKO?

Je, umeshapata kitabu cha ITAWALE HOFU YAKO?

Rafiki, kwa muda sasa nimekuwa nakueleza kuhusu kitabu kipya nilichotoa kinachoitwa ITAWALE HOFU YAKO. Kitabu hiki nilipenda kila rafiki yangu akipate na akisome, maana nimeweka maarifa mengi na sahihi kwenye kuitawala HOFU YAKO. Hivyo niliamua kukitoa kama zawadi kwa kila rafiki yangu kwa bei ya OFA ili kukipata kitabu. ZAWADI HII INAISHA LEOHivyo nipende kutumia nafasi hii kukujulisha kama bado hujakipata kitabu hiki, chukua hatua sasa hivi ili zawadi hii isikupite. Rafiki, Waswahili wanamsemo wao maarufu usemao “Uoga wako ndiyo…

Read More Read More

Featured
Itawale hofu yako hivi

Itawale hofu yako hivi

Rafiki, haijalishi wewe ni mjanja kiasi gani, wewe ni mkubwa kiasi gani au una maono makubwa kiasi gani. Kila kitu huharibika pale unapokitazama kwa miwani na lenzi ya hofu. Hofu hupoozesha mwili wote. Hofu huuweka mwili kwenye hali ya kujiokoa, yaani survival mode. Ukitawaliwa na hofu, maana yake unakuwa kwenye hali ya kujiokoa kutoka kwenye hatari, baada ya mwili kutambua na kuona tishio la hatari au viashiri vya hatari kabla hatari hiyo haijakupata. Hofu ni wito wa kujiokoa. Hivyo, linapokuja…

Read More Read More

Featured
Je umekuwa ukitawaliwa na hofu?

Je umekuwa ukitawaliwa na hofu?

Rafiki, hofu ni hisia ya msingi kabisa kwa mwanadamu. Lakini, katika hisia zote, hisia hii ya hofu licha ya umuhimu wake kwenye maisha yetu hasa kwenye kutusaidia kujiokoa kutoka kwenye tishio la hatari au viashiria vya hatari, ndiyo hisia inayoongoza kwa kuua ndoto, maono, vipaji na makusudi ya watu wengi kwenye maisha yao. Hebu pata picha, kuna biashara ulitakiwa uianzishe miaka kadha iliyopita lakini mpaka sasa hujaianzisha kwa sababu ya hofu, ya kushindwa, kutengwa na kukataliwa. Kuna nyimbo na vitabu…

Read More Read More

Featured
Acha kutumia chote unachopata badala yake fanya hivi

Acha kutumia chote unachopata badala yake fanya hivi

Rafiki, kama unachokipata, unakitumia chote unafanya makosa. Mafanikio yoyote yale hasa ya kifedha, hayapimwi kwa kiwango unachopata au kupokea, bali kinapimwa kwa kiwango kile unachoweka kama akiba na kukiwekeza. Kile kinachobaki mikononi mwako baada ya matumizi yako. Kila pesa inayopita mikononi mwako, hakikisha huitumii yote. Hakikisha unaweka akiba sehemu ya pesa hiyo, hata kama ni kiwango kidogo sana. Ni kawaida kujiambia kuwa nikiwa napata kiwango kikubwa cha pesa ndiyo nitaweza kuweka akiba na kuwekeza. Lakini mambo huwa hayako hivyo, kwani…

Read More Read More

Featured
Unahasira? Itawale hasira yako kwa kufanya hivi

Unahasira? Itawale hasira yako kwa kufanya hivi

Rafiki, watu wengi hufikiri kuwa kile wanachofanyiwa au kutendewa ndiyo chanzo cha hasira yao. Lakini ukweli ni kwamba kile unachofanyiwa au kutendewa na kupelekea wewe kushikwa na hasira huwa ni kichocheo tu cha hasira yako. Siyo chanzo au sababu ya wewe kuwa na hasira. Kinachofanya watu wengi kutawaliwa na hasira siyo kile walichotendewa, bali ni kile wanachofikiria, kutafakari na kukitolea hitimisho kwenye fikra zao. Pale unapopatwa na hasira, unapaswa kujiuliza nini chanzo au kisababishi cha hasira yako? Chanzo hicho kiko…

Read More Read More

Featured
Usiingie kwenye ndoa kwa kujaribu bali fanya hivi

Usiingie kwenye ndoa kwa kujaribu bali fanya hivi

Rafiki, miaka ya nyuma kidogo nilinunua kamera mtandaoni, si unajua tena mambo ya kununua vitu mtandaoni ndiyo yalikuwa yanaingia huku kwetu na ilikuwa ni kitu kigeni sana. Basi bwana nilikuwa na furaha isiyo kifani baada ya kupokea mzigo wangu huo ukiwa umefungwa vizuri ndani ya boksi. Sasa ulifika muda wa kufungua boksi na kuangalia kilichomo ndani. Kweli kamera ilikuwa ni ile ile niliyoiona mtandaoni, lakini kuna kitu muhimu kwenye boksi hakikuwemo! Unajua ni nini hakikuwemo kwenye boksi? Hakukuwa na kitabu…

Read More Read More

Featured
Mahusiano yako ya ndoa umeyajenga kwenye msingi gani?

Mahusiano yako ya ndoa umeyajenga kwenye msingi gani?

Rafiki, mahusiano ya ndoa yanayodumu kwa muda mrefu na kuwa na furaha na amani yanatokana na kujengwa kwenye msingi imara. Msingi imara ni ule usioteteleka, usiooza wala kumomonyoka. Msingi ambao unajengwa kwenye vitu vinavyodumu badala ya kupita. Usijenge mahusiano yako ya ndoa kwa kutegemea uzuri wa mwili, kwani uzuri huwa haudumu. Nywele hubadilika, rangi ya ngozi hufubaa na kusinyaa. Kuona kunapungua, kusikia nako kunapungua. Meno hung’ooka na mwili hupungua au kuongezeka. Kama ndoa na mahusiano yako umeyajenga kweny uzuri na…

Read More Read More

Featured
Maadalizi ni muhimu kwenye mafanikio, lakini usisahau hiki

Maadalizi ni muhimu kwenye mafanikio, lakini usisahau hiki

Rafiki, ni kweli unahitaji maadalizi kwenye kila kitu unachokifanya, lakini unahitaji kuchukua hatua pia. Mafanikio ya nahitaji mtu uchukue hatua, hata kama ni ndogo kiasi gani wewe fanya hivyo hivyo kwa udogo wake. Maandalizi mazuri ni yale unayoyafanya, huku unachukua hatua. Unafanyia kazi yale unayojiandaa nayo. Kama ni kusoma vitabu, unapaswa usome na kuanza kufanyia kazi mara moja yale unayojifunza. Kama ni kufanya biashara, unapaswa kujiandaa, huku ukifanya biashara. Usisubiri mpaka ufikie hatua ya juu, au mpaka uwe na kila…

Read More Read More

Featured
Hii ni sababu isiyofaa kwa wewe kuingia kwenye mahusiano ya ndoa

Hii ni sababu isiyofaa kwa wewe kuingia kwenye mahusiano ya ndoa

Rafiki, huwa kuna sababu za msingi, nzuri na bora za kuingia na kuanzisha mahusiano ya ndoa yatakayo dumu. Lakini pia huwa kuna sababu za hovyo, mbaya ambazo mtu hutakiwi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu hizo. Ndoa nyingi siku hizi zinashindwa kufanikiwa na kudumu kwa sababu ya wanandoa wenyewe kutokujua kusudi hasa la ndoa ni nini? Na ni kanuni zipi zinafanya ndoa yenyefuraha, amani na upendo iweze kudumu? Kamwe hutakiwi kabisa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa bila kuwaza kwa…

Read More Read More

Featured
Tatizo lako si kupata bali ni hili

Tatizo lako si kupata bali ni hili

Rafiki, tatizo la watu wengi siyo kupata bali kumiliki. Kama ni kupata pesa, watu wanapata sana, lakini kwenye kuzimiliki na kuzitunza ni shughuli. Kama ni biashara watu wanafanya sana, lakini tatizo ni kuzimiliki na kuzitunza ndiyo kazi kubwa. Kama ni ndoa watu wanafunga kila siku lakini tatizo ni kuzimiliki na kuzitunza ndoa zao. Kama ni kazi watu wanapata sana, lakini tatizo ni kuzimiliki na kuzitunza kazi zao hizo. Mifano ni mingi sana, lakini itoshe tu kukwaambia kuwa tatizo lako siyo…

Read More Read More

Featured
Mafanikio yoyote yanahitaji kusuka au kunyoa

Mafanikio yoyote yanahitaji kusuka au kunyoa

Rafiki, mambo yanakwenda kwa kasi sana. Zamani ilikuwa haiwezekana kumuona mtu amesuka na kunyoa kwa wakati mmoja, lakini kwa sasa hivi ni kawaida kukutana na kijana amenyoa upande mmoja na kusuka upande mwingine. Hii haimanishi kuwa kauli ya wahenga ya kusuka au kunyoa ndiyo imepitwa na wakati, la hasha bado inamaana kubwa sana na ni muhimu sana kuielewa. Kwenye maisha lazima ufanye maamuzi na machaguo, na hapo ndipo kusuka au kunyoa kunapokuja. Haiwezekani kusuka kwa wakati huo huo na kunyoa…

Read More Read More

Featured
Ili kufanikiwa, usitafute mafanikio bali fanya hivi

Ili kufanikiwa, usitafute mafanikio bali fanya hivi

Rafiki, mafanikio ndiyo huwa ni lengo la kila mmoja wetu, awe anajua au hajui. Lengo la wewe kuwa hapa duniani ni kufanikiwa katika kile ambacho ameumbwa kuwa au kukifanya. Ukitaka kufanikiwa kwenye maisha usijaribu kuwa au kutafuta mafanikio. Mafanikio ni matokeo ya wewe kufuata kanuni na sheria za asili. Watu waliofanikiwa hawajafanikiwa kwa sababu ya kutafuta mafanikio bali kufuata kanuni na kutimiza kusudi lao. Ili uweze kufanikiwa katika kila unachokifanya rafiki wewe jikite kufuata kanuni na sheria zinanzoongoza eneo hilo…

Read More Read More

Featured
Ili kupata mafanikio ya muda mrefu, fanya hivi

Ili kupata mafanikio ya muda mrefu, fanya hivi

Rafiki, mafanikio ni mchakato, siyo tukio. Ili uweze kupiga hatua kwenye maisha yako, lazima uwe tayari kufuata mchakato badala ya kuwa mtu wa matukio. Kufuata matukio badala ya kukaa kwenye mchakato unaweza ukakupatia mafanikio ya muda mfupi, lakini hayatadumu zaidi. Mafanikio ya kweli na ya muda mrefu huwa yanahitaji uwekezaji mkubwa kwa watu. Kuna ukweli kwenye kauli hii muhimu sana; “ukitaka mafanikio ya muda mfupi sia mpunga, ukitaka mafanikio ya muda wa kati panda miti, lakini ukitaka mafanikio ya muda…

Read More Read More

Featured
Ili kupata mafanikio ya muda mrefu, fanya hivi

Ili kupata mafanikio ya muda mrefu, fanya hivi

Rafiki, mafanikio ni mchakato, siyo tukio. Ili uweze kupiga hatua kwenye maisha yako, lazima uwe tayari kufuata mchakato badala ya kuwa mtu wa matukio. Kufuata matukio badala ya kukaa kwenye mchakato unaweza ukakupatia mafanikio ya muda mfupi, lakini hayatadumu zaidi. Mafanikio ya kweli na ya muda mrefu huwa yanahitaji uwekezaji mkubwa kwa watu. Kuna ukweli kwenye kauli hii muhimu sana; “ukitaka mafanikio ya muda mfupi sia mpunga, ukitaka mafanikio ya muda wa kati panda miti, lakini ukitaka mafanikio ya muda…

Read More Read More

Featured
Mafanikio yoyote yanataka ufanye hivi

Mafanikio yoyote yanataka ufanye hivi

Rafiki, kila mtu anataka mafanikio. Tunachotofautiana ni namna ya kuyapata na jinsi yakuyaishi mafanikio hayo. Ili uweze kuyapata mafanikio ya kweli inakupasa ufike mahali useme “hakuna kurudi nyuma au huna cha kupoteza ” Katika historia ya dola yenye nguvu kuliko zote kuwahi kutokea ulimwengu ambayo ni dola ya Kirumi, ilianza baada ya jamhuri ya Roma ikiwa inaongozwa na seneti pamoja na Pompey iliweka sheria kali sana. Sheria hiyo iliyokuwa ikiwakataza majenerali wa jeshi kuingia katika mji wa Roma wakiwa na…

Read More Read More

Featured
Hili ndilo lengo la elimu

Hili ndilo lengo la elimu

Rafiki, kila mwaka wasomi wanaongezeka. Si hivyo tu wanaojua kusoma na kuandika nao pia wanaongezeka. Pamoja na ukweli huo, bado hiki ndicho kipindi ambacho watu na wasomi wengi hawana mchango chanya kwenye maisha yao na hata maisha ya wengine kwa ujumla. Ni kipindi ambacho kuna wasomi wengi mtaani, lakini ndiyo matitatizo mengi yanazidi kuikabili mitaa na wanamitaa. Ni kipindi ambacho wasomi wengi wako mtaani wakisubiri kuajiriwa ili wapate ujira. Rafiki. lengo la elimu siyo kutengeneza tatizo la upungufu wa ajira,…

Read More Read More

Featured
Njia bora, matokeo bora

Njia bora, matokeo bora

Rafiki, bila shaka unafahamu kuwa ili uweze kupata mafanikio kwenye kile unachokifanya lazima kuna mahali sahihi pa kuanzia. Hakuna kitu kinanachoweza kufanikiwa bila ya kuwa na mahali pa kuanzia. Pamoja na ukweli huo, changamoto kubwa inayowafanya watu wengi wasifanikiwe kwenye yale wanayoyahitaji ni kutokujua njia bora ya kutumia. Bahati mbaya ni kuwa kama haujui njia, maana yake haujui pia pa kuanzia ni wapi, na hata pa kumalizia. Njia ziko nyingi, lakini siyo kila njia itakufaa wewe. Lazima kuna njia ambayo…

Read More Read More

Featured
Huyu ndiye bosi wa kweli

Huyu ndiye bosi wa kweli

Rafiki, ni kawaida kukutana na watu wakiitana bosi kwenye jamii yetu. Mfanyakazi huwa anamwita mwajiri wake bosi. Hata wafanyakazi wa ngazi ya chini ni kawaida kuwaita wafanyakazi wenzao wa ngazi za juu au wasimamizi wao kuwa ni mabosi. Pamoja na ukweli huo wa kwamba kila anayekuzidi cheo, kipato na fursa anaweza kuwa ni bosi, bado hiyo siyo sababu sahihi ya kukufanya umwite bosi au muitane mabosi. Siku zote bosi si yule anayekuzidi cheo kazini kwako, au si yule aliyekuajili, wala…

Read More Read More

Featured
Epuka kufanya makosa haya kwenye mahusiano

Epuka kufanya makosa haya kwenye mahusiano

Rafiki, kufanya kosa siyo kosa lakini kurudia kosa ndiyo haswa kosa lenyewe. Unaweza ukafanya makosa kwa mara ya kwanza, lakini ukirudia tena kufanya makosa hayo hayo inakuwa ni makusudi. Kunakufanya makosa bila kujua na kufanya makosa kwa kujua kabisa kwamba hilo unalotenda ni kosa. Siku zote makosa yanayofanywa baada ya kujua huwa ndiyo makosa mabaya zaidi kwa sababu yanaonesha kwamba wewe siyo mtu unayekubali kujifunza na kubadilika. Unataka uendelee vile vile ulivyozoea. Kwenye maisha na mahusiano unapaswa kuepuka makosa unayoyafanya…

Read More Read More

Featured
Ili ufanikiwe katika kile unachofanya, fanya hili jambo

Ili ufanikiwe katika kile unachofanya, fanya hili jambo

Rafiki, Nafahamu kuwa kila mtu amekuwa akisisitiza kuwa unatakiwa kufanya kile unachokipenda kwenye maisha yako ili uweze kufanikiwa. Lakini ukweli ni kwamba, huwezi kuyafikia mafanikio makubwa kama tu utafanya kile unachopenda kufanya. Kile tu unachojisikia kufanya. Kama ingekuwa ni hivyo basi watu waliofanikiwa wangekuwa ni wengi sana, kwani kila mtu anapenda kufanya kile anachokipenda. Siri ya mafanikio imefichwa kwenye vitu ambavyo huvipendi kuvifanya. Vile ambavyo hujisikii kuvifanya wewe kama wewe ndiyo huleta mafanikio ya kweli. Watu waliofanikiwa ni wale tu…

Read More Read More

Featured
Ili kuepuka kuwa na wivu wa kimapenzi kwa mwenza wako fanya hivi

Ili kuepuka kuwa na wivu wa kimapenzi kwa mwenza wako fanya hivi

Rafiki, pata picha unakutana na mtu mgeni leo leo, na anakwambia anataka kukuoa au kuolewa na wewe, je utajisikiaje? Utamwamini kweli? Utamkubalia au utamkatalia? Bila shaka hutamkubalia kwa haraka haraka hivyo, bali utahitaji muda zaidi ili umjue na kumchunguza kwani undani zaidi. Utahitaji ufanye urafiki naye kwanza na kisha kuingia kwenye uchumba na hatimaye ndoa. Unafikiri Lengo ni kumjua na kumwelewa yule unayetaka kuingia naye kwenye mahusiano ya ndoa. Ndoa ni jukumu na wajibu wa maisha yako yote pale unaamua…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo chanzo wivu wa kimapenzi na jinsi ya kukiepuka

Hiki ndicho chanzo chanzo wivu wa kimapenzi na jinsi ya kukiepuka

Rafiki, kila kona ni kilio cha wivu wa kimapenzi. Wivu wa kimapenzi umekuwa ni chanzo cha migogoro, kuumizana na hata kuuana. Wanandoa na wapenzi wanatengana na kuachana kila siku sababu ya wivu wa kimapenzi. Wanandoa na wapenzi wanajeruhiana kila siku sababu ya wivu wa kimapenzi. Na hata wengine hufikia hatua ya kuuana sababu ya wivu wa kimapenzi. Lakini je ni nini hasa husababisha wivu wa kimapenzi?chanzo hasa ni nini? Je ni mapenzi kweli au kunakingine? Na nini kifanyike? Kabla ya…

Read More Read More

Featured
Ili kuepukana na madhara ya wivu wa kimapenzi fanyeni hivi

Ili kuepukana na madhara ya wivu wa kimapenzi fanyeni hivi

Rafiki, kumekuwepo na matukio mengi ya wanandoa au wapenzi kujeruhiana, kuumizana na hata kuuana kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa kimapenzi. Lakini ukikaa na kuchunguza, utagundua kwamba chanzo siyo hicho bali kuna changamoto za muda mrefu ambazo zina kuwa hazijatatuliwa. Moja ya changamoto inayowakabili wapenzi wengi ni Mawasiliano hafifu. Najua unafahamu; na kama haufahamu hili naomba leo ufahamu hivyo. Siku zote mahusiano ni mawasiliano. Ukitaka mahusiano yoyote yafe, basi kata au punguza mawasiliano. Kinachopelekea wapenzi kujeruhiana na hata kuuana ni…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kukabiliana na wivu wa kimapenzi

Hivi ndivyo unavyoweza kukabiliana na wivu wa kimapenzi

Rafiki, kila kona, kila sehemu siku hizi kilio kikubwa sana na chanzo kikubwa cha wanandoa na wapenzi kujeruhiana au kuuana kabisa huwa ni wivu wa kimapenzi. Wivu wa kimapenzi umeua wengi, umejeruhi wengi na umevunja ndoa nyingi tu. Hisia ya wivu ni muhimu sana kwenye maisha yetu, ikiwemo mahusiano ya ndoa, kwani hutumika kukilinda kile ambacho tunacho. Lengo ni kuwalinda wenza wetu kwa kuwajali, kuwahudumia kwa kuhakikisha hawaangukii kwenye u miliki au himaya ya watu wengine. Pamoja na ukweli huo,…

Read More Read More

Featured
Kwanini unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako ?

Kwanini unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako ?

Rafiki, upendo wa kweli ni msingi muhimu sana wa kujenga mahusiano yako imara na ya kudumu. Upendo wa kweli ambao unapaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa, ni upendo wa agape, upendo wa kiMungu, upendo usio na masharti. Unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako, kwani upendo wa kweli huvumilia. Hakuna mtu aliyekamilika, kila mtu anamapungufu yake kisaikolojia, kimwili na hata kiroho. Kutokana na mapungufu hayo, kila mtu anayeingia kwenye ndoa, lazima avumiliane na mwenza wake. Ni upendo pekee, ndiyo utakufanya…

Read More Read More

Featured
Jenga mahusiano yako ya ndoa kwenye msingi huu

Jenga mahusiano yako ya ndoa kwenye msingi huu

Rafiki, mahusiano ya ndoa yanayodumu kwa muda mrefu na kuwa na furaha na amani yanatokana na kujengwa kwenye msingi imara. Msingi imara ni ule usioteteleka, usiooza wala kumomonyoka. Msingi ambao unajengwa kwenye vitu vinavyodumu badala ya kupita. Usijenge mahusiano yako ya ndoa kwa kutegemea uzuri wa mwili, uzuri huwa haudumu. Nywele hubadilika, rangi ya ngozi hufubaa na kusinyaa. Kuona kunapungua, kusikia nako kunapungua. Meno hung’ooka na mwili hupungua au kuongezeka. Kama ndoa na mahusiano yako umeyajenga kweny uzuri na muonekana…

Read More Read More

Featured
Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi 2

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi 2

Rafiki, kuzaa si kazi, kazi kulea mwana. Ni msemo maarufu wa Kiswahili ukiweka bayana ugumu uliopo kwenye kulea watoto. Kwenye mahusiano ya ndoa, wanandoa lazima mjue njia na namna bora ya kuwalea watoto mtakao wazaa. Moja ya kitu muhimu kujua kwenye kulea watoto ni kile wanachokihitaji ili waweze kuwa watoto wenye maadili mema kwenye jamii na taifa kwa ujumla. Watoto wanahitaji mafundisho kuliko wanavyohitaji ushauri kutoka kwa wazazi au Walezi wao. Kama ulipitwa makala iliyotangulia juu kile ambacho watoto hukihtaji…

Read More Read More

Featured
Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi

Rafiki, kuzaa mwana siyo kazi; kazi kulea mwana. Ni kauli muhimu sana ya Kiswahili inayosisitiza ugumu uliopo kwenye malezi ya watoto. Kulea ni kazi kubwa sana, tena ni wajibu mkubwa wa kila mzazi kushiriki. Mzazi au mlezi anategemewa kufanya mambo makuu mawili ambayo ni kulea na kumfundisha mtoto. Ulezi mzuri wa watoto lazima uhusishe mafundisho mazuri kwa watoto. Bahati mbaya ni kuwa; wazazi au walezi wengi huwa hawajui kuwa, muda mzuri wa kumfundisha mtoto ni kuanzia umri wa miaka 0…

Read More Read More

Featured
Kwenye mahusiano ya ndoa, malezi mazuri ni jukumu lenu wanandoa

Kwenye mahusiano ya ndoa, malezi mazuri ni jukumu lenu wanandoa

Rafiki, moja ya changamoto kubwa sana kwenye mahusiano ya ndoa ni malezi mazuri ya watoto. Bahati mbaya ni kuwa hakuna chuo au shule inayofundisha wazazi kulea watoto wao, bali kila mzazi analea kulingana na vile yeye alivyolelewa na wazazi wake. Bila shaka umeshawahi kusikia, moja ya kauli ama misemo maarufu sana kwenye jamii yetu, linapokuja suala la malezi mazuri au mabaya ya watoto wetu. Utamsikia mtu anasema “watoto wa siku hizi bwana” au kauli ya “watoto wa kidijitali, watoto wa…

Read More Read More

Featured
Haya ndiyo makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano

Haya ndiyo makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano

Rafiki, tendo la ndoa linakusudi lake kwenye mahusiano ya ndoa. Likidanyika nje na makusudi yake, huwa linaleta matatizo, hatia, aibu, uoga, uchungu na hata kukata tamaa na maumivu ya moyo. Ni muhimu kujifunza na kujua ni nini hasa mkasudi ya tendo la ndoa na jinsi linvyoweza kuleta uhuru, furaha, amani na upendo kwenye ndoa. Makusudi ya tendo la ni pamoja na; 1. Tendo la ndoa ni kwa ajili ya kuzaliana. Hili ni kusudi ambalo kila mtu analifahamu. Hata mtoto mdogo,…

Read More Read More

Featured
Dhibiti na tawala hamu na njaa hii kwenye mahusiano yako ya ndoa

Dhibiti na tawala hamu na njaa hii kwenye mahusiano yako ya ndoa

Rafiki, zipo hamu au njaa nyingi kwenye mahusiano ya ndoa. Kuna hamu ya chakula, maji, usingizi, n.k . Lakini moja ya hamu muhimu ambayo inahitaji kulishwa na kushibishwa ni tendo la ndoa. Tendo la ndoa ni hitaji linalopaswa kutimizwa au wanandoa kutimiziana. Pamoja na ukweli huo, lakini tendo la ndoa ni zaidi ya hitaji. Ni hamu, ni kiu, ni njaa inayopaswa kushibishwa. Rafiki, unahitaji kujua kuwa, hamu yoyote ile tunaweza kuishibisha au kuikata kama watoto wa mjini wanavyoita. Si Hivyo…

Read More Read More

Featured
Kwenye mahusiano ya ndoa, mpe kitu hiki mwenza wako

Kwenye mahusiano ya ndoa, mpe kitu hiki mwenza wako

Rafiki, mahusiano ya ndoa yenyefuraha na amani huhitaji umakini wako kuliko kitu kingine chochote. Unahitaji umakini juu ya ndoa yako, lakini pia umakini wako juu ya mwenza wako. Kumpa umakini wako mwenza wako, ni kitu kidogo sana , siyo gharama kivile na hakichukui muda mrefu pia lakini madhara yake ni makubwa usipomfanyia mwenza wako. Umakini wako unaweza kufanyika kwa njia mbali mbali, ikiwemo kumpa pongezi na kutambua mchango wake kwenye kile anachofanya kwa ajili yako. Inaweza ikawa kumpongeza kwa kupika…

Read More Read More

Featured
Acha kudhania unampenda au unapendwa badala yake fanya hivi

Acha kudhania unampenda au unapendwa badala yake fanya hivi

Rafiki, kwenye mahusiano ya ndoa siku zote, upendo huoneshwa mara kwa mara badala ya kudhania au kufikiri unapendwa au unapendwa. Kamwe usidhani kwamba mwenza wako anajua unapenda bali, unapaswa kumwambia.Na hata kama ulimwambia jana kwamba unampenda, mwambie na leo tena, na kesho na kesho kutwa tena na tena. Mwenza wako anahitaji kusikia kila siku, kila wakati kwamba unampenda, hivyo mwambie mke au mume wako kwamba unampenda, hata kama anaonekana ni imara, bado anahitaji kuatamkiwa na wewe kwamba anapendwa. Muoneshe kwa…

Read More Read More

Featured
Kumshukuru na kumthamini mwenza wako ni muhimu kwenye mahusiano ya ndoa

Kumshukuru na kumthamini mwenza wako ni muhimu kwenye mahusiano ya ndoa

Rafiki, hakuna kitu kinachojenga mahusiano ya ndoa kwa urahisi kama kumshukuru, kumkubali na kumthamini mwenza wako. Kushukuru na kuwakubali wenza wetu huwa ni pamoja na kutambua na kuthamini yale wanayofanya kwetu, pia kuwaonesha kwamba tunatambua na kuthamini kile wanachokifanya kwetu. Si hivyo tu, kumshukuru na kumthamini mwenza wako, inaamanisha kumsifia kwa kile alichokikamilisha au kufanikiwa. Kumsifie kwenye mafanikio yake. Mara nyingi ni rahisi kukosoa au kuwa na wivu kwa wenza wetu pale wanapofanikiwa au kukamilisha jambo fulani ambalo sisi hatujafanikiwa…

Read More Read More

Featured
Kwenye mahusiano ya ndoa, kanya lakini usipinge au kukosoa

Kwenye mahusiano ya ndoa, kanya lakini usipinge au kukosoa

Rafiki, kupinga na kukosoa huwa hakuna faida kwa yeyote yule, anayekosolewa ama anayekosoa. Kukosoa ni kitu kidogo, lakini ni hatari sana kwenye mahusiano ya ndoa, kwani huzuia mawasiliano mazuri kuwepo baina ya wanandoa. Kukosoa na kupiga kile anachoongea au kufanya mwenza wako ni njia rahisi ya kumuumiza, kumkasirisha na kuzuia mawasiliano kwenye mahusiano. Lengo la Kukosoa na kupinga siku zote huwa ni kutafuta makosa badala ya kutafuta suluhisho. Ili kutafuta suluhisho, unatakiwa kukanya, kukemea na kuonya badala ya kukosoa na…

Read More Read More

Featured
Haya mambo madogo madogo usiyachukulie poa kwenye ndoa.

Haya mambo madogo madogo usiyachukulie poa kwenye ndoa.

Rafiki, kwenye mahusiano ya ndoa ni muhimu kushugulikia mambo madogo madogo, kwani ndiyo huwa yanafanya mambo makubwa kuwepo. Hupaswi kabisa kupuuzia mambo ambayo yanaonekana ni madogo, kwani baada ya muda mambo hayo huwa yanageuka na kuwa makubwa. Migogoro mingi kwenye ndoa na mahusiano mengi hutokana na wahusika kudharau mambo madogo madogo yanayotokea kwenye mahusiano yao. Wanaona havina madhara makubwa kwenye mahusiano yao, lakini baada ya muda huwa yanakuwa na madhara makubwa. Ukiwa unadaiwa shilingi mia tano, ni tofauti na yule…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara 3

Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara 3

Rafiki, kitu chochote chenye kudumu huwa kinajengwa kwenye msingi imara, mahusiano ya ndoa pia hayana utofauti kwenye hilo. Mahusiano ya ndoa huwa ni ya kudumu, lakini si kila mahusiano huduma. Hayadumu kwa sababu ya kujengwa kwenye misingi mibovu, hivyo kufeli kirahisi. Kwenye makala zilizopita tayari tumeshajifunza misingi mitano unayoweza kuitumia kujenga mahusiano yako ya ndoa na yakawa imara na ya kudumu. Misingi hiyo ni pamoja na maarifa, upendo, ukweli, kuaminiana na kujitoa. Unaweza kuzisoma misingi hiyo hapa na hapa. Leo…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara 2

Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara 2

Rafiki, mahusiano yenye furaha, upendo na amani huwa siyo ajali, bali ni mipango, malengo na mikakati ya kujenga kwenye msingi imara. Msingi imara ni muhimu sana unapojenga mahusiano yako. Soma hapa kama ulipitwa na sehemu ya kwanza ya makala hii. Leo tunaendelea na misingi mingine ambayo ni muhimu kuijua ili kujenga mahusiano yaliyo imara. 4. Kuaminiana; Mahusiano yoyote yale ya nahitaji kuaminiana. Kuaminiana kunatokana na kuambiana ukweli bila kufichana. Kuwekana wazi kwa kila kitu bila kufichana. Hakuna kitu kinachoweza kuvunja…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara

Hii ndiyo misingi muhimu ya kujenga mahusiano yako imara

Rafiki, kujenga nyumba imara na ya kudumu unahitaji msingi imara. Hii haina tofauti yoyote linapokuja suala la kujenga mahusiano bora ya ndoa, kunahitajika msingi bora na imara ili kuwa na mahusiano bora na imara. Hapa kuna misingi muhimu ya kuzingatia ili kuwa na mahusiano bora na imara. 1. Maarifa; mahusiano mengi hufa kwa sababu ya wanandoa kukosa maarifa juu ya wenza wao, juu ya ndoa na hata maarifa juu yao. Maarifa ni msingi muhimu sana unaoweza kuutumia ili kujenga mahusiano…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo mgawanyo mzuri wa majukumu kwenye mahusiano yenu

Huu ndiyo mgawanyo mzuri wa majukumu kwenye mahusiano yenu

Rafiki, kwenye mahusiano ya ndoa, hakuna jukumu la kudumu na mahususi kwa mwanamke au mwanamume bali kuna wajibu wa muda mfupi, kutegemeana na mahitaji ya wakati huo. Mahusiano yanayoongozwa na mtazamo huu wa mgawanyo wa majukumu ni muhimu sana kwa ukuaji na ustawi wa mahusiano yenu ya ndoa. Mahusiano ya ndoa yasiyo kuwa na majukumu ya kudumu; yanamtaka mwenza kushiriki katika jukumu kulingana na uwezo, uhitaji na nafasi aliyonayo kwa wakati huo. Mfano; nani anayetakiwa kupika mara kwa mara kati…

Read More Read More

Featured
Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano yenu 2

Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano yenu 2

Rafiki, kwenye ndoa kuna majukumu ambayo ynaataakiwa kufanyika au kufanywa. Kama wanandoa mtahitaji kula, kuvaa nguo safi, kuhudumia familia na hata kufanya usafi wa ndani na nje nyumba. Mgawanyo wa majukumu ni muhimu sana kwenye mahusiano ya ndoa. Pamoja na ukweli huo, kumekuwepo na changamoto nyingi sana kwenye mahusiano ya ndoa zinazosababishwa na wanandoa kutokujua chanzo chao cha mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa, hivyo kupelekea kugombana na hata kutalakiana. Unapaswa kufahamu chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano unayotarajia kuingia…

Read More Read More

Featured
Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano yenu

Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano yenu

Rafiki, mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano ya ndoa huwa unatofautiana kati ya ndoa, uelewa wa wanandoa pamoja na chanzo cha mgawanyo wa majukumu ya ndoa ambacho wanandoa hao wanafuata. Kuna vyanzo vinne vya mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano ya ndoa ambavyo wanandoa wengi hufuata. 1. Kimila au utamaduni 2. Wazazi 3. Jamii 4. Dini au kanisa. Kama ulipitwa na makala iliyopita juu ya mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa unaotokana na mila au utamaduni, faida na hasara zake, soma hapa. 2….

Read More Read More

Featured
Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwa mwenza wako

Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwa mwenza wako

Rafiki, bila shaka umeshawahi kusikia, kuona na kushuhudia ndoa au mahusiano yakivunjika, kusabaratika na wahusika kutengana kabisa kwa madai ya kutokupikiwa, kufuliwa au hata usafi wa ndani kuokufanyika vizuri. Ndoa na mahusiano mengi huingia kwenye migogoro na changamoto hizi, hasa ndoa changa kwa sababu ya wanandoa kutokujuana vizuri. Kuishi pamoja kama mke na mume huwa kuna majukumu mbali mbali yanapaswa kufanyiwa maamuzi nakutekelezwa. Nani anategemewa kuwa atakuwa anapika, analeta mahitaji ya familia, anafua na hata kuangalia nyumba na kulea watoto….

Read More Read More

Featured
Jua mgawanyo huu wa majukumu kwenye mahusiano ya ndoa

Jua mgawanyo huu wa majukumu kwenye mahusiano ya ndoa

Rafiki, bila shaka umeshawahi kusikia au hata kuona mgawanyo wa majukumu kati ya mwanamke na mwanamume. Unafikiri yalitokea wapi? Kwa ni kunakuwa na mgawanyo wa majukumu? Je, kuna umuhimu wowote kufahamu? Ili kufahamu mgawanyo wa majukumu na chanzo chake karibu tujifunze hapa. Mwisho wa makala hii tujijua kama ni muhimu kuwepo au si muhimu. Siku zote mafanikio ya ndoa au mahusiano yoyote huwa hayaji kama zali. Kuoa au kuolewa siyo garantii ya wewe kuwa na mahusiano bora. Ndoa inachokifanya ni…

Read More Read More

Featured
Mtimizie mahitaji haya ya msingi mwenza wako

Mtimizie mahitaji haya ya msingi mwenza wako

Rafiki, kila kitu unachokifanya lengo ni kutimiza mahitaji yako ya msingi. Kwenye mahusiano pia huwa kuna mahitaji ya msingi ambayo mke na mume lazima watimiziane ili kuwa na ndoa yenye furaha na amani. Migogoro na changamoto nyingi kwenye mahusiano hutokana na wahusika kutokujua mahitaji ya msingi ya wenza wao. Mwanamume na mwanamke wanamahitaji tofauti kulingana na utofauti walionao kijinsia. Hivyo ni muhimu kujua mahitaji ya msingi ya mwenza wako ili uweze kumtimizia kwenye mahusiano yenu. Pale unapotimiza mahitaji yake ndivyo…

Read More Read More

Featured
Timiza mahitaji haya kwa mwenza wako ili kuwa na ndoa yenye furaha na amani

Timiza mahitaji haya kwa mwenza wako ili kuwa na ndoa yenye furaha na amani

Rafiki, mahitaji yasiyotimizwa au kutimia huwa ni chanzo cha mfadhaiko na kukata tamaa kwa watu wengi kwenye mahusiano. Hivyo kitu cha muhimu kabisa ni mahitaji kutimia na kutimizwa kwenye mahusiano. Ni muhimu kukumbuka kuwa lengo la mahusiano ya ndoa ni kumtimiziana mahitaji ya msingi. Pale unapotimiza mahitaji ya msingi ya mwenza wako, na wewe mahitaji yako yanatimia au kutimizwa na mwenza wako. Hali hii hutokea automatiki, kwani mtu ambaye mahitaji yake yanatimizwa au kutimia naye hujikita kutimiza mahitaji ya mwenza…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili ya kuzingatia ili kumpenda mwenza wako 2

Mambo mawili ya kuzingatia ili kumpenda mwenza wako 2

Rafiki, ili kumpenda mwenza wako unahitaji kufahamu na kuzingatia mambo mawili muhimu kwenye mahusiano yako ya ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya jambo la kwanza la kuzingatia ili umpende mwenza wako basi soma hapa. Leo tunakwenda kujifunza jambo la pili ili uweze kumpenda mwenza wako. 2. Kanuni ya mahitaji: kulingana na u tofauti wetu kwenye maumbilie na uumbaji, mwanamke na mwanamume wana mahitaji tofauti. Mahitaji ni sawa na kanuni zinazofanya bidhaa ifanye kazi. Hata kwenye ndoa au mahusiano,…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili ya kuzingatia ili kumpenda mwenza wako

Mambo mawili ya kuzingatia ili kumpenda mwenza wako

Rafiki, kama ilivyo umuhimu wa maarifa kwenye mafanikio yoyote yale, ndivyo ilivyo pia kwenye mahusiano ya ndoa. Hivyo kukosa maarifa juu ya mwenza wako na ndoa kwa ujumla ni chanzo cha mahusiano kufa. Ujinga huwa ni hatari sana kwenye mahusiano. Migogoro na mivutano mingi kwenye mahusiano ya ndoa ni kwa sababu wengi huwa hawajuani wala kufahamiana. Huwa wanashindwa kuelewe kwamba mwanamke na mwanamume huwa wanafikiri na kuwaza tofauti, na pia huwa wanayaona na kuyatafsiri mazingira yanayoeazunguka kwa mitazamo tofauti.! Hali…

Read More Read More

Featured
Hizi ni dalili za mtu anayejichukia na kujikataa kwenye mahusiano

Hizi ni dalili za mtu anayejichukia na kujikataa kwenye mahusiano

Rafiki, kama kuna kitu kibaya kwenye maisha ya mahusiano ni kujichukia na kujikataa mwenyewe. Mtu anayejichukia na kujikataa hawezi kuishi na mtu yeyote kwenye mahusiano. Mara nyingi watu wanaojichukia na kujikataa ni wale ambao wanaishi kwa yale yaliyo pita. Watu hawa wanapaswa kujua kuwa kilichopita kimeshapita. Vile tulivyokuwa au yale yaliyokwisha kututokea hayajalishi tena. Kinachojalisha ni vile tulivyo au vile kilivyo sasa na tutakavyo kuwa au kitakavyokuwa hapo baadaye. Pale unapoishi kwenye makosa yaliyopita, majuto na lawama hupelekea kujishusha hadhi,…

Read More Read More

Featured
Hili ni kosa kubwa unalofanya kwenye mahusiano yako.

Hili ni kosa kubwa unalofanya kwenye mahusiano yako.

Rafiki, kujichukia ni adui mkubwa sana kwenye mahusiano yako. Ni kosa kubwa ambalo watu hulifanya bila kujua madhara yake. Ukiwa unajichukia wewe mwenyewe, hutaweza kuishi kwenye mahusiano yoyote yale. Watu wengi hawawezi kuishi na watu wengine kwa sababu hawawezi kuishi wenyewe. Si hivyo hawawezi kutoa upendo wala kupokea kwa sababu wao wenyewe hawajipendi. Huwezi kutoa kile ambacho huna. Kama unajichukia wewe, huwezi kumpenda jirani yako kwa sababu unajichukia. Njia moja wapo ya kuwapenda wengine ni wewe kujipenda. Ni wewe kutokujichukia….

Read More Read More

Featured
Njia pekee ya kumjua na kumpenda mwenza wako

Njia pekee ya kumjua na kumpenda mwenza wako

Rafiki, hakuna kitu muhimu kwenye mahusiano ya ndoa kama kumjua mwenza wako. Unapaswa kumjua mwenza wako kuliko uavyoweza kumjua mtu yeyote duniani. Kumjua na kumfahamu mwenza wako ndiyo msingi na chanzo cha ndoa imara na yenye furaha. Ili uweze kumpenda mwenza wako unahitaji kumjua, kwani huwezi kumpenda usiyemjua. Siri ya ndoa yenye amani ni wanandoa kujuana kwa undani. Ukimjua mwenza wako, utakuwa huru. Ndiyo maana maandiko matakatifu yanasema, nanyi mtaifahamu kweli, na hiyo kweli itawaweka huru. Maana ya kuifahamu ni…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo upendo wa kweli unaopaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa 4

Huu ndiyo upendo wa kweli unaopaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa 4

Rafiki, mahusiano ya ndoa yanahitaji upendo wa kweli ili yaweze kuwa imara na ya kudumu. Pamoja na ukweli huo, upendo wa kweli umekuwa ni changamoto sana kwenye jamii yetu ya sasa. Watu wanaingia kwenye ndoa bila kuwa na uelewa wa ni upi upendo wa kweli na upi siyo upendo wa kweli. Watu wengi huchanganya kati ya aina nne za upendo, yaani upendo wa kirafiki ( Phileo love), Upendo wa kifamilia au kindungu (Storge love), Upendo wa kimapenzi au huba (Sexual…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo upendo wa kweli unaopaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa 3

Huu ndiyo upendo wa kweli unaopaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa 3

Rafiki, watu wengi hawaujui upendo wa kweli, licha ya kuwa wanausikia tu. Upendo wa kweli ni msingi mzuri wa kujenga mahusiano ya ndoa yaliyo imara na bora. Kutokuujua huku kunatokana na ukweli kwamba upendo wa kweli huchanganywa na aina nyingine za upendo; ambazo tunajifunza hapa ili kuweza kujua upi ni upendo wa kweli na upi siyo. Kama ulipitwa na makala juu ya aina za upendo tulizojifunza zisome hapa na hapa. Leo tunaendelea na aina nyingine ya upendo. Lengo ni kujifunza…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo upendo unaotakiwa kujenga mahusiano yako ya ndoa 2

Huu ndiyo upendo unaotakiwa kujenga mahusiano yako ya ndoa 2

Rafiki, ili kujenga mahusiano bora na ya kudumu unahitaji upendo. Upendo ni kiungo bora sana kwenye kujenga uhusiano wa ndoa imara. Pamoja na ukweli huo, si kila aina upendo unaweza kujenga ndoa iliyoimara. Kuna aina nne za upendo kutokana na lugha ya Kigiriki. Upendo wa kirafiki ( Phileo love), Upendo wa kifamilia au kindungu (Storge love), Upendo wa kimapenzi au huba (Sexual love) pamoja na Upendo wa kiMungu (Agape love). Lengo la kuzipitia na kujifunza aina hizi ni kujua upi…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo upendo unaotakiwa kujenga mahusiano yako ya ndoa

Huu ndiyo upendo unaotakiwa kujenga mahusiano yako ya ndoa

Rafiki, Upendo huwa ni kiungo muhimu sana kwenye mahusiano yoyote yale. Pamoja na ukweli huo, bado huwa kuna aina mbali mbali za upendo ambazo bila kuzielewa uimara na mapungufu yake hutaweza kujenga mahusiano ya ndoa yaliyo bora na ya kudumu. Si kila upendo ni msingi unaoweza kuutumia kujenga ndoa yenyefuraha furaha na amani. Ni muhimu kufahamu kuwa lugha yetu ya Kiswahili, kama zilivyo lugha zingine ikiwemo Kingeleza ni kutumia neno moja tu yaani “Upendo” kwa Kiswahili au “Love” kwa Kingeleza…

Read More Read More

Featured
Ni wapi unajifunza upendo wa kweli?

Ni wapi unajifunza upendo wa kweli?

Rafiki, upendo ni neno ambalo inasemekana ndiyo linaongoza kwa kutumika sana katika jamii yetu kwa sasa. Siyo tu kwenye mitandao ya kijamii, redioni, kwenye luninga, magazetini, kwenye vitabu, kwenye midomoya watu bali hata kwenye nyimbo wanazotunga na kuimba utalisikia, utaliona na kulisoma. Watu wengi wamefanya makosa kwa jina la upendo, wameua kwa jina la upendo, wametapeli na kudhurumu kwa jina la upendo. Si hivyo tu, kuna wanaooana kwa jina la upendo, lakini pia kuna wanaoachana au kutalikiana kwa jina la…

Read More Read More

Featured
Sifa mbili zinazofanya urafiki uwe kiungo muhimu kwenye ndoa

Sifa mbili zinazofanya urafiki uwe kiungo muhimu kwenye ndoa

Rafiki, ndoa ni mahusiano muhimu na ya awali kabisa, kwani hutangulia aina nyingine za mahusiano. Pamoja na ukweli huo, urafiki huwa ni kichocheo muhimu sana kwenye mahusiano ya ndoa, ili iwe na furaha na amani. Mahusiano yoyote yanapaswa kuhusisha urafiki ili yaweze kuwa bora, yenye furaha na amani. Uchumba unatakiwa upitie hatua hii muhimu ya urafiki, ili wahusika waweze kujuana kwa undani. Ni muhimu kutambua kuwa; mahusiano ya ndoa yasipofuatiwa na mahusiano ya urafiki kati ya mke na mume, ndoa…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho kitu pekee unachokihitaji kwenye ndoa ili kumjua mwenza wako

Hiki ndicho kitu pekee unachokihitaji kwenye ndoa ili kumjua mwenza wako

Rafiki, hakuna mahusiano ya msingi na ya muhimu kama mahusiano ya ndoa. Mahusiano haya hutangulia aina nyingine za mahusiano. Hakuna mahusiano mengine yanayopaswa kuwa na ukaribu kama walionao mke na mume, iwe ni mahusiano ya baba na mtoto, mama na mtoto au ndugu na jamaa. Ukaribu wa ndani walionao wanandoa siyo tu umetokana na upendo bali hata vile wanavyokuwa wanajuana. Mke na mume wanapaswa kujuana kuliko wanavyomjua mtu yeyote hapa duniani. Na hapa ndipo changamoto ya wanandoa wengi inapoanzia. Utakuta…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 4

Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 4

Rafiki, hakuna maamuzi magumu kama maamuzi ya kuingia kwenye ndoa. Ni maamuzi ambayo ukiyafanya kwa kukosea, madhara yake huwa hayaishii kwako tu bali huwaadhiri pia na wale wanaokuzunguka. Hivyo kabla ya kuingia kwenye ndoa ni muhimu mno kujua sababu ambazo ni nzuri kwako kuingia kwenye ndoa. Kumbuka kuna sababu mbaya na za hovyo ambazo baadhi ya watu huingia nazo kwenye ndoa matokeo yake ni kuachana na kutalakiana. Kama ulipitwa na makala zilizopita juu ya sababu zisizofaa kuingia kwenye ndoa, zisome…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 3

Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 3

Rafiki, kila anayeingia kwenye ndoa huwa kuna sababu zinazomsukuma, kumvututia au kumfanya aoe au kuolewa. Hivyo kuna sababu nzuri na mbaya zinazoweza kumfanya mtu kuingia kwenye mahusiano ya ndoa. Sababu mbaya na zisizofaa kuingia kwenye ndoa tumeshajifunza unaweza kuzisoma hapa, lakini pia kama ulipatwa na makala zizotangulia juu ya sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa unaweza kuzisoma hapa na hapa. Leo tunaendelea na sababu zingine, karibu 6. Urafiki au mwenza. Kama unahamu ya kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwa…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 2

Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa 2

Rafiki, kwanini unaoa au kuolewa? Je ni sababu ipi au zipi zinazokufanya au zilizokufanya uingie kwenye ndoa? Ni muhimu kujua sababu za sahihi na zisizosahahihi kuingia kwenye ndoa. Tumeshajifunza sababu zisizosahahii kwa kuingia kwenye ndoa katika makala zilizopita zisome hapa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya sababu nzuri na za msingi za wewe kuingia kwenye ndoa zisome hapa. Leo tunaendelea na sababu zingine muhimu zinazoweza kukufanya uingie kwenye ndoa. 4. Kuonesha upendo wa kiMungu kwa mwenza wako. Ndoa huwa…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa

Hizi ndizo sababu nzuri za kuingia kwenye ndoa

Rafiki, watu wengi huingia kwenye ndoa kwa sababu mbali mbali. Kuna wale wanaoingia kwa sababu mbaya na zisizofaa kabisa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa. Katika makala zilizotangulia, tumeshakwisha kuona na kujifunza sababu zisizofaa kuingia kwenye ndoa, kama ulipitwa na makala hizo zisome hapa. Katika makala hii tunakwenda kujifunza sababu nzuri na zinazofaa kuingia kwenye ndoa. Ni vizuri kukumbuka kuwa, ili ndoa iwe imara na ya kudumu sababu hizi zisimame pekee yake, bali kwa ujumla wake. Sababu moja pekee, inaweza isitoshe…

Read More Read More

Featured
Sababu hizi zisikusukume kuingia kwenye ndoa 4

Sababu hizi zisikusukume kuingia kwenye ndoa 4

Rafiki, sababu za watu kuingia kwenye ndoa ziko nyingi. Kuna wanaoingia kwa kusukumwa, kuna wanaoingia kwa kuvutiwa au kushawishiwa na vitu au mtu lakini pia kuna wale wanaoingia kwa sababu za hovyo kabisa, matokeo yake ndoa hizo hazidumu na haziwi na furaha upendo na amani. Kama ulipitwa sehemu zilizotangulia juu ya sababu zisizofaa kukusukuma kuingia kwenye ndoa, basi unaweza kuzisoma hapa na hapa. Leo tunaendelea na sababu zingine tena, karibu tuwe pamoja. 8. Kuoa au kuolewa kwa sababu ya kuogopa…

Read More Read More

Featured
Sababu hizi zisikufanye uingie kwenye ndoa 3

Sababu hizi zisikufanye uingie kwenye ndoa 3

Rafiki, ni sababu gani zinazokufanya uingie kwenye mahusiano ya ndoa? Kila mtu anasababu za msingi na sahihi zinazomfanya aingie kwenye ndoa. Pamoja na ukweli huo kuna baadhi ya watu huingia kwenye ndoa kwa sababu za hovyo na zisizofaa kabisa kuifanya ndoa hiyo iwe yenyefuraha na amani. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya sababu zisizofaa kwako wewe kuingia kwenye ndoa zisome hapa na hapa. Leo tunaendelea na sababu zingine za hovyo na zisizofaa kuingia kwenye ndoa. 6. Kuingia kwenye ndoa…

Read More Read More

Featured
Sababu hizi zisikufanye uingie kwenye ndoa

Sababu hizi zisikufanye uingie kwenye ndoa

Rafiki, watu huingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu mbalimbali. Wengine huingia kwa sababu nzuri na sahihi huku wengine wakiingia kwa sababu mbaya, za hovyo na zisizo sahiihi kabisa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya sababu zisizofaa kuingia kwenye ndoa, basi soma hapa. Leo tunaendelea na sababu zingine. 2. Kuingia kwenye ndoa kwa sababu ya kufanya mapenzi au tendo la ndoa. Kwa sababu tu, umeshafanya mapenzi na mtu huyo unaona kwamba unaweza kuingia naye kwenye ndoa, hii siyo sababu…

Read More Read More

Featured
Usioe au kuolewa kwa sababu zisizofaa kuingia kwenye ndoa

Usioe au kuolewa kwa sababu zisizofaa kuingia kwenye ndoa

Rafiki, huwa kuna sababu za msingi, nzuri na bora za kuingia na kuanzisha mahusiano ya ndoa yatakayo dumu. Lakini pia huwa kuna sababu za hovyo, mbaya ambazo mtu hutakiwi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu hizo. Ndoa nyingi siku hizi zinashindwa kufanikiwa na kudumu kwa sababu ya wanandoa wenyewe kutokujua kusudi hasa la ndoa ni nini? Na ni kanuni zipi zinafanya ndoa yenyefuraha, amani na upendo iweze kudumu? Kamwe hutakiwi kabisa kuingia kwenye mahusiano ya ndoa bila kuwaza kwa…

Read More Read More

Featured
Kubadili ndoa, mwenza, mpenzi siyo suluhisho, bali hili hapa ndiyo suluhisho

Kubadili ndoa, mwenza, mpenzi siyo suluhisho, bali hili hapa ndiyo suluhisho

Rafiki, siku hizi ni kawaida kuona na kusikia wanandoa wakiachana na kubadili ndoa, mwenza au mpenzi hata zaidi ya tano kama wanavyobadili kazi au ajira zao. Utamaduni huu wa kumbadilisha kazi au ajira umekuwepo kwa muda sasa, tofauti na ilivyokuwa hapo miaka ya nyuma. Mtu alikuwa akiajiliwa taasisi, kampuni au idara moja anaifanyia kazi mpaka anafikisha umri wa kustaafu. Kwa sasa mtu anaweza akahama na kubadili kazi au ajira yake hata mara tano au na zaidi mpaka anafikisha umri wa…

Read More Read More

Featured
Ndoa yenye furaha huwa siyo kama ajali, bali ni kujipanga

Ndoa yenye furaha huwa siyo kama ajali, bali ni kujipanga

Rafiki, siku zote mahusiano ya ndoa yenye furaha huwa siyo ajali bali huwa ni mipango na maadalizi mazuri ambayo wanandoa wenyewe huwa wanafanya. Kama ilivyo katika maeneo mengine ya mafanikio kwenye maisha, divyo ilivyo hata mafanikio kwenye ndoa, huwa haitokei tu kama ajali. Siri ya kufanikiwa katika maisha au kada yoyote ya maisha ni kujiapanga na kujiandaa. Na ili uweze kuwa na ndoa yenyefuraha unatakiwa kujipanga na kujiandaa. Bahati mbaya ni kwamba, ili uweze kujiandaa na kujipanga, unahitaji kuwa na…

Read More Read More

Featured
Kwanini mahusiano ya ndoa hutangulia mahusiano yote

Kwanini mahusiano ya ndoa hutangulia mahusiano yote

Rafiki, ukitoa mahusiano yako wewe na muumba wako ambayo ndiyo huwa ya kwanza na ni muhimu kuliko mahusiano yoyote yale, mahusiano yanayotangulia aina zote za mahusiano ni mahusiano ya ndoa kati ya mwanamume na mwanamke. Migogoro yote kwenye maisha ya mahusiano mara nyingi hutokana na ukweli kwamba, pale kipaumbele cha mahusiano ya wewe na Mungu wako, au mahusiano ya wewe na mwenza wako kuna kuwa na kitu au mtu mwingine ambaye amechukua nafasi ya Mungu au Mwenza wako, hivyo lazima…

Read More Read More

Featured
Kwanini mahusiano ya ndoa hutangulia mahusiano yote

Kwanini mahusiano ya ndoa hutangulia mahusiano yote

Rafiki, ukitoa mahusiano yako wewe na muumba wako ambayo ndiyo huwa ya kwanza na ni muhimu kuliko mahusiano yoyote yale, mahusiano yanayotangulia aina zote za mahusiano ni mahusiano ya ndoa kati ya mwanamume na mwanamke. Migogoro yote kwenye maisha ya mahusiano mara nyingi hutokana na ukweli kwamba, pale kipaumbele cha mahusiano ya wewe na Mungu wako, au mahusiano ya wewe na mwenza wako kuna kuwa na kitu au mtu mwingine ambaye amechukua nafasi ya Mungu au Mwenza wako, hivyo lazima…

Read More Read More

Featured
Kwenye ndoa, haijalishi unampenda nani bali penda zaidi hiki

Kwenye ndoa, haijalishi unampenda nani bali penda zaidi hiki

Rafiki, kwenye mahusiano ya ndoa, haijalishi unampenda nani bali kinachojalisha ni je unapenda nini? Unaweza ukampenda mwenza wako na wewe akakupenda kwa moyo wote. Hiyo haimanishi kwamba ndo hamtakwaruzana, kutofautiana na wakati mwingine kushindwa kuishi pamoja. Hivyo kwenye ndoa, haijalishi unampenda nani bali unapenda nini. Kupendana kwenye ndoa na mwenza wako siyo tatizo, tatizo ni je unapenda nini? Usimpende mtu pekee kwenye ndoa, kwani watu siyo waaminifu, wakuheshimiwa na huwa wanabadilika. Kadrii wanandoa wanapoishi pamoja huwa kuna mabadiliko yanayoendelea kutokea…

Read More Read More

Featured
Epuka kusukumwa na sababu hizi mbili kuingia kwenye ndoa

Epuka kusukumwa na sababu hizi mbili kuingia kwenye ndoa

Rafiki, ulishawahi kujiuliza ndoa ni nini? kwanini watu wanaoa na kuolewa? Ni nini hasa kinachowafanya watu kuingia kwenye ndoa? Basi leo katika makala hii tutajifunza kwamba ndoa ni zaidi ya hivi vitu viwili ambavyo watu hufikiria ndiyo kusudi la ndoa. 1. Ndoa si tendo la ndoa tu, bali ni zaidi ya hivyo. Kama huwa unafikiria ndoa ni tendo la ndoa tu, basi unafikiria kwa ufinyu sana. Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa. Ni kweli tendo la ndoa ni muhimu…

Read More Read More

Featured
Kosa moja wanandoa wengi hulifanya kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa

Kosa moja wanandoa wengi hulifanya kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa

Rafiki, kama kuna kosa ambalo watu wengi hulifanya, ni kuamua kuingia kwenye ndoa na mahusiano na mtu asiyefaa, huku ukiwa na matumaini kwamba ipo siku atabadilika tu. Lakini ukweli ni kwamba, kama mtu asipobadilika wakati wa uchumba hatoweza kubadilika mkiwa kwenye ndoa. Kama hakuweza kubadilika wakati anakutafuta, hatoweza kubadilika akishakupata. Uchumba ni sehemu muhimu ya kujuana na kufahamiana kwa undani, kuhusu historia ya mwenza wako, uimara na mapungufu yake pamoja na tabia zake za ndani. Katika uchumba huwa kuna hatua…

Read More Read More

Featured
Kufikiri kabla ya kutenda siyo tatizo, tatizo ni hili

Kufikiri kabla ya kutenda siyo tatizo, tatizo ni hili

Rafiki, bila shaka ulishawahi kukutana na msemo huu maarufu wa Kiswahili “fikiri kabla ya kutenda”. Unapaswa kufikiri kabla ya kutenda. Kila unachokifanya hakikisha umefikiria vizuri kabla ya kukifanyia kazi. Pamoja na ukweli kwamba watu wengi wanaweza kufikiria kabla ya kutenda, lakini tatizo kubwa huwa liko kwenye kufikiria vibaya au kwa uhasi, hali inayopelekea matendo yao pia kuwa mabaya au ya u hasi. Mfano; mara nyingi watu wanafikiri, huku wakiwa wametawaliwa na uoga na hasira. Matokeo yake ni kwamba, hasira na…

Read More Read More

Featured
Usipoitawala hasira yako, hiki ndicho kitakutokea

Usipoitawala hasira yako, hiki ndicho kitakutokea

Rafiki, kwa takribani wiki moja sasa kulitokea tukio ambalo kila mtu kweny e tasinia ya filamu alipatwa na mshutuko mkubwa baada ya Muigizaji maarufu wa kiume, Will Smith kushindwa kuitawala hasira yake na kwenda kumpiga Chris Rock, msanii wa vichekesho. Tukio hilo lilitokea kwenye tuzo maarufu za Oscar ambazo huwa zinaandaliwa na Academy. Wakati Chris akiwa kwenye jukwaa anachekesha, huku vyombo vya habari vyote vikiwa mbashara, alimtania mke wa Will Smith alivyo na kipara kama mmoja wa waigizaji wakuu kwenye…

Read More Read More

Featured
Kukosekana kwa uaminifu ni chanzo cha talaka na kuachana

Kukosekana kwa uaminifu ni chanzo cha talaka na kuachana

Rafiki, kama kuna kitu kinachopelekea ndoa na mahusiano mengi kuvunjika basi ni kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa. Utafiti uliofanywa huko nchini Marekani kwa wanaume na wanawake waliotalikiana na kuachana,ulionyesha kwamba asilimia 94 ya talaka na kuachana kulitokana na sababu ya kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa. Unaweza ukaona ni kwa jinsi gani tatizo la kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa ilivyo hatari kwa uhai wa ndoa na mahusiano mengi. Kunaweza kukawa na sababu nyingine nyingi zinazoweza kupelekea talaka, kama vile kutokuwajibika kwa…

Read More Read More

Featured
Sababu tano zinazochangia watu kuachana na kutalikiana kwenye mahusiano

Sababu tano zinazochangia watu kuachana na kutalikiana kwenye mahusiano

Rafiki, kumekuwepo na ongezeko la talaka na kuachana katika kipindi hiki kuliko hapo awali. Huku sababu mbali mbali zikiainishwa, hapa nimekuandalia sababu tano muhimu zinazofanya ndoa na mahusiano mengi kuvunjika na wahusika kuachana au kutalikiana. Kama ulipitwa na makala zilizopita juu ya talaka, zisome hapa na hapa. Kwenye makala ya leo tutaangazia sababu tano zinazopelekea watu kuachana na kutalikiana. Kwenye mahusiano na ndoa, huwa kuna sababu lukuki zinazoweza kupelekea watu kuachana. Hizi hapa baadhi ya sababu zinazopelekea kuvunjika na kuachana…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili ya kufanya baada ya talaka na kuachana

Mambo mawili ya kufanya baada ya talaka na kuachana

Rafiki, Kuachana na kutalakiana kwenye mahusiano na ndoa huwa kuna maumivu makali na makubwa kuliko yale ya mtu aliyempoteza mpendwa wake kwa kifo. Kama umempoteza mpendwa wako kwa sababu ya kifo, huwa kuna maumivu makubwa na makali lakini kwa siku za mwanzo, lakini baada ya muda kupita maumivu huwa yanakwenda yanapungua. Kadili ambavyo hutaweza kumuona tena mwenza wako au mpendwa wako, ndivyo inavyokuwa rahisi kumsahau na kupunguza maumivu. Hali hii huwa nitofauti kabisa na kutalakiana au kuachana kwenye mahusiano. Maumivu…

Read More Read More

Featured
Talaka na kuachana siyo tatizo, tatizo ni hili

Talaka na kuachana siyo tatizo, tatizo ni hili

Rafiki, kama kuna kitu kinatesa watu wengi kwenye mahusiano na ndoa basi ni kuachana. Kuachana na kutalakiana kumekuwa ndiyo mtindo wa maisha wa watu wengi kwenye mahusiano. Watu wanaoana leo, na kesho wanatalakiana na kuachana. Talaka na kuachana imekuwa ni kitu cha kawaida sana siku hizi. Imekuwa kama fasheni. Lakini usichokifahamu ni kuwa, talaka na kuachana huwa si tatizo bali ni ni dalili ya kwamba kuna tatizo. Ni kama kuumwa kichwa, ni dalili kwamba kuna mahali mailini hakuko sawa. Hivyo…

Read More Read More

Featured
Binadamu wote ni sawa lakini watu tunatofautiana

Binadamu wote ni sawa lakini watu tunatofautiana

Rafiki, binadamu wote ni sawa lakini watu tunatofautiana. Ni ukweli kwamba tuko sawa kama binadamu, lakini watu hatuko sawa. Tuko sawa kama binadamu, kimwili, kiroho na nafsi lakini tunatofautiana kifikra, kimawazo na namna ya kufanya maamuzi na kutenda. Mfano; kwenye mahusiano na ndoa mnakuwa mwili mmoja lakini mko tofauti. Mnakuwa tofauti kwenye kuyaona mambo, kufikiri na namna ya kutenda. Kwenye kazi mnaweza kufanya kazi moja lakini matokeo yakawa tofauti. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, tunatofautiana namna ya kuona mambo,…

Read More Read More

Featured
Kwa nini wanaume wengi siku hizi hawako tayari kubariki au kuhalalisha ndoa? 2

Kwa nini wanaume wengi siku hizi hawako tayari kubariki au kuhalalisha ndoa? 2

Rafiki, moja ya changamoto nyingi kwenye mahusiano ya siku hizi, siyo uchumba wa muda mrefu au uchumba sugu bali ni ndoa za zisizobarikiwa, au kuhalalishwa. Watu wanaishi kama mke na mume, bila kuhalalisha ndoa zao kiserikali, kidini na hata kimila. Matokeo yake, kumekuwepo na kilio kikubwa cha wanawake wengi juu ya ndoa hizi ambazo zinaongezeka kwa kasi ya ajabu. Kilio kikubwa cha wanawake ni kuwa kwanini wanaume wengi wanoishi na wanawake kama mke na mume huwa hawako tayari kubariki au…

Read More Read More

Featured
Kwa nini wanaume wengi siku hizi hawako tayari kubariki au kuhalalisha ndoa?

Kwa nini wanaume wengi siku hizi hawako tayari kubariki au kuhalalisha ndoa?

Rafiki, bila shaka umeshawahi kusikia au kuona uchumba wa muda mrefu au uchumba sugu kwako au kwa watu wako wa karibu. Sasa hicho siyo kitu cha ajabu sana siku hizi. Kitu cha ajabu siku hizi ni watu kuishi pamoja kama mke na mume bila kuithibitisha au kuhalalisha kwa wazazi, jamii, serikali au dini. Kumekuwepo na kilio kikubwa kwa wanawake wengi kwenye mahusiano ya muda mrefu bila ndoa kuhalalishwa. Na maswali mengi yamekuwa yakiulizwa ni kwanini wanaume huwa hawataki kuthibitisha au…

Read More Read More

Featured
Hiki huwa kinalipa mara mbili

Hiki huwa kinalipa mara mbili

Rafiki, umeshawahi kusikia msemo huu? “pale ambapo kipaji kinalipa mara moja, juhudi inalipa mara mbili” Hii ndiyo siri ya watu wote waliofanikiwa. Kinachowafanya waendelee kuwa na mafanikio ni kuweka kwao juhudi kwenye kile wanachofanya. Licha ya kuwa wameshafanikiwa kwenye maisha yao, lakini huwa hawaachi kuweka juhudi. Bila shaka umeshawahi kusikia watu wakibishana kuhusu Messi na Ronaldo au Diamond na Alikiba. Mabishano huwa ni kati ya kipaji na juhudi. Messi na Alikiba wana kipaji kikubwa sana na huwa kinawalipa pa kubwa…

Read More Read More

Featured
Usipokuwa makini…….

Usipokuwa makini…….

Rafiki, usipokuwa makini na maisha yako, maisha yatakushinda. Kuishi kunataka umakini wako, ujue namna ya kuepuka hatari na majanga yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha maisha yako. Hivyo kuwa makini ni muhimu, ili uendelee kuishi. Ukitaka kufa haraka, acha kuwa makini tu na kifo kitakuita. Unavuka barabara bila kuwa makini, utagongwa na gari. Kwa ufupi, umakini unahitakika ili uweze kuishi, kwani usipokuwa makini hata kitu kidogo na cha kijinga kitakuua. Usipokuwa makini na mahusiano yako, mahusiano yatakushinda. Mahusiano siku zote yanahitaji uweke…

Read More Read More

Featured
Kosea njia usikosee kuoa au kuolewa

Kosea njia usikosee kuoa au kuolewa

Rafiki, Kumekuwepo na misemo mingi ya Kiswahili inayosisitiza umuhimu wa kuwa makini kwenye suala la kuoa au kuolewa. Mfano: “kosea njia, lakini usikosee kuoa”. Msemo kama huo unalengo la kutahadharisha watu kuwa makini linapokuja suala la kuoa au kuolewa. Ukikisea njia unaweza kuuliza na kuelekezwa kisha kuendelea na safari yako kama kawaida. Lakini ukiosea kuoa au kuolewa, huwezi kurudi nyuma. Na mara nyingi makovu na maumivu unayoyapata kutokana na kukosea kuoa au kuolewa huwa hayapimiki. Si hivyo tu, kukosea kuoa…

Read More Read More

Featured
Igizo halidumu

Igizo halidumu

Rafiki, kila unachokifanya kifanye kwa kumaanisha. Fanya kwa moyo mmoja. Usiigize, kwani igizo siku zote huwa halidumu. Mfano kama wewe siyo mlemavu wa miguu, ukaanza kutembea kama mlemavu hautafika popote, kwani utakuwa unasikia maumivu makalili sana. Kwa nini? Kwa sababu unaigiza kutembea kama mlemavu, ili hali wewe ni mzima wa miguu, na viungo vyote. Lakini kama kweli wewe ni mlemavu wa miguu, ukawa unatembea kwa kujivuta au kwa usaidizi wa magongo, hutapata maumivu yoyote kwani ndivyo ulivyo. Kuigiza kutembea kama…

Read More Read More

Featured
Hakuna kitakachobadilika mpaka ubadili hiki kwanza

Hakuna kitakachobadilika mpaka ubadili hiki kwanza

Rafiki, kama kuna kitu kigumu kukifanya ni mabadiliko. Watu wengi hutaka mabadiliko kwenye maisha yao, lakini hakuna kinachobadilika bila ya muhusika mwenyewe kubadilika. Mabadiliko ya kweli huanza na wewe mwenyewe. Unabasilisha mtazamo na fikra zako, kisha ndipo mabadiliko unayoyataka yanaweza kutokea. Unaweza ukabadili mahali pakuishi, mavazi, chakula na hata muonekana wako lakini, hakuna kitakacho badilika mpaka ubadilishe fikra na mawazo yako. Bahati mbaya ni kwamba usipobadilika wewe, mabadiliko yatakubadili yenyewe. Mabadiliko ni kitu ambacho huwa hakiepukiki. Hivyo kitu cha muhimu…

Read More Read More

Featured
Epuka kero hizi kwenye ndoa na mahusiano yako

Epuka kero hizi kwenye ndoa na mahusiano yako

Rafiki, hakuna ndoa au mahusiano yasiyo kuwa na kero. Kila mahusiano au ndoa zina kero zake. Kinachofanya ndoa na mahusiano yaweze kudumu ni nyinyi wanandoa wenyewe mnavyoshughulikia changamoto na kero hizo. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya kero kwenye ndoa na mahusiano zisome hapa. Kero ya nne ni ndugu: Moja ya kero inayosumbua ndoa nyingi, hasa ndoa zetu za kiafrika ni ndugu. Ndugu wa upande wa mwanamume ndiyo wanaongoza kuvunja ndoa nyingi. Siku moja nikiwa kwenye semina, niliulizwa swali…

Read More Read More

Featured
Epuka kero hizi kwenye ndoa yako 2

Epuka kero hizi kwenye ndoa yako 2

Rafiki, ni ukweli kwamba kwenye ndoa huwa kuna kero nyingi sana. Zinaweza zikawa ni kero ndogo ndogo ambazao nyie wanandoa mnazichikulia poa, lakini baadaye zinaweza kuleta migogoro mikibuwa kwenye mahusiano yenu. Migogoro mingi kwenye mahusiano Huwa inatokana na kero ndogo ndogo ambazo wanandoa huwa wanazichukulia poa tu! Hawazitatui! Baadaye zinakuja kuwa kubwa na haziwezi kutatulika tena. Kama hujapata nafasi ya kusoma sehemu ya kwanza ya makala hii, isome hapa. Moja ya maswali ninayoulizwa sana kwenye semina na makongamano ya ndoa…

Read More Read More

Featured
Epuka kero hizi kwenye ndoa yako

Epuka kero hizi kwenye ndoa yako

Rafiki, kama kuna kitu huwa kinawanyima furaha na raha watu wengi kwenye ndoa, basi ni kero za kwenye ndoa. Kwenye ndoa huwa kuna kero nyingi zinazowafanya wanandoa wasifurahie ndoa yao. Kero hizi mara nyingi huwa zinasababishwa na wanandoa wenyewe kutokujuana kwa udani, yaani wanajuana kwa juu juu tu. Hawajuani tabia za ndani yaani haiba, uimara na udhaifu walionao. Kwenye makala hii tunaagazia kero mbili zinazowanyima furaha na raha wanandoa wengi kwenye mahusiano yao. Kero ya kwanza ni uchafu; hii ni…

Read More Read More

Featured
Mafanikio yako yamefichwa kwenye hiki

Mafanikio yako yamefichwa kwenye hiki

Rafiki, watu wengi wamekuwa wakitafuta mafanikio bila kuyapata. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kuna sehemu ambapo mafanikio huwa yamefichwa. Bahati mbaya au nzuri ni kwamba, kila mtu anaifahamu sehemu ambayo mafanikio yake yamefichwa. Yaani, huwa hakuna siri kwenye mafanikio. Kila kitu kiko wazi. Mara nyingi kinachoitwa Siri ya mafanikio huwa siyo siri. Mafanikio yoyote huwa yanafichwa kwenye kitu ambacho huwa hatuko tayari kukifanya. Yaani hatujisikii kukifanya. Hakituvutii kukifanya. Na kitu hicho ndicho huwa kimebeba mafanikio yako. Swali unalopaswa kujiuliza…

Read More Read More

Featured
Wewe unajenga nini?

Wewe unajenga nini?

Rafiki, iwe unajua ama haujui, kuna kitu umekuwa ukikijenga kwenye maisha yako. Kila kitu unachokifikiri, kukiwaza na kukifanya kwenye maisha yako kina mchango kwenye kitu unachokuwa unakijenga. Mfano; kama kipato unachokipata unakitumia chote, unajenga himaya ya umasikini. Kama huyapi muda mahusiano yako na mwenza wako, uko kwenye ujenzi wa talaka na kuachana. Kama huwa unatumia na kupoteza muda wako, jua kwamba unajijengea kupoteza maisha yako. Rafiki, kwa kila unachokiwaza na kukifikiria ni muhimu kujua kwa u ndani, je unajenga nini…

Read More Read More

Featured
Je, ninaweza kuoa au kuolewa na mtu wa imani au dini tofauti na yangu?

Je, ninaweza kuoa au kuolewa na mtu wa imani au dini tofauti na yangu?

Rafiki, moja ya changamoto inayowakumba wengi kwenye mahusiano ni kutofautiana dini au imani. Kutokana na kutofautiana kwa imani au dini, uchumba na hata ndoa nyingi ambazo wahusika wanakuwa wametofautiana imani au dini huwa zinavunjika au mwisho wake huwa siyo mzuri. Nimekuwa nikiulizwa maswali mengi juu ya utoafauti wa imani au dini kama ni kingezo cha watu kutokuoana au kuishi pamoja kama mke na mme. Kutofautiana dini, imani au kabila siyo kigezo au tiketi ya nyinyi kutokuoana, kwani hivyo vyote si…

Read More Read More

Featured
Kwanini mapenzi ya siku hizi huitwa mapezi ya bluetooth?

Kwanini mapenzi ya siku hizi huitwa mapezi ya bluetooth?

Rafiki, kuna msemo maarafu wa kiswahili siku hizi unaokuwa unaelezea changamoto ya mahusiano ya mbali. Sijui ulianzia wapi na nani aliyeuanzisha msemo huo, lakini una maana na unafikisha sana kuhusu mahusiano ya mbali na changamoto zake. Msemo huu unasema “Mapenzi ya siku hizi ni kama Bluetooth mkiwa karibu munaunganika, mkiwa mbali kila mtu anakuwa anatafuta mtu mpya wa kuuanganisha naye“. Kama unasimu yenye bluetooth, utakuwa unafahamu kwamba kadri unavyokwenda umbali kidogo tu, yaani mita hata 100, bluetooth inakata. Inaacha kuunganika…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili ya kufanya ili kuboresha mahusiano ya mbali

Mambo mawili ya kufanya ili kuboresha mahusiano ya mbali

Rafiki, bila shaka umeshawahi kusikia methali maarufu ya Kiswahili isemayo “Fimbo ya mbali haiui nyoka”. Ndivyo ilivyo kwa mapenzi na mahusiano ya mbali. Mahusiano ya mbali siku zote huwa yanachangamoto nyingi sana. Pamoja na ukweli huo, bado maisha yanaweza kukufanya uwe mbali na mwenza wako. Utafutaji wa pesa, kazi na hata mahangaiko ya maisha. Ili kuweza kufanya mahusiano na mapenzi ya mbali yaweze yadumu kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia. 1. Boresha mawasiliano: Kama kuna nguzo moja muhimu sana kwenye…

Read More Read More

Featured
Shauku au hamu tano zinazosumbua mahusiano na ndoa nyingi

Shauku au hamu tano zinazosumbua mahusiano na ndoa nyingi

Rafiki, kuna hamu na shauku tano zinazosumbua wanandoa wengi unazopaswa kuzifahamu ili ndoa na mahusiano yako yaweze kuwa bora. Chakula. Hii ni hamu ambayo kila mtu anayo. Mtoto kabla hajazaliwa anaandaa chakula chake kabisa. Akishazaliwa chakula chake huwa kiko tayari. Maziwa kutoka kwa mama yake yanakuwa yako tayari pale anapopatwa na njaa. Hivyo tatizo kubwa sana la mwanadamu huwa ni njaa nah ii haiwaachi salama wanandoa. Adui muombee njaa atanyosha mikono hata kama atakuwa shujaa. Ni msemo wa Kiswahili, ukiweka msistizo juu…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwa nini wanaume ni wadhaifu kwa wanawake

Hizi ndizo sababu kwa nini wanaume ni wadhaifu kwa wanawake

“Kwanini wanaume wanapotongozwa na wanawake nje ya ndoa huwa hawana jibu la moja kwa moja? Wanaanza kuzunguka wakati wanajijua kuwa wameoa? Lengo lenu nini hasa?” Rafiki, hili ni moja ya maswali mengi ninayokuwa ninaulizwa na wanawake ninapokuwa kwenye semina, makongamano na mafundisho ya namna bora ya kuboresha ndoa. Swali hilo halinautofauti na swali maarufu la kwa nini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka au kutoka nje ya ndoa zao? Ni ukweli kwamba wanaume huwa ni wadhaifu kwa wanawake, na mara nyingi mwanamke…

Read More Read More

Featured
Hili ni hitaji kuu la mwanamke kwenye ndoa

Hili ni hitaji kuu la mwanamke kwenye ndoa

“Nyie wanaume! Kwanini hampendi kutudekeza yaani nyie mtatudekeza mpaka mtake show tu ikiisha basi huna habari na mimi mpaka tena msimu mwingine wa show kwanini? Yaani tu sisi raha yetu kudekezwa mtenge hata kamda kadogo kwa siku mdekeze mkeo” Hili ni swali nililoulizwa siku moja kwenye semina ya wanandoa nilipokuwa nimealikwa kwenda kuseminisha. Muuliza swali alitaka kujua kwa nini wanaume hawaoneshi mapenzi, huba na mahaba kwa wenza wao kwenye mahusiano mpaka tu pale wanapotaka show? Alimalizia swali lake kwa kutoa…

Read More Read More

Featured
Je unaifahamu lugha ya kimapenzi ya mwenza wako?

Je unaifahamu lugha ya kimapenzi ya mwenza wako?

Rafiki, kila mtu analugha yake ya kimapenzi inayomfanya ajione anapendwa na kujaaliwa. Ni muhimu kuijua na kuifahamu lugha yake ya kimapenzi munapokuwa kwenye mahusiano na ndoa, kwani itaepusha migogoro na malumbano kwenye ndoa yenu. Mfano; kama lugha yake kwenye mapenzi ni kusifiwa kwa maneno mazuri, mwambie maneno matamu yakumjenga na atajisikia anapendwa kila siku.  Kama lugha yake kwenye mapenzi ni kusaidiwa au anapenda kuhudumiwa, msaidie na muhudumie. Hata kile amabacho wewe unakiona ni kitu kidogo kabisa cha kumsaidia au kumpa…

Read More Read More

Featured
Maamuzi mazuri kwenye mahusiano na ndoa lazima yahusishe hiki

Maamuzi mazuri kwenye mahusiano na ndoa lazima yahusishe hiki

Rafiki, siku zote hisia zinamchango mkubawa sana kwenye mahusiano yetu, yawe ni ya kikazi, kirafiki au hata kwenye mahusiano ya ndoa. Hisia huwa zinaweza kufanya mahusiano yetu kuvunjika pale tunapozitumia vibaya au kuimarika pale tunapotumia vizuri hisia hizi. Ni muhimu sana kuweza kujua namna ya kuzitumia ili kuweza kuboresha mahusiano yetu.  Hisia zetu zina mchango chanya au hasi kwenye kufikiria kwetu, kufanya maamuzi na kufanya kazi. Kuna ukweli kuwa maamuzi mazuri ni yale yaliyofanywa kwa kutumia hisia na mantiki kwa…

Read More Read More

Featured
Fahamu nguvu hii aliyonayo mwanamke kwenye ndoa na mahusiano

Fahamu nguvu hii aliyonayo mwanamke kwenye ndoa na mahusiano

Rafiki, ikiwa leo ni siku tunayoadhimisha na kusherehekea siku ya kimataifa ya wanawake duniani, ni muhimu kufahamu nguvu kubwa aliyonayo mwanamke kwenye ndoa na mahusiano. Kutokufahamu nguvu hii aliyonayo mwanamke ni chanzo kimoja wapo cha migogoro kwenye ndoa na mahusiano mengi. Nguvu hii ni moja ya nguvu kubwa kati ya nyingi alizonazo mwanamke ambazo unapaswa kuzifahamu. Nguvu hiyo ni: Mwanamke kwa asili ni mpokeaji, ni kama udongo au ardhi. Chochote utakachokipanda kwenye udongo, kitaota na kisha kukua na kuzaa matunda. Hivyo…

Read More Read More

Featured
Hizi ndiyo sababu kwanini wanandoa wengi siyo wawazi kwa wenza wao

Hizi ndiyo sababu kwanini wanandoa wengi siyo wawazi kwa wenza wao

Rafiki, kila kona siku hizi utakuna na kilio na changamoto za wanandoa wengi kutokuwa na wawazi kwa wenza wao. Hali hii inapelekea kutokea migogoro ambayo huharibu na kuua kabisa mahusiano na ndoa yao. Lakini, je ulishajiuliza ni nini hasa sababu za wanandoa wengi kuwa hivyo? Kutokuwa wawazi kwenye ndoa ni mzigo mkubwa saba ambao unatakiwa kuacha mara moja, kama wewe siyo muwazi kwenye mahusiano yako. Upo usemi kwamba, wanaume ndiyo wanaongoza kwa kutokuwa wawazi kwa wenza wao. Hali hii huwafanya…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo mtaji wa mahusiano na ndoa

Huu ndiyo mtaji wa mahusiano na ndoa

Rafiki, kama kuna kitu muhimu sana kwenye mahusiano yoyote yale, yawe ni mahusiano ya kikazi, kirafiki, kiMungu na hata mahusiano ya ndoa, basi ni uaminifu. Uaminifu ukikosekena kwenye mahusiano maana yakea hakuna kuaminiana, hivyo kila mtu nakuwa anafanya kivyake na hakutakuwa na mahusiano tena hapa. Panapokesekana uaminifu, hakuna mahusiano wala ndoa. Kwenye ndoa, mwanamke anachokihataji uaminifu zaidi kutoka kwa mwanamume au mwenza wake. Mwanaume yeye anahitaji kuaminika na mke au mwenza wake. Hakuna kitu kinachomfanya mwanamke ampende mume wake kama…

Read More Read More

Featured
Tumia njia hii kumfanya mwenza wako abadilike

Tumia njia hii kumfanya mwenza wako abadilike

Rafiki, mahusiano mengi siku hizi yanachangamoto ya wanandoa kutokuendana. Wanaoana hawajuani. Wanapoingia kwenye ndoa, wana kuwa hawaendani kabisa. Kuna tabia mbaya ambanzo unakuwanazo, mwenza wako anataka ubadilike na kuziacha. Hivyo hivyo hata mwenza wako anatabia ambazo unataka aziache. Swali linanalowaumiza vichwa watu wengi ni namna ya kufanya ili mwenza wako aweze kubadilika. Rafiki, ili mwenza wako aweze kubadilika, inatakiwa umshawishi badala ya kumlazimisha. Kuna wanaume wengi wanaopiga wake zao wakidhani watawabadilisha tabia zao mbaya. Ukweli ni kwamba hakuna mwanadamu anayeweza…

Read More Read More

Featured
Fanya hivi ili mwenza wako awezekubadilika

Fanya hivi ili mwenza wako awezekubadilika

Rafiki, moja ya changamoto kubwa kwenye mahusiano ni kutaka wenza wao wabadilike. Wanataka wenza wao wabadilike kutoka kwenye tabia mbaya, na matendo mbaya. Lakini wanandoa wengi huwa hawajui wafanye nini ili wenza wao waweze kubadilika na kuwa watu wema. Inaweza ikawa ni tabia za uzizi, ulevi na hata uraibu mbali mbali unaotaka mwenza wako abadilike. Umejaribu kila njia ili kuinusuru ndoa yako hiyo. Umesoma vitabu vinachohusu mahusiano. Umetafuta ushauri ili uweze kumbadili tabia mwenza wako lakini bado huoni mafanikio yoyote…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 4

Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 4

Rafiki, kilio cha wanawake wengi kwenye mahusiano na ndoa ni wanaume kutokuwa waaminifu kwenye ndoa zao. Yaani wanaume wanaongoza kwa kuchepuka au kutoka nje ya ndoa zao. Kwenye mfululizo wa makala hii, tunaendelea kujifunza kwa kina, sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka. 1. ni ubinafsi na tamaa. 2. Kutokuheshimiwa, kudharauriwa na kukosekana kwa uti kwenye mahusiano. 3. Kulipa kisasi na kukomoana. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya sababu hizi za wanaume wengi kuchepuka, basi soma hapa. Leo tunaendelea na sababu…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 3

Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 3

Rafiki, tayari tumeshaangalia kwa udani sababu mbili yaani 1. ubinafsi na tamaa lakini pia 2. kutokuheshimiwa, kudharauliwa na kutokuwepo kwa utii. Kama ulipitwa na sehemu ya kwanza na ya pili ya makala hii isome hapa na hapa. Leo tunaangilia sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka kwenye ndoa na mahusiano yao. Kumbuka rafiki, hapa tunajifunza kwa undani zaidi kuanzia kwenye maumbile, mpaka kwenye saikolojia ya wanaume inavyoweza kuchangia wao kuchepuka. Na kisha tunajifunza namna ya kuepuka sababu hizo kwa wanaume na wanawake…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 2

Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka 2

Rafiki, kama kuna kilio kikubwa kwenye mahusiano na ndoa nyingi siku hizi basi kuchepuka. Mchepuko limekuwa ni neno maarufu sana zama hizi kwa sababu ya kukosekana uaminifu kwenye ndoa, si kwa wanawake wala wanaume. Lakini tafiti nyingi zinaonesha kuwa, wanaume ndiyo wanaongoza kwa kuchepuka kwenye ndoa zao, kuliko wanawake. Kwenye makala iliyotangulia tulijifunza sababu moja muhimu sana inayowasukuma wanaume wengi kuchepuka ni ubinafsi na tamaa. Kama ulipitwa na sehemu hiyo ya kwanza ya makala hii. Leo tunaangalia sababu nyingine ambazo…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka

Hizi ndizo sababu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka

Rafiki, ninekuwa nikiulizwa maswali mengi juu ya sababu za wanandoa au walioko kwenye mahusiano kuchepuka. Kuna sababu nyingi sana zinazofanya watu wengi waweze kuchepuka kwenye mahusiano na ndoa zao. Sababu hizi zinatofautiana kulingana na jinsia, saikolojia na hata tamaduni mbali mbali. Mfano; Takwimu zinaonesha kuwa wanaume ndiyo wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake. Leo tuangalie sababu tano tu zinazowafanya wanaume wengi kuchepuka kwenye ndoa zao. 1. Ubinafsi na tamaa za mwili Hii ni sababu kubwa sana inayofanya wanaume wengi kuchepuka. Hali…

Read More Read More

Featured
Kwa nini ni muhimu kumjue mwenza wako?

Kwa nini ni muhimu kumjue mwenza wako?

Rafiki, watu wengi wanaingia kwenye ndoa na mahusiano bila kujuana, kufahamiana na kuelewana. Hali hii hupelekea ndoa na mahusiano mengi kuwa kwenye changamoto na migogoro isiyoisha. Migogoro hiyo hufikia kiwango cha wanandoa kuumizana, kutalakiana na hata kuaana. Kujuana ninakokuongelea hapa si kujuana kimapenzi, bali kumfahamu mwenza wako kiundani kabla ya kuamua kuingia kwenye mahusiano ya ndoa. Usisukumwe kuingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu ya kujuana kimapenzi bali ni kwa sababu unamjua vizuri mwenza wako, historia yake, tabia na haiba…

Read More Read More

Featured
Kwanini matarajio ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako?

Kwanini matarajio ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako?

Rafiki, kutarajia chochote kutoka kwa mwenza wako ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako, kwani matarajio yasipotimizwa huo ndiyo mwisho wa ndoa na mahusiano hayo. Na hata yakitimizwa bado itakuwa ni mwisho wa mahusiano hayo. Ni hali ya kawaida kwa binadamu kuwa na matarajio katika kila eneo la maisha. Lakini ni hatari sana kuingia kwenye mahusiano ukiwa na matarajio, juu ya mwenza wako na ndoa yako. Ni hatari kwa sababu hakuna matarajio yanayodumu, kwani watu na vitu hubadilika kulingana na…

Read More Read More

Featured
Mambo manne unayopaswa kuyajua kuhusu mwenza wako kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa

Mambo manne unayopaswa kuyajua kuhusu mwenza wako kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa

Rafiki, unapaswa kujua mambo haya manne juu ya mwenza wako kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa. Jambo la kwanza unalotakiwa kujua juu ya mwenza wako ni historia yake. Amelelewa katika utamaduni na mila zipi, amelelewa katika mazingira gani na wazazi wote? au upande mmoja wa mzazi, au hakulelewa na wazazi wake wote kabisa. Amepitia magumu na madhira yepi kwenye kulelewa kwake. Kama alinyanyaswa na ndugu kimapenzi, au jambo baya lilimtokea ni vizuri kufahamu na kuwa na maarifa naye. Ndiyo…

Read More Read More

Featured
Ukipatwa na hasira fanya hivi

Ukipatwa na hasira fanya hivi

Rafiki, kuna mkulima mmoja aliingia kwenye ugomvi na Jirani yake. Mkulima yule alikasirika na alijawa na hasira sana. Alimtukana kwa maneno makali na machafu sana Jirani yake huyo. Jirani yake aliamua kukaa kimya. Baada ya muda mfupi, mkulima yule aligundua kwamba makosa yalikuwa ni yake. Hivyo alitaka kuyarudisha maneno yake lakini hakujua nini chakufanya. Baadaye alisikia habari kuwa mtu mwenye hekima alikuwa anatembelea kijiji chao. Aliamua kwenda kuonana naye ili apate suluhisho la tatizo lake. Alimueleza kila kitu kilichotokea na…

Read More Read More

Featured
Juhudi ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Juhudi ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Rafiki, kuna hadithi maarufu ya meli iliyokuwa inasafirisha vitu vya thamani kubwa sana. Meli hiyo, ilipata hitilafu kwenye injini. Injini iliacha kufanya kazi na waliamua kwenda kwenye mji wa ili kutafuta mafundi wa kuitengenza injini ile. Mumiliki wa meli alitafuta na kupata mafundi mbali mbali wa kuitengeneza injini ya meli ile bila mafanikio. Alitafuta mafundi makeniki wa kila namna lakini injini ya meli ile haikupona. Alitafuta mainjinia wa kila namna lakini bado hawakuweza kujua tatizo la injini ile. Hatimaye, alielekezwa…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho kitafanya ndoa yako idumu

Hiki ndicho kitafanya ndoa yako idumu

Rafiki, kuna wanandoa walikuwa wakihojiwa na waandishi wa habari, wakati wakiazimisha miaka hamsini ya ndoa yao waliulizwa swali, Je nini mnafikiri kimechangia muwe na ndoa yenye mafanikio na kuishi muda mrefu kama mke na mume bila kutengana?  Mwanamume alijibu, “wakati nakutana kwa mara ya kwanza na mke wangu alikuwa bado ni kigori. Wakati namchumbia nilikuwa na uoga kidogo, lakini baada ya kumuoa, baba yake aliniita kando na akanipa kamzigo kadogo” na kuniambia “hivi hapa vitu vyote unavyotakiwa kufahamu kuhusu mkeo”. …

Read More Read More

Featured
Ili kuitawala hasira yako, acha kuwahukumu wengine

Ili kuitawala hasira yako, acha kuwahukumu wengine

Rafiki, si kile watu wanachokufanyia au kukutendea ndiyo kinakufanya upate hasira bali kile unachokitafsiri akilini mwako. Unapotafsiri akilini mwako kwamba mtu huyo amekudharau, hajakutendea haki, anajiona wa muhimu kuliko wewe na mengine yanayofanana na hayo. Hicho ndicho chanzo na sababu ya hasira yako. Ukichunguza kwa umakini katika fikra na mawazo unayokuwa unajiuliza na kujijibu; kuna kitu kimoja kinafanana katika kauli na majibu unayokuwa unafikia hitimisho baada ya kufanyiwa au kutendewa vibaya. Kitu hicho ni hukumu. Kuwa hukumu wengine. Kuwatia hatiani…

Read More Read More

Featured
Ili kuitawala hasira yako usichanganye kichocheo na kisababishi

Ili kuitawala hasira yako usichanganye kichocheo na kisababishi

Rafiki kinachokufanya update hasira si kile unachofafyiwa au kutendewa bali ni namana ambavyo wewe unatafasiri na kujijibu wewe mwenyewe akilini mwaka ndiyo kinacho kufanya upatwe na hasira. Unapotendewa ubaya na mtu yeyote, hicho ni kichocheo tu cha hasira yako, lakini siyo chanzo cha wewe kupatwa na hasira. Kwani watu wawili wanaweza kutendewa jambo baya kwa pamoja, mmoja asishikwe na hasira na mwingine akawaka hasira kwa jambo lilile. Kinachofanya upatwe na hasira ni vile unavyotafsiri akilini mwako, na kisha kujipa majibu…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo cha hasira yako

Hiki ndicho chanzo cha hasira yako

Rafiki, watu wengi hufikiri kuwa kile wanachofanyiwa au kutendewa ndiyo chanzo cha hasira yao. Lakini ukweli ni kwamba kile unachofanyiwa au kutendewa na kupelekea wewe kushikwa na hasira huwa ni kichocheo tu cha hasira yako. Siyo chanzo au sababu ya wewe kuwa na hasira. Kinachofanya watu wengi kutawaliwa na hasira siyo kile walichotendewa, bali ni kile wanachofikiria, kutafakari na kukitolea hitimisho kwenye fikra zao. Pale unapopatwa na hasira, unapaswa kujiuliza nini chanzo au kisababishi cha hasira yako? Chanzo hicho kiko…

Read More Read More

Featured
Kujitia hatiani ni adui wa maisha yako

Kujitia hatiani ni adui wa maisha yako

Rafiki, hakuna kitu kibaya kama kujitia hatiani wewe mwenyewe. Unapojitia hatiani wewe mwenyewe maana yake wewe ndiyo unakuwa ni mshitaki, mwendesha mashitaka, shahidi na mtoa hukumu yaani jaji. Kuna watu wengi wanaishi kwenye hatia. Hatia ambazo zinawazuia kufanya na kupata kile wanachositahili kwenye maisha yao. Kuna watu wametendewa mambo mabaya na rafiki, ndugu na jamaa wa karibu. Wanaishi kwenye hatia. Wanaishi kama waathirika. Wanajitia hatiani wenyewe. Lakini ukweli ni kwamba, unapotawaliwa na hatia kwenye maisha yako, inakunyima kuona fursa na…

Read More Read More

Featured
Kama huna cha kuandika au kusoma fanya hivi

Kama huna cha kuandika au kusoma fanya hivi

Rafiki, ninekuwa nikiulizwa swali hili na watu wengi mara kwa mara. Unawezaje kupata cha kuandika kila siku bila kuishiwa? Kama unapenda kuandika au kusoma kila siku lakini unakosa cha kusoma au kuandika unapaswa kufanya yafuatayo; Moja; rudia kuandika kile ambacho ulishawahi kukiandika. Utashangaa sana kwani hakitafanana kabisa na kile ambacho ulishawahi kuandika. Kitakuwa tofauti kwa kiwango kikubwa. Hii inatokana na ukweli kwamba; uandishi ni kazi ya sanaa. Haiwezi kufanana kwa kila kitu. Lakini pia hali na mazingira uliyokuwa ukiandikia hapo…

Read More Read More

Featured
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha kwenye maisha yako

Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha kwenye maisha yako

Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, ni moja ya metheli maarifu ya Kiswahili ikiweka bayana kwamba hakuna kisichokuwa na mwisho, hata kingekuwa kirefu kiasi gani, bado kitafika mwisho wake. Rafiki, kama napita kwenye changamoto yoyote kwa sasa, unapaswa kujua kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho. Hakuna kinachodumu milele. Hata kama unapita kwenye maumivu leo, hayatadumi milele. Lazima kina mwisho wake. Kuna watu wanapesa leo, lakini hawatakuwa nazo. Mara nyingi umekuwa ukisikia na kuona watu maarufu, wasanii na hata viongozi na wanasiasa…

Read More Read More

Featured
Mambo mawili yanayoweza kukufanya utawaliwe na hasira

Mambo mawili yanayoweza kukufanya utawaliwe na hasira

Rafiki, ulishawahi kusikia mtu anajisema kwamba “mimi nina hasira”? Mara nyingi utasikia watu wanasema “mtu fulani ana hasira sana.” Lakini swali la kujiuliza je kwani baadhi ya watu wanatawaliwa na hasira kiasi kwamba ndiyo unakuwa utambulisho wao? Katika makala hii, tutaangazia mambo mawili ya muhimu linapokuja suala la mtu kuwa na hasira. Jambo la kwanza ni tabia za ndani. Hizi ni tabia ambazo mtu anazaliwa nazo. Ni haiba yake, au personality yake. Linapokuja suala la haiba, kuna makundi makuu manne…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo cha hasira yako na namna ya kuitawala

Hiki ndicho chanzo cha hasira yako na namna ya kuitawala

Hasira ni moja ya hisia ambayo inaongoza kwa kuleta madhara, hasara na majuto mengi kwenye jamii. Matukio mengi unayoyasikia ya wapenzi, wanandoa, ndugu na jamaa kwenye jamii yetu ya kujeruhiana, kuachana na hata kuuana yote chanzo chake ni hasira. Hasira imeua wengi, imefunga wengi na imejeruhi watu wengi kwenye jamii. Bahati mbaya ni kwamba, hakuna anayejisumbua kujua kwanini anahasira? Hasira yake inatoka wapi? Na nini afanye; ili kuitawala hasira yake hiyo? Katika makala hii, tutaangazia zaidi kwa nini watu hupatwa…

Read More Read More

Featured
Ili kuepuka hasira hasara, ongozwa na hiki

Ili kuepuka hasira hasara, ongozwa na hiki

Rafiki, kama kuna hisia inayowafanya watu waingie kwenye matatizo mengi kwenye maisha yao, iwe ni kwenye kazi, biashara na hata mahusiano. Hasira ndiyo inaongoza kwa kuleta hasara nyingi. Hasira hasara, ni msemo maarufa wa Kiswahili. Ukiweka bayana kwamba hasira huleta hasara. Licha ya kuongoza kwa kuwaletea hasara watu wengi, ni ukweli usiopingika kwamba, hasira huwa ina umuhimu wake kwenye maisha yetu. Bila hasira hatuwezi kupiga hatua zozote zile kwenye kazi, mahusiano na maisha kwa ujumla. Mpaka ukasirike ndipo utaweza kukibali…

Read More Read More

Featured
Kama unapata muda wa kula, utapata pia muda kusoma vitabu

Kama unapata muda wa kula, utapata pia muda kusoma vitabu

Rafiki, ni kawaida kusikia watu wakisema hawana muda wa kusoma vitabu. Hawana muda wa kujifunza kutoka kwenye vitabu, kwa sababu wako bize. Yawezekana na wewe ni miongoni mwa watu hao ambao husema hawana muda wa kusoma vitabu. Tokea ulipomaliza shule, hujawahi kufungua kitabu na kujisomea kwa madai kuwa huna muda wa kutosha, uko bize. Unajiambia siku ukipata muda utakuwa unajisomea vitabu. Usichokifahamu ni kuwa huwezi kupata muda ambao utakuwa huru au utakuwa huna kazi kwenye maisha yako. Kila muda utakuwa…

Read More Read More

Featured
Kwa kutumia njia hii unaweza kubadili chochote

Kwa kutumia njia hii unaweza kubadili chochote

Rafiki, mara nyingi watu wanapokukosea ni rahisi kufikiria kwamba unaweza kuwabadili jinsi walivyo, tabia zao na hata yale wanayofanya. Lakini ukweli ni kwamba, hatuwezi kubadili jinsi watu walivyo wala kubadili yale yanayotokea kwenye maisha yao. Kila kinachotokea kwenye maisha yao, wamekivutia na kukisababisha wenyewe. Vivyo hivyo kinachokutokea wewe, ni kwa sababu umekisabisha au kukivuta kwako. Hatuwezi kubadili hali ya hewa na wala hatuwezi kubadili yale yanayotokea kwenye maisha ya wengine bali yale yanayotokea kwetu. Pamoja na ukweli huo, lakini kuna…

Read More Read More

Featured
Unahitaji umakini ili ufanikiwe

Unahitaji umakini ili ufanikiwe

Rafiki, katika kila kitu unachokifanya hakakisha unakifanya kwa umakini. Kama kuna bidhaa muhimu na adimu kwa sasa, basi ni umakini. Umakini umekuwa changamoto kwa watu wengi. Matumizi ya Simu janja na mitandao ya kijamii, yamechangia kwa kiasi kikubwa kuondoa umakini na utulivu wa watu wengi. Ili uweze kufanikiwa kwenye kile unachokifanya unahitaji umakini. Umakini huwa unaongeza kasi ya wewe kupiga hatua kwenye kuyaelekea mafanikio yako. Ukiwa unaendesha gari, kisha ukawa unapishana na gari jingine, unapaswa kuweka umakini. Kama ulikuwa unaongea…

Read More Read More

Featured
Ukiacha kutumia mbinu hizi, utaitawala hofu yako

Ukiacha kutumia mbinu hizi, utaitawala hofu yako

Rafiki, kuna aina mbili za mbinu unazokuwa huwa unatumia kuilisha hofu yako, ambazo utapaswa kuacha ili uitawale hofu yako. Mbinu ya kitabia. Hii inajumuisha matendo yote tunayofanya ili kuilisha hofu yetu. Kama huwa unaogopa kukutana na watu wapya, au kusimama mbele za watu na kuongea, utagundua kuwa kuna matendo huwa unafanya yanayoilisha hofu yako hiyo. Mfano, kukwepa sherehe, mialiko inayokutaka ukutana na watu wapya.  Kukwepa ratiba za presentation, kazi au shughuli yoyote ile inayohusiana na kile unachokiogopa na kukihofia. Mfano, kufanya…

Read More Read More

Featured
Je, haiba yako inachangiaje wewe kutawaliwa na hofu?

Je, haiba yako inachangiaje wewe kutawaliwa na hofu?

Haiba ni tabia ya ndani ya mtu. Kila mtu huwa anakundi lake kitabia linalokuwa linamtambulisha. Kuna makundi manne ya haiba ambayo ni muhimu kuyajua na namna yanavyochangia wewe kutawaliwa na hofu. Makundi haya ni pamoja na; Kundi la kwanza ni melakoliki, hawa ni watu wanopenda maelezo ya kina. Ni watu wa kupangilia sana mambo yao. Siyo watu wakuongea sana, na pale wanapongea ni watu wa kutoa maelezo ya kina. Ni wazito wa kufanya maamuzi, hivyo kama kuna jambo linahitaji maamuzi…

Read More Read More

Featured
Hakuna ujanja wala mjanja mbele ya hofu

Hakuna ujanja wala mjanja mbele ya hofu

Haijalishi wewe ni mjanja kiasi gani, wewe ni mkubwa kiasi gani au una maono makubwa kiasi gani. Kila kitu huharibika pale unapokitazama kwa miwani na lenzi ya hofu. Hofu hupoozesha mwili wote. Hofu huuweka mwili kwenye hali ya kujiokoa, yaani survival mode. Kama ingekuwa ni simu, tungeita ni flight mode. Huwezi kupiga simu wala kupokea simu, kutuma mesajı wala kupokea meseji. Huduma pekee inayobaki ni huduma ya dharura. Ndivyo hofu ilivyo pia. Ukitawaliwa na hofu, maana yake unakuwa kwenye hali…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kuitawala hofu yako kwenye utamaduni huu wa hofu

Jinsi ya kuitawala hofu yako kwenye utamaduni huu wa hofu

Hofu ni hisia ya awali ya mwanadamu. Licha ya umuhimu wake kwenye kumsaidia mwanadamu kujiokoa kutoka kwenye tishio la hatari au viashiria vya hatari, hisia hii ya hofu ndiyo inayoongoza kuua ndoto, maono na makusudi ya watu wengi. Kuna biashara zilitakiwa kuanzishwa miaka kadhaa iliyopita, lakini mpaka sasa hazijanzishwa. Kuna nyimbo, vitabu mbalimbali ambavyo vilitakiwa viwe vimeandikwa lakini, havijaandikwa mpaka sasa. Wahusika wataondoka hapa dunia bila ya kuimba nyimbo hizo, kuandika vitabu hivyo, kuanzisha biashara hizo na hata kutumia vipaji…

Read More Read More

Featured
Mambo matano muhimu unayopaswa kuyafahamu ili kuitawala hofu yako

Mambo matano muhimu unayopaswa kuyafahamu ili kuitawala hofu yako

Rafiki, hakuna kitu unachopaswa kukiogopa na kukihofia bali unapaswa kukielewa. Kutokujua na kukielewa, ndiyo chanzo cha hofu nyingi unazosumbuka nazo. Hivyo kama unataka kuitawala hofu yako, ndiyo kuitawala! kwani hutakiwi kushindana nayo, bali unatakiwa kuwa na uelewa nayo. Leo tunajifunza mambo matano muhimu unayopaswa kuyafahamu ili kuitawala hofu yako. Ndiyo! Kuitawala na siyo kuishinda! Hofu ni rafiki yako wala si adui yako.  Vitabu vingi vimeandikwa, watu wengi wamefundisha juu ya hofu kama adui yako na namna ya kuishinda. Hapa ndipo…

Read More Read More

Featured
Huwa unafanyani nini ukiwa na hofu?

Huwa unafanyani nini ukiwa na hofu?

Rafiki, unapokuwa unaogopa huwa unafanya nini? hatua gani huwa unachukua? mfano mtu akisema kitu cha kupingana na wewe, je huwa unajibu je? unafanya nini? huwa unafanya nini? Au ukiwa umechelewa kwenye miadi na bosi wako, je hali hiyo huwa inabadilisha vile unavyokuwa unaingia kwenye chumba cha miadi? Ili kujua ni mbinu gani huwa unaitumia pale unapokuwa kwenye hofu au unapopatwa na hofu, fauta hatua hizi mbili muhimu. Hatua ya kwanza, anza leo kujichunguza wewe katika maisha yako ya kila siku,…

Read More Read More

Featured
Hofu ni wito wa kujiokoa

Hofu ni wito wa kujiokoa

Rafiki, hofu ni hisia moja wapo ya hisia za awali za mwanadamu. Imekuwepo toka enzi na enzi za mababu zetu. Iliwasaidia kujiokoa kutoka kwenye hatari mbali mbali zilizokuwa zikiwakabili, kama vile kukabiliana na wanyama wakali na hatari nyingine nyingi. Hofu ni wito unaokutaka kujiokoa; kuchukua hatua, kufanya kitu. Unapokuwa na hofu; maana yake mwili wako umetambua kuna tishio au viashiria vya hatari na hivyo kuwasha king’ora, ili kuuandaa mwili wako upambane na hatari hiyo au kuikimbia. Hivyo hofu ni kitu…

Read More Read More

Featured
Umeshawahi kukutana na bosi katili?

Umeshawahi kukutana na bosi katili?

Rafiki, kama umeshawahi kukutana na bosi katili na hujakutana na huyu, basi tafakari upya. Hofu ndiyo bosi katili kuliko wote. Akikutawala eneo moja la maisha yako, huwa anasambaa na kutawala maeneo yote ya maisha yako. Si eneo la kazi, biashara mahusiano na hata maisha yako kwa ujumla, hofu anaweza kuyatawala maeneo yote muhimu kwenye maisha yako. Mfano, kama unahofu ya kuongea mbele za watu au kuongea na watu wapya, muda si mrefu utagundua kwamba; huwezi kujielezea vizuri kazini kwako, na…

Read More Read More

Featured
Unaweza kuitawala hofu yako

Unaweza kuitawala hofu yako

Je, umekuwa ukitawaliwa na hofu kwenye biashara, kazi, mahusiano na hata maisha yako kwa ujumla? Je, una ndugu, jamaa au rafiki anayesumbuliwa na hofu, kiasi kwamba hawezi kupiga hatua yeyote kuyaelekea mafanikio yake? Je, umekuwa ukijaribu mbinu mbali mbali za kuikabili hofu yako; badala yake ndiyo inaongezeka? Kama umejibu ndiyo katika moja ya maswali hayo; Habari njema ni kwamba; kitabu kipya cha UNAWEZA KUITAWALA HOFU YAKO, sasa kiko tayari. Kitabu hiki kimesheeni kanuni muhimu za kuijua na kuitawala hofu yako….

Read More Read More

Featured
Kwa nini hutakiwi kutawaliwa na hofu yako?

Kwa nini hutakiwi kutawaliwa na hofu yako?

Rafiki, hakuna kitu kibaya kama kutawaliwa na hofu, kwenye maisha yako, kwani hofu ni bosi katili sana. Ukitawaliwa na hofu, kuna mambo mawili hutokea, uwe unajua au haujui. Unalikuza tishio la hatari. Ni ukweli kwamba unapotawaliwa na hofu, kila unapokutana na tishio au kiashiria cha hatari, unakikadilia kuwa ni kikubwa kupita kiasi. Kama ulikoswa koswa kugongwa na gari kwenye kivuko cha watembea kwa miguu, mara ya kwanza, je uwezekano wa kukoswa koswa tena mara ya pili ukoje? Kwa kawaida ni…

Read More Read More

Featured
Hiki hapa kichocheo cha hofu yako

Hiki hapa kichocheo cha hofu yako

Rafiki, unapotaka kila kitu uwe na uhakika nacho, ndipo hofu yako inapochochewa. Kutokukubali kutokuwa na uhakika ni kichocheo cha hofu yako. Hali hii husababishwa na ukweli kwamba, ubongo wetu unauwezo wa kupanga na kufikiria fursa na matatizo yajayo, na kisha kujiandaa nayo. Iwe ni mambo ya kifamilia, kikazi, kibiashara, kimahusiano au hata kimafanikio.  Huwa tunataka kujua kabla hayajatokea. Hivi mpenzi wangu atafika salama? Je biashara yangu itakufa, kama soko la hisa litapororomoka? Ndoa yangu itavunjika kweli? Vipi kama nikiumwa? Haya…

Read More Read More

Featured
Hofu yako ya kutengwa inatoka wapi?

Hofu yako ya kutengwa inatoka wapi?

Rafiki, sisi binadamu ni viumbe wa kijamii. Tunapojitenga na jamii au kutengwa na jamii huwa tunapatwa na upweke. Hali hii ya upweke huwa ni kama alamu inakutaka uchukue hatua sitahiki kurekebisha hilo kosa ulilofanya mpaka ukatengwa au kujitenga na jamii. Upweke ndiyo unawafanya watu wahofie kutengwa na jamii, ndugu na watu wa familia. Kwanini, kwa sababu ubongo wetu, unafaidika kuwa kwenye kundi, linapokuja suala la kujiokoa na hatari. Ukiwa kwenye kundi, unaweza usione hatari wewe iliyoko mbele yako, lakini mwenzako aiona na…

Read More Read More

Featured
Hofu yako huwa inatoka wapi?

Hofu yako huwa inatoka wapi?

Rafiki, ndani kabisa ya ubongo wetu, kuna jozi ya viini, inayofanana kabisa na mbegu za mlozi, yaani almond. Viini hivi vinajulikana kwa jina la kitaalamu, amygdala! Ni katika eneo hili ambapo taarifa zote za vitu au mambo unayoyaona, unayoyasikia, unayoyanusa, kuonja, kuhisi na kufikiria huwa zinapitia. Ni sawa na eneo lenye ulinzi mkali. Ingekuwa ni uwanja wandege, basi ni sehemu ya ulinzi ambayo kila abiria inabidi apitie hapo akaguliwe, apekuliwe na ndiyo aruhusiwe kundelea na safari yake. Kama ilivyo kwa…

Read More Read More

Featured
Hivyi ndivyo unavyoweza kuacha kuilisha hofu yako

Hivyi ndivyo unavyoweza kuacha kuilisha hofu yako

Kujua chanzo cha hofu yako ni nusu ya kuitawala hofu hiyo. Lakini, kujua haswa kile kinachoifanya hofu yako kuendelea ndiyo cha muhimu zaidi. Unaweza ukaijua hofu yako, na chanzo chake, lakini hatua iliyo muhimu zaidi ni kujua ni nini haswa kinachoipa uhai? kinaifanya iendelee kukutawala? Hii ni kanuni moja wapo inayokufanya uitawala hofu yako, jua kinaachoipa uhai hofu yako. Siyo tu kanuni hii inafanya kazi kwenye kuzitatawala aina zote za hofu, sonona na msongo kwenye maisha yako, bali pia inaweza…

Read More Read More

Featured
Kama unataka kufanikiwa, achana na tabia hizi 2

Kama unataka kufanikiwa, achana na tabia hizi 2

Rafiki, vile ulivyo leo ni kwa sababu ya tabia ulizonazo, zinazo kujenga baada ya wewe kuzijenga na kujijengea. Kinachowatofautisha watu wengi, hata kama ni mapacha, ni tabia zao. Lakini pia kinachoweza kukuambia kwamba mtu fulani atafanikiwa au atashindwa ni tabia. Kama hukubahatika kusoma sehemu ya kwanza ya makala iliyotangulia, juu ya tabia unazopaswa kuziacha, sehemu ya kwanza, basi isome hapa. Leo tunaendelea na tabia zingine unazopaswa kuziacha, ili uwezekufanikiwa. Tabia nyingine inayokurudisha nyuma kwenye malengo yako ni kupenda kusimamiwa badala…

Read More Read More

Featured
Kama unataka kufanikiwa, achana na tabia hizi

Kama unataka kufanikiwa, achana na tabia hizi

Rafiki, kwanini hujafanikiwa kwenye malengo na mipango yako mpaka sasa? kuna tabia ambazo unazo zinakuzuia wewe kufanikiwa. Unajenga tabia kisha inakujenga wewe, na kukujengea pia mafanikio yako. Hivyo, kufanikiwa au kutokufanikiwa ni tabia yako tu. Ukimuona mtu yeyote aliyeafanikiwa jua kuna tabia za kimafanikio anazoziishi na kuzifanya. Vivyo hivyo ukimuona mtu ambaye hajafanikiwa, jua kunatabia ambazo anaziishi ndizo zinamfanya apate matokea anayoendelea kupata. Kwenye kazi au biashara, watu wengi hufikiri kuwa wakiwa na mtaji tu, ndiyo watafanikiwa kwenye biashara. Lakini…

Read More Read More

Featured
Kuwa makini na tabia unazojijengea, kwani zinakujenga wewe

Kuwa makini na tabia unazojijengea, kwani zinakujenga wewe

Ni ukweli kwamba hakuna kitu chenye umuhimu kwenye maisha yetu kama tabia. Tabia huwa zinatujenga. Tabia ndiyo zinatupa matokeo tunayopata. Hata kama hutuyapendi matokeo tunayoyapata kwenye maisha yetu, bila kubadili tabia zetu hatuwezi kupata matokeo mazuri. Lakini pia, utofauti wetu sisi binadamu, huwa uko kwenye tabia zetu. Mapacha wanaweza wakazaliwa sehemu moja nakukulia eneo moja, lakini tabia zao zikawa tofauti kabisa. Ni ukweli pia kwamba, kila kitu unachokifanya, kunatabia inayokuongoza kwenye kitu hicho uwe unajua au haujui na ndiyo inakufanya…

Read More Read More

Featured
Hamasa ni nzuri, lakini tengeneza hiki kitu kwanza

Hamasa ni nzuri, lakini tengeneza hiki kitu kwanza

Rafiki, hamasa imekuwa ni biashara kubwa sana duniani. Hii inatokana na watu wengi kuishiwa na hamasa kila wanapofanya yale waliyoanga kufanya, na hivyo kuhitajia hamasa zaidi. Kumekuwepo na wahamasishaji wengi sana kupitia maadishi, sauti na njia ya video. Uwepo wa inteneti na mitandao ya kijamii umehanikiza upatikana wa hamasa. Lakini cha kushangaza zaidi, licha ya kuwepo kwa hamasa kubwa na inapatikana kila mahali, ni kipindi hiki pia ambacho watu wengi hawafanikiwi kwenye mafanikio wanayoyataka na hata kwenye maisha yao kwa…

Read More Read More

Featured
Kama huwa unaishiwa hamasa, tatizo lako ni hili hapa

Kama huwa unaishiwa hamasa, tatizo lako ni hili hapa

Rafiki, kama huwa unaishiwa hamasa baada ya muda fulani, jua ni kwasababu hujafahamu ukweli huu. Ukweli ni kwamba, hamasa huwa ni kama kiwashio, kiki au starter tu ya wewe kuanza kufanya jambo ulilopanga. Lakini kinachokufanya uendelee na mwendo, siyo kiki au kiwashio tena bali maono. Maono yako ndiyo yatakayoamua uende umbali kiasi gani. Maono ndiyo gia ya kukufanya upige hatua. Kama huna maono, hujaanza kuishi na hujaianza safari yako ya maisha. Na hilo ndilo tatizo lako, haswa. Kama kila unachokifanya…

Read More Read More

Featured
Kama unachokipata, unakitumia chote unafanya makosa

Kama unachokipata, unakitumia chote unafanya makosa

Mafanikio ya kifedha hayapimwi kwa kiwango unachopata au kupokea, bali kinapimwa kwa kiwango kile unachoweka kama akiba na kukiwekeza. Kile kinachobaki mikononi mwako baada ya matumizi yako. Ukikaa chini na kutathimini ni pesa kiasi gani ambacho kimepita mikononi mwako, utashangaa sana. Utagundua kuwa, ni pesa nyingi sana ambayo imepita mikononi mwako, lakini kwa sababu ya kutumia kiwango chote ndiyo maana huna kwa sasa. Rafiki, kila pesa inayopita mikononi mwako, hakikisha huitumii yote. Hakikisha unaweka akiba sehemu ya pesa hiyo, hata…

Read More Read More

Featured
Jua ni kwanini unakitaka kitu hicho?

Jua ni kwanini unakitaka kitu hicho?

Rafiki, watu wengi hawajua wanataka nini kwenye maisha, na hata wale wanaojua wanataka nini, wengi wao huwa wanajua namna ya kufanya, laikini hawajui ni kwanini wanafanya. Kujua ni kwanini unakitaka kitu ni hatua muhimu sana, kwani ndiyo hatua inayokufanya ujue kwani ni unakitaka na kukifanya kitu unachokifanya. Kama hujui kwanini unakitaka hicho kitu, kwanini unataka kufanikiwa, kwanini unataka kuwa na afya njema au kwani unataka uendelee kuwa hai mpaka leo? Majibu ya kwanini, ndiyo chanzo cha watu kufanikiwa na wengine…

Read More Read More

Featured
Je wewe unajua unachotaka kwenye maisha yako?

Je wewe unajua unachotaka kwenye maisha yako?

Rafiki, usipojua unataka nini kwenye maisha, kila siku utakuwa unaanza upya. Ni ukweli usiopingika kuwa watu wengi huwa hawajui nini wanataka kwenye maisha. Ukitaka kujua kama watu wahajui kile wanachotaka, jaribu zoezi hili; hebu nenda na marafiki zako kwenye mugahawa au hotelini kupata chakula, kisha angalia vile wanavyopata tabu kujua wale nini au wanywe soda gani. Hivyo ndivyo ilivyo pia kwenye maisha, watu wengi huwa hawajui wanataka nini. Hawajui wanataka jua au mvua. Kwa sababu ya kutokujua wanataka nini, huwa…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo hasira yako inavyokufanyia

Hivi ndivyo hasira yako inavyokufanyia

Hasira ni huwa inamadhara makubwa kwa yule aliyenayo. Mark Twin aliwahi kunukuliwa akisema kuwa na hasira ni sawa na chombo chenye tindikali. Tindikali huunguza zaidi chombo kilicho ibeba kuliko chombo inapomwagiwa. Maana yake, madhara ni makubwa kwa mwenye hasira, kuliko yule atakaye tendewa na mwenye hasira. Hasira ni sumu inayokuua taratibu. Acha kuinywa. Unapo mkasirikia mtu, anakuwa unategemea kwamba apate madhara kwa sababu, hakutimiza mahitaji na matarajio yako. Unakuwa unakunywa sumu, huku ukitalajia afe mwingine. Huko ni kujidanganya. Wewe ndiyo…

Read More Read More

Featured
Acha kufanya kitu hiki ukiwa na hasira

Acha kufanya kitu hiki ukiwa na hasira

Mtu anapokukosea, au asipotimiza mahitaji na mategemeo yako huwa unawaka hasira, unaumia na kujeruhika. Kwa nini? kwa sababu unataka kuona hitaji, tegemeo, matarajio yako yanatimia. Unataka kuona haki inatendeka. Rafiki, hiki ndiyo chanzo cha hasira yako. Lengo lako ni kutaka kuona mahitaji yako yanatimia na haki inatendeka. Kwa nini unapatwa na hasira, unapatwa na hasira kwa sababu unataka kuona hitaji lako linatimia. Unataka kuona haki inatendeka, unataka awajibike kwa kitendo chake cha kukukanyaga. Hali hii husabaishwa na tafsiri ya kilichotokea….

Read More Read More

Featured
Kwa nini hasira hasara?

Kwa nini hasira hasara?

Mara nyingi utasikia mashuda wa tukio la mauaji, ukatili au unyanyasaji kwenye vyombo vya habari wakimuelezea muhusika wa tukio hilo kuwa alikuwa ni mtu mwema. “ Alikuwa mtu mwema tu, alikuwa akiishi vizuri na kila mtu, alikuwa hagomabani na watu. Alikuwa mtu wa watu, lakini sijui ni nini kilimpata mpaka akafanya haya aliyofanya” Hizi ni kauli ambazo huwa ni kawaida kwa mashuda na watu wa karibu na muhusika wa tukio hilo. Lakini wewe ukikaa china na kufikiria, chanzo hasa ni…

Read More Read More

Featured
Usihamishie hasira zako kwa wengine, bali fanya hivi

Usihamishie hasira zako kwa wengine, bali fanya hivi

Rafiki, kila mtu huwa anahasira. Kinachotofautisha watu ni namna yakuitawala na kuidhibiti hasira hiyo. Kumekuwepo na harakati, mafundisho na mikakati mbali mbali ya kukabiliana na hasira kwa watu mbalimbali. Wengine hufikia hatua ya kujifunza namna ya kuishinda hasira yao, kujaribu kuiondoa na hata kufikiria kuwa ni bora kuishi bila kuwa na hisia hii ya hasira. Kuna mafundisho ambayo niliwa kuona watu wanafundishwa namna ya kukabiliana na hasira zao kwa kuhamishia kwenye vitu au eneo jingine. Kwa mfano ulishawahi kuona watu…

Read More Read More

Featured
Mambo matatu ya kufanya unapokuwa na hasira

Mambo matatu ya kufanya unapokuwa na hasira

Rafiki, hasira ni moja hisia za awali kabisa za mwanadamu. Kuna hasira chanya na hasira hasi. Uchanya na uhasi wa hisia ya hasira unategemea sana na au namna ambavyo hasira hiyo imedhalishwa ndani mwako. Ni hisia hasi ya hasira ambayo haijawahi kuwa na manufaa kwa yeyote yule. Hisia hii ya hasira, inaongoza kwa kuwaweka watu wengi kwenye madhara na hasara kubwa. Hasira hasara, methali ya Kiswahili ikiweka mkazo zaidi kwenye madhara na hasara ziletwazo na hasira. Kuwa na hasira au…

Read More Read More

Featured
Kuamini kwako kunavyo changia hofu yako

Kuamini kwako kunavyo changia hofu yako

Rafiki, huwezi kuudharau na kuacha kuupa umuhimu mchango wa imani na kuamini kwako linapokuja suala la wewe kuwa na hofu, uoga na wasi wasi. Uoga na wasi wasi ulionao juu kuanzisha biashara, kuachwa, upweke n.k unatakana na wewe kuamini kutokana na uzoefu, uliopitia au kuona wengine wakipitia mabaya, hivyo unakuwa unakmbukumbu mbaya na hatarishi kwako. Mambo yote yanayokuogopesha kuna imani nyuma yake ambayo wewe umejijengea iwe unajua au haujui, ndiyo inayowndesha hofu yako. Kama unaimani potufu juu ya jambo au…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo hofu ya kupitwa inavyokutesa

Hivi ndivyo hofu ya kupitwa inavyokutesa

Rafiki, katika ulimwengu wa sasa ambao zaidi ya asilimia 99, ya watu hulala na simu zao kitandani. Lakini pia takwimu zinaonesha kuwa asilimia 80 ya watu hushika kwanza simu zao na kuangalia habari, na taarifa mbali mbali kabla ya kuamka na kutoka kitandani. Simu ndiyo inakuwa kitu cha mwisho kushika wakati analala na cha kwanza kushika pale anapoamka. Imekuwa ni kama sehemu ya kiungo cha mwili wa mwanadamu. Si hivyo tu rafiki, mtu yuko tayari kushika simu na kujua yanayoendelea…

Read More Read More

Featured
Kuitawala hofu yako, jitawale wewe kwanza

Kuitawala hofu yako, jitawale wewe kwanza

Rafiki, kama unaweza kujitawala ndani yako, kama unaweza kutawala mawazo yako, kama unaweza kutawala hisia zako, ni rahisi sana kutawala pia hofu yako. Sababu inayowafanya watu wengi washindwe kuitawala hofu yao ni kwa sababu hawajitawali wenyewe ndani yao. Hawawezi kujitawala ndani yao kwa sababu hawjijui wenyewe, na hivyo hutangeneza hofu zao wenyewe kwa kujua ama kwa kuokujua. Wanajiuliza maswali na kujijibu wenyewe. Maswali kama, je watanionaje, watanifikiriaje nikishindwa, nikikataliwa, nikifa itakuwaje. Maswali haya huwa yanapata majibu ndani ya mtu husika….

Read More Read More

Featured
Ili kuitawala hofu yako, acha kuitengeneza

Ili kuitawala hofu yako, acha kuitengeneza

Rafiki, kwanini hofu yako inakutawala kiasi cha kukuzuia wewe kupiga hatua kuelekea kwanye mafanikio yako. Kwanini unakuwa unaogopa kuchukua hatua. Kwani unaogopa kufanya maamuzi. Kwanini unaogopa kuchagua kwa usahihi? Ukikaa chini na kufikiria ni kwanamna gani hofu na uoga wako unavyokufanya ushindwe kuchukua hatua na kuyafikia mafanikio unayoyataka, utasikitika sana. Utagundua kuwa hofu yako haipo. Unachokihofia hakipo, bali unakitengeneza wewe. Uoga umekuwa ni adui wa haki kwa watu wengi, lakini ni kwa sababu wanajitegenezea maadui wa kuwahofia. Wako tayari kuacha…

Read More Read More

Featured
Unawezaje kuitawala hofu yako?

Unawezaje kuitawala hofu yako?

Hofu imekuwa kikwazo cha watu wengi kufikia mafanikio yao. Hofu imewazui watu akuanzisha biashara, kupata kazi za ndoto zao na hata kutimiza malengo na ndoto zao. Hofu ni kama kansa, ikiwa eneo moja, husambaa na kuenea kwenye maeneo yote ya maisha ya mtu. Ukiwa na hofu ya kuongea mbele za watu leo, baada ya muda hofu hiyo itaenea kwenye maeneo yote ya maisha, mahusiano, kazi na hata eneo la mafanikio. Swali ambalo watu wengi huwa wanajiuliza ni je wanawezaje kukabiliana…

Read More Read More

Featured
Usishindane na hofu yako, itawale

Usishindane na hofu yako, itawale

Rafiki, ni Kweli usiopingika kuwa kila mtu anahofu. Kuna kitu, vitu, jambo au mambo anayoyahofia kwenye maisha yake. Hofu ni hisia inayotumiwa ili kuepuka hatari mbalimbali zinazomkabili mtu kwenye mazingira anayoishi. Tatizo huanzia pale hofu yako badala ya kukusaidia na kukuokoa kwenye hatari, inakuzuia wewe kuchukua hatua kwenye mambo yenye faida na muhimu kwenye mahusiano, mafanikio na maisha yako kwa ujumla. Badala ya kuwa hofu nzuri inageuka na kuwa hofu mbaya. Je wewe unaijua hofu yako inayokuzuia kufanikiwa na kutimiza…

Read More Read More

Featured
Unawajibika na kutoa hesabu kwa vitu hivi viwili

Unawajibika na kutoa hesabu kwa vitu hivi viwili

Rafiki, kila unachokifanya utatoa hesabu. Unawajibika kwa maneno yako. Lakini kwa matendo yako utatoa hesabu au utalipa pia. Maana yake ni kuwa, kila unachokisema na kukitenda utalipia na kuwajibika kwacho. Kita kurudia wewe. Na hiyo ndiyo sheria ya dhahabu yaani Karma. What’s goes around comes around. Chochote unacho panda iwe kwa maneno au matendo utavuna. Ni jukumu na wajibu wako kuhakikisha unatenda mema na unanena mema. Kwani ukitenda mema utavuna mema, na ukitenda mabaya utavuna mabaya. Unapotimiza malengo yako mwaka…

Read More Read More

Featured
Tumia vizuri vitu hivi viwili unapotimiza malengo yako

Tumia vizuri vitu hivi viwili unapotimiza malengo yako

Rafiki, kila unachokifanya kinamchango chanya au hasi kwenye malengo yako, uwe unajua au haujui. Ukiwa unafanya mambo mabaya, maana yake yanakuwa na mchango hasi kwenye malengo yako. Kama kweli unataka kufanikwa katika malengo na majukumu uliyojiwekea, hakikisha unakuwa makini na vitu unavyofanya kwenye maisha yako. Vitu hivi viwili ni nguvu zako na muda wako. Bahati mbaya ni kwamba muda na nguvu zinaukomo kwenye maisha yetu. Hivyo kama hautumia vizuri nguvu na muda wako, jua ya kwamba kuna ukomo. Utafika mahali…

Read More Read More

Featured
Usiweke malengo mengi, utatawanya muda na nguvu zako

Usiweke malengo mengi, utatawanya muda na nguvu zako

Rafiki, katika kuweka malengo yako ya mwaka huu, unapaswa kuwa na malengo machache utakayo ya fanyia kazi kwa ufanisi zaidi. Kuwa na malengo mengi ni kutapanya nguvu na muda wako. Na hivyo kufanikisha kwa kiwango kidogo sana. Hutaweza kuona mabadiliko yoyote yale kwenye maisha yako. Ili kufanikiwa katika kutimiza malengo yako; fanya hivi: 1. Hakikisha unakuwa na lengo moja kuu, mfano; kuwa na uhuru wa kifedha ndani ya miaka kumi. Kisha ligawe hilo lengo kuu kwenye malengo madogo madogo atakayo…

Read More Read More

Featured
Ili uwe na malengo makubwa, fanya hivi

Ili uwe na malengo makubwa, fanya hivi

Rafiki, ni ukweli usiopingika kwamba kila mtu huwa anaweka malengo na anayatimiza. Kabla sijaanza kusimamia watu kwenye huduma za ukocha, nilikuwa nafikiri kwamba watu huwa hawana malengo na hata huwa hawaweki malengo kabisa. Hivyo kila mwaka huwa wanabaki palepale yaani hawapigi hatua kabisa. Lakini nilichokuja kujifunza ni kwamba, kila mtu huweka malengo na kwa namna fulani huwa anafanikisha na kutimiza malengo hayo kwa kiwango kikubwa sana. Nilichogundua ni kuwa; kuweka malengo na kuyatimiza hilo siyo tatizo la watu wengi. Tatizo…

Read More Read More

Featured
Kabla hujaweka malengo, jua hiki kitu kwanza

Kabla hujaweka malengo, jua hiki kitu kwanza

Kila mwanzo wa mwaka unapoanza kila mtu huw anajitahidi kuweka malengo. Wengine wanaweka maelengo wakijua ni nini hasa wanataka kwenye, mahusiano, afya zao, uchumi wao na maisha yao kwa ujumla. Lakini lipo kundi la watu ambao wao huweka malengo bila hata ya kujua haswa wanataka nini kwenye maisha yao, wanataka nini kwenye uchumi wao, wanataka nini kwenye mahusiano yao kwa ujumla. Kuweka malengo bila ya kuweka bayana unataka nini kwenye maisha imekuwa ni kikwazo kimoja wapo cha watu wengi kutotimiza…

Read More Read More

Featured
Unapoweka malengo yako ya mwaka mpya, usisahau malengo haya

Unapoweka malengo yako ya mwaka mpya, usisahau malengo haya

Unapoweka malengo yako mapya, hakikisha unaweka malengo kwenye maeneo haya manne. Eneo la kwanza: maendeleo binafsi; hapa unahakikisha kuwa unakua kila siku. Hudhuria semina, soma vitabu kwenye eneo lako unayofanyia kazi. Na tafuta kocha wa kukusimamia na kukuonesha njia. Hutakiwi kuwa na muda wa ukomo. Unatakiwa ukue kila siku. Kama haukui maana yake unadumaa yaani unarudi nyuma. Eneo la pili: fedha na uchumi . Eneo hili ndilo linaweza kukusaidia kununua uhuru wako mwingine. Uhuru juu ya afya yako, muda wako,…

Read More Read More

Featured
Salamu za mwaka mpya

Salamu za mwaka mpya

Rafiki heri ya mwaka mpya, Mwaka mpya ndiyo huo umeshaanza. Kama ilivyoada kwa watu wengi kuweka malengo mbalimbali kila mwaka mpya unapoanza, ninaamini na wewe utakuwa umejiwekea malengo tayari. Kama bado, nakusihi ujiwekee mapema na usisahau kuweka mikakati ya kukusaidia kutimiza malengo hayo. Kama lengo uliloweka ni kubwa, unatakiwa uligawe kwa siku, wiki na hata mwezi. Mfano kama umeweka lengo la kuandika vitabu 12 kwa mwaka, maana yake unatakiwa kugawa kila mwezi ni kitabu kimoja 1, na kisha gawa kwa…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini malengo yako hayajatimia mwaka huu

Hizi ndizo sababu kwanini malengo yako hayajatimia mwaka huu

Rafiki, mwaka unafikia ukingoni leo. Ni muda mzuri wa wewe kutafakari na kujifanyia tathimini. Malengo yepi umeyakamilisha na yepi hayakukamilika. Kama kwa kiwango kikubwa malengo na mipango yako, shukuru Mungu na weka malengo makubwa zaidi kwa mwaka huu mpya. Kama hukufanikisha malengo na mipango yako, basi mwaka mpya ni fursa mpya ya wewe kutimiza malengo yako hayo. Siku hii ya kufunga mwaka, tuangalie sababu zinazofanya watu wengi kushindwa kufikia malengo wanajiwekea. Kinachobadilika ni tarehe tu lakini tabia zako ni zilezile….

Read More Read More

Featured
Mambo mawili yanayo weza kuharibu mahusiano yako

Mambo mawili yanayo weza kuharibu mahusiano yako

Jambo la kwanza ni kuwa na hatia pale unapo kwenda kinyume na sheria, kanuni, au masharti na miongozo uliyojiwekea wewe na mwenza wako . Changamoto ni kuwa; hatia ya aina hii haina maana sana kwenye maisha yako kwa sababu, ili uwe na hatia lazima kuwe na mshitaki, mshitakiwa na mwendesha mashitaka pamoja na hakimu au mtoa hukumu. Pale unapojitia hatiani wewe pekee yako, maana yake ni kuwa, wewe ndiyo mshitaki, mshitakiwa, mwendesha mashitaka na mtoa hukumu. Hivyo kujitia hatiani wewe…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo nguzo kuu ya mahusiano yoyote

Hii ndiyo nguzo kuu ya mahusiano yoyote

Mahusiano ni maisha. Kila mtu hapa duniani lazima ahusiane, ili aweze kuishi. Bila mahusiano hakuna maisha. Lakini swali unaloweza kujiuliza, ni nini hasa kinachofanya mahusiano yaweze kuwa imara na bora zaidi? Kuna nguzo moja muhimu sana inayofanya mahusiano yoyote yale, yaweze kudumu. Iwe ni mahusiano ya kimapenzi, ndoa, kikazi, kifamilia, ya kimungu au hata mahusiano yako na wewe. Nguzo hii huwa ni mawasiliano. Mawasiliano ndiyo nguzo kuu inayoshikiria mahusiano yoyote yale. Ukitaka kuu uhusiano, wala ussitumie nguvu nyingi, bali kata…

Read More Read More

Featured
Unahitaji vitu hivi viwili ili ndoa yako idumu

Unahitaji vitu hivi viwili ili ndoa yako idumu

Rafiki mpendwa! Tunatafuta mafanikio na uhuru wa kifedha kwenye maisha yetu kila siku. Lakini huwa tunasahau eneo moja muhimu sana kwenye hayo mafanikio yetu. Badala yake mafanikio yetu hayatakuwa na maana, kwani yataishia kwenye kujaribu kuimarisha mahusiano ya ndoa. Eneo hili la mahusiano, unaweza ukalipuuza lakini huwezi ukaepuka madhara yake kwenye mafanikio na maisha yako kwa ujumla. Hivyo ni muhimu kuzingatia pia eneo hili, wakati ukiwa unaendelea na harakati za kutafuta. Katika mahusiano ya ndoa kuna mambo mawili ambayo ni…

Read More Read More

Featured
Kwanini ni muhimu kumuelewa mwenza wako?

Kwanini ni muhimu kumuelewa mwenza wako?

Mpendwa rafiki! Kama kunakitu cha muhimu kufahamu kinachofanya ndoa idumu, basi uelewa. Uelewa juu ya mwenza wako. Lakini kabla haujamwelewa mwenza wako, lazima ujielewe wewe kwanza. Kama haumwelewi mwenza wako, jua tu ya kwamba na wewe hujielewi. Huwezi kumwelewa mtu yeyote, isipokuwa wewe umejielewa kwanza. Kwenye mahusiano ya ndoa, kuna mambo mengi huwa yanatokea. Kuna kutofautiana kwenye mitazamo, maono na hata kupishana kauli. Lakini kama unamuelewa mwenza wako ni rahisi kutatua changamoto na matatizo mnayopitia. Hebu tuangalie mfano huu wa…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo taarifa unazotakiwa kuzijua juu ya mwenza wako kabla au baada ya kuingia kwenye ndoa?

Hizi ndizo taarifa unazotakiwa kuzijua juu ya mwenza wako kabla au baada ya kuingia kwenye ndoa?

Rafiki, heri ya sikuku ya Christmas na Boxing Day Nimekuwa nikiulizwa maswali mengi juu ya taarifa na maarifa gani mtu anapaswa kuyapata kutoka kwa mwenza wake ili aweze kumjua vizuri, kabla na hata baada ya kuingia kwenye ndoa. Leo nimekuandalia maeneo matano unayopaswa kuyajua ili ufanye maamuzi ya kuingia kwenye ndoa, au kama umeshaingia kwenye ndoa basi ujue namna ya kuishi vizuri na mwenza wako. Ukizijua taarifa na maarifa haya juu ya mwenza wako au mchumba wako ni rahisi kufanya…

Read More Read More

Featured
Swali: kwanini ndoa za sasa zinazodumu ni zile ambazo unakuta wanandoa walioana ambao wamekutana na changamoto? Mfano mke aliachwa na mume aliachwa?

Swali: kwanini ndoa za sasa zinazodumu ni zile ambazo unakuta wanandoa walioana ambao wamekutana na changamoto? Mfano mke aliachwa na mume aliachwa?

Majibu Nimekuwa nikiulizwa maswali juu ya mahusiano ya ndoa, ninapokuwa kwenye semina, makongamano na mafunzo mbalimbali. Hapa ninakushirikisha leo swali moja wapo, ya maswali yanayo ulizwa sana. Katika swali hilo hapo juu, kuna jambo la kujifunza kutoka kwenye swali hilo. Ukiangalia kwa haraka haraka kuna ukweli wa swali hilo. Lakini jambo la muhimu sana ni kujua kuwa, hata ndoa ambazo mke na mke hawaja wahi kuachwa, au kuacha, kuachika au kuachana kabla ya kukutana na wakiwa wote wameachana huwa bado…

Read More Read More

Featured
Mwanamke anapoolewa au mwanamume anapooa anategemea nini kutoka kwa mwenza wake?

Mwanamke anapoolewa au mwanamume anapooa anategemea nini kutoka kwa mwenza wake?

Swali hili nimekuwa nikiulizwa sana katika semina, makongamano na mafundisho ninayoyatoa. Katika kujibu swali, halina jibu la moja kwa moja, kwani linategemea sana na mtu mwenyewe; Amelelewa katika utamaduni gani, ana haiba gani, anauelewa gani juu ya ndoa na mahusiano. Vitu hivi vyote tumevijadili na kujifunza kwa kina kwenye blogu hii. Kila mtu anapotaka kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na hatimaye ndoa, huwa anamatarajio, mategemeo yake anayokuwa anayatarajia kutoka kwa mwenzi wake. Matarajio au mategemeo hayo yanaweza kuwa ni tendo…

Read More Read More

Featured
Mahusiano ya kimapenzi au ndoa yana maana gani kwako?

Mahusiano ya kimapenzi au ndoa yana maana gani kwako?

Haya ni mahusiano ambayo ni ya ukaribu kuliko aina yoyote ya mahusiano. Mahusiano ya ndoa hutangulia mahusiano yote. Kila mtu huwa anavutiwa na mwenzake kihaiba na hata kimwili. Kuna kuwa na muunganiko wenye nguvu baina yao ambao hauwezi kuupata katika aina zingine zozote za mahusiano. Uhusiano huu ni kati ya mwanamume na mwanamke au mume na mke. Wanaamua kuishi pamoja au sehemu tofauti, lakini wakiunganishwa na mawasiliano zaidi. Mawasiliano ndiyo nguzo imara ya mahusiano yoyote ikiwemo mahusiano ya ndoa au…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kufaidika na ongezeko la bei

Hivi ndivyo unavyoweza kufaidika na ongezeko la bei

Kumekuwepo na ongezeko kubwa la bei za vitu hasa inapoelekea msimu wa sikuku. Watu wengi na hata wewe kwa namna moja ama nyingine umekuwa muhanga wa mfumko huo wa bei za vitu muhimu kama vyakula na mavazi. Lakini ukikaa chini na kujiuliza ni nini hasa kinachotokea mpaka wewe unakuwa muhanga, utagundua kuwa upande au timu uliyoponi timu ya watumiaji badala ya timu ya wazalishaji aubwauzaji. Katika ongezeko lolote la bei ya vitu mbali mbali ni wazalishaji na wauzaji ndiyo wanaofaidika….

Read More Read More

Featured
Ili kuepuka madeni, fanya yafutayo

Ili kuepuka madeni, fanya yafutayo

Bila shaka ulishawahi kukutana au kuusikia methali maarufu ya kukopa harusi, kulipa matanga. Ikiwa na maana kuwa, pale mtu anapokuwa anakopa, huwa anafuraha, mithiri ya harusi lakini pale linapokuja suala la kulipa mkopo huo ndipo changamoto na kutokuwepo kwa furaha kunapoanzia. Ni kama msiba. Mkopo siyo kitu kibaya. Kuna mikopo mizuri na mikopo mibaya. Ubaya wa mkopo unakuja tu pale: 1. Mtu unapokopa kwa ajili ya kukidhi mahitaji yako ya nyumbani kama vile kulipa pango la nyumba, ada za shule,…

Read More Read More

Featured
Epuka kujifunza kutoka kwa wasemaji, bali jifunze kwa wafanyaji

Epuka kujifunza kutoka kwa wasemaji, bali jifunze kwa wafanyaji

Kuna nguvu kubwa kwenye kujifunza na kufanya kutoka kwa mtu anyefanya, kuliko anayesema tu bila kutenda. Watu wengi siku hizi siyo wakweli. Watakwambia na kukushauri binu mbali mbali za kufanya ili hali wao hawafanyi na kuuishi ushauri wanaokupa wewe. Umeshawahi kuona muhamasishaji anahamasisha watu kulima matikiti, ili hali yeye hajawahi hata kuona shamba la matikiti? Watu wengi wameingizwa mkenge na ushauri wa namna hiyo, linapokuja masuala ya kifedha. Mara nyingi unapoenda kuomba ushauri kwa mtu kuhusu fedha, hakikisha ni mtu…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kutumia njia fupi na ya haraka ili kupata utajiri na uhuru wa kifedha 2

Jinsi ya kutumia njia fupi na ya haraka ili kupata utajiri na uhuru wa kifedha 2

Kama hukusoma makala iliyopita; isome hapa. Tuangalie mfano huu wa; RIBA MKUSANYIKO. Kati ya njia ndefu na njia fupi. Riba mkusanyiko ina nguvu sana linapokuja suala la uwekezaji. Kwenye njia ndefu; Kama utawekeza milioni 1, kwa miaka 40, hiyo ni sawa na 7,039,988.71 kwa riba ya asilimia 5 kila mwaka. Hapo ni kama uliweka milioni 1, na hukuweka pesa yeyote tena. Sawa na ongezeko la elfu 50 kila mwaka. Lakini kama utaweka milioni 1, na ukaamua pia kuendelea kuweka labda…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kutumia njia fupi na ya haraka ili kupata utajiri na uhuru wa kifedha

Jinsi ya kutumia njia fupi na ya haraka ili kupata utajiri na uhuru wa kifedha

Katika makala iliyopita, tulijifinza njia kuu mbili za kukufikisha kwenye utajiri na uhuru wa kifedha. Njia hizo ni njia ndefu na ya polepole, na njia fupi na ya haraka ya kukupatia utajiri. Kama huku bahatika kuisoma makala hiyo basi isome hapa. Leo tutajifunza jinsi ya kutumia njia hii ya haraka na fupi ili kupata utajiri na uhuru wako wa kifedha. Ninaposema ni fupi na ya haraka sina maana kwamba ni njia ya mkato. Ni ya haraka na fupi kwa sababu,…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu za ndoa nyingi kuvunjika siku hizi

Hizi ndizo sababu za ndoa nyingi kuvunjika siku hizi

Watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa : 1. Hawana uelewa na masula ya ndoa. Ndoa inamaana gani kwao. Kwa nini wanaoa au kuolewa. Wengi wanaingia kichwa kichwa. Hawana sababu yenye nguvu ya kuoa au kuolewa. 2. Hawana uelewa juu yao na juu ya wenza wao. Hawaelewi mwanamke anahitaji nini, na mwanamume anahitaji nini kwenye ndoa. Unapo amua kuingia kwenye mahusiano ya ndoa, unaamua kuwa MUME au MKE, badala ya kuwa MWANAMUME au MWANAMKE tu. Kuna sifa za kuwa manamume au…

Read More Read More

Featured
Jinsi ya kupata utajiri na uhuru wa kifedha kwa haraka

Jinsi ya kupata utajiri na uhuru wa kifedha kwa haraka

Rafiki, katika kutafuta utajiri na uhuru wa kifedha, kuna njia nyingi za kupitia ambazo ni halali kabisa. Lakini hapa tuangalie njia kuu mbili za wewe kupata utajiri na uhuru wa kifedha. Kwanza ni njia ndefu na ya polepole ya kupata utajiri, lakini ya pili ni njia fupi na ya haraka. Ninaposema njia fupi, sina maana kwamba ni njia za mkato. Njia za mkato kwenye kutafuta utajiri na uhuru wako wa kifedha ni hatari sana kwani nyingi huwa ni haramu. Na…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 6

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 6

6. Ukomo wa ongezeko la kipato Ulisha wahi kwenda kwa bosi wako kuomba ongezeko la mshahara wako? Je ulitaka ongezeko la asilimia ngapi? Je ulikubaliwa au ulikataliwa? Na je vipi kama ungeenda kuomba ongezeko la asilimia 1000%? Bosi angekuchukuliaje? Rafiki ongezeko la mshahara hata kama ungekuwa na sababu nzuri kiasi gani, haliwezi kuzidi asilimia ishirini 20%, tena wewe utakuwa na umuhimu kwenye hiyo ofsi kuliko hata bosi wako ili kupata ongezeko la asilimia 20%. Sana sana ongezeko utakalopata ni asilimia…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 5

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 5

5. Siasa za kazi maofisini zitakwamisha mipango yako Maofisini kuna siasa sana. Kama hujawahi kuajiriwa unaweza usijue siasa zinavyochezwa maofisini. Kinachotofautisha tu ni eneo la kazi, lakini watu ni walewale, siasa za kazi ni zile zile. Haijalishi ni ofisi gani unafanyakazi, ni kazi gani na kwa nafasi gani, hadithi ni zile zile. Fulani anachelewa kazini lakini anawahi kuondoka; Bosi anatoka na mtu fulani; fulani anaharufu mbaya, lakini watu hawataki kumwambia. Ukiwa na wazo lako zuri la kuboresha, utakutana na siasa…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 4

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 4

4. Unalipwa wa mwisho kwenye ajira. Kuna dhana moja muhimu sana kwenye fedha na uchumi. Dhana hiyo kujilipa wewe wa kwanza kabla ya kuwalipa watu, bili, vitu vingine na hata kodi stahiki. Dhana hii huwa haiwezekani kama umeajiriwa, bali ukiwa umejiajiri au kumiliki biashara yako mwenyewe. Unapotegemea ajira na ujira kwenye mipango ya kifedha, bado unakuwa huna udhibiti na fedha zako, kwani wewe ndiyo unakuwa wa mwisho kulipwa, baada ya kodi na makato mengine kukatwa na kulipwa kwanza ndipo na…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 3

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 3

3. Wewe hauna udhibiti na ajira au ujira wako Ulishawahi kubebwa kwenye gari ya wazi nyuma? Au unapotaka kusafiri na basi, kwa nini huwa unaulizia siti za mbele kwanza kujua kama zimejaa? Vipi kama ukikosa siti ya mbele karibu na dereva na ukakaa nyuma ya gari? Kisha gari au basi ikapita kwenye barabara mbovu na yenye mashimo? Bila shaka utarushwa rushwa sana na utafika umechoka. Utaichukia safari na pengine utaiona ni safari ndefu sana. Basi rafiki yangu, ndivyo ilivyo linapokuja…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 2

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira 2

2. Uzoefu unaukomo kwenye ajira na ujira Ukichunguza kwa makini, kila tangazo la ajira linalotoka, linataka uwe na uzoefu wa muda fulani kwenye hiyo kazi inayotangazwa. Hali hii imewafanya watu wengi hasa vijana wanaotoka vyuoni kukosa ajira na ujira, kisa hawana uzoefu. Kitu muhimu unachopaswa kufahamu kuhusu uzoefu unapatikina mahali popote, si kwenye ajira pekee. Uzoefu unaopatikana kwenye ajira na ujira, ni wa muda tu na huwa unaokomo. Uzoefu unaotakiwa kuwa nao ni uzoefu unaotokana na maisha na siyo ujuzi…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira

Hizi ndizo sababu kwanini mipango yako ya kifedha isitegemee ajira na ujira

1. Kuuza muda wako ni kuuza maisha yako Sijui hii ilianzia wapi, na nani aliianzisha. Kuuza muda wako ili upate pesa. Kama wewe upo kwenye ajira, maana yake unauza muda wako kwa mwajiri wako ili upate pesa. Kwa sababu muda unaukomo kwa kila mtu yaani saa 24 kwa siku. Hivyo mwajiri au bosi wako ili aweze kuzalisha zaidi. Wewe unakuwa unauza uhuru wako ili kupata uhuru mwingine. Unauza muda wako, ambayo ndo maisha yako. Huwezi kuutenganisha muda na wewe. Ulipo…

Read More Read More

Featured
Huu ndiyo uhuru unaotakiwa kuwa nao

Huu ndiyo uhuru unaotakiwa kuwa nao

Rafiki, ikiwa leo ni mapuziko ya kusherekea uhuru wa Tanganyika, ni muhimu kujikumbusha mambo yahusuyo uhuru wetu kama wanadamu. Ni ukweli usiopingika kuwa kila mwanadamu anahitaji kuwa huru. Kwa asili mwanadamu ni kiumbe huru. Hatakama umubane vipi, ipo siku atautafuta uhuru wake, kwani yuko huru. Unahitaji uhuru, ili ujiamrie mambo yako mwenyewe. Unahitaji uhuru wa muda, ili uweze kuamua uwe wapi kwa wakati gani na ufanye nini. Bahati mbaya ni kwamba hakuna uhuru wa muda kama hauna uhuru wa kifedha….

Read More Read More

Featured
Epuka neno hili kwenye mafanikio, utajiri na furaha yako

Epuka neno hili kwenye mafanikio, utajiri na furaha yako

Umeshawahi kupokea meseji kwenye simu yako? Kama hii au inayofanana na hii? TAJIRIKA PAPO KWA HAPO! Jiunge sasaivi na UBAHATIKE kuwa MILIONEA wa hadi Tsh 12,000,000 ama Tsh 5,000,000. Usizubae, UNASTAHILI KUWA MILIONEA. Jiunge tuma neno ZALI ubahatike! Ukiiangalia vizuri meseji hii, inakitu kimoja cha muhimu sana kukifahamu! Nacho ni UNASTAHILI! UNASTAHILI! UNASTAHILI! Unastahili kuwa milionea. Fuatilia kwa umakini utagundua kuwa matangazo unayoyasikia na kuyaona kwenye redio, luninga, magazeti na mitandao ya kijamii. Watu wa mikopo watakwambia unastahili na unakopesheka….

Read More Read More

Featured
Epuka imani hizi juu ya utajiri na mafanikio yako

Epuka imani hizi juu ya utajiri na mafanikio yako

“Una bahati sana wewe” ni kauli ambayo nimeisikia sana, na ninaamini na wewe utakuwa umeisikia pia. Matangazo mengi mtandaoni, redio, kwenye luninga na magazetini huwa yanasisitiza ni jinsi gani unaweza kubahatisha kupata utajiri. Michezo ya bahati nasibu imejaa kila kona. Siyo tu kwenye simu yako, bali hata kwenye redio, luninga na mtandaoni. Lakini pia mtaani kwako, biashara hii imeshamiri. Yaani mikeke, iko kila kona ya mtaa siku hizi. Hali hii inapelekea watu wengi kuamini kuwa utajiri ni bahati, ni tukio…

Read More Read More

Featured
Epuka ndoano ya raha ya muda mfupi

Epuka ndoano ya raha ya muda mfupi

Ndoano ni chuma kidogo sana, ambacho hutumika kwenye kuvulia samaki. Mwishoni mwa ndoano huwa kuna incha ambayo huwa inafichwa kwa kuwekwa chambo. Chambo huwekwa ili kumvutia samaki. Akisha imeza ndoano na chambo ndipo hiyo incha kali huwa inaonekana na tayari samaki huyo anakuwa hawezi kuitema tena na inamjeruhi. Rafiki, hivyo ndivyo inavyokuwa pia linapokuja suala la raha na starehe za muda mfupi. Nyumba ya kila raha na starehe ya muda mfupi kuna ndoano na chambo. Zinakuwinda wewe ili uvutiwe kuimeza…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuachana na raha za muda mfupi ili uwe na furaha ya muda mrefu

Hivi ndivyo unavyoweza kuachana na raha za muda mfupi ili uwe na furaha ya muda mrefu

Raha ya muda mfupi, liziko la muda mfupi pamoja na kujisikia vizuri kwa muda mfupi ni adui wa furaha ya muda mrefu kwenye maisha yako. Adui huyu amewapoteza watu wengi wasiweze kuishi maisha ya ndoto yao, wasianzishe biashara zao na hata kuishi makusudi yao. Hebu fikiria, mfano utumwa wa kazi; huwa kuna mshahara au ujira unaoleta raha ya muda mfupi, lakini kuna maumivu na majuto baadaye. Mtu yeyote anayenasa kwenye mtego huu, anakuwa ni mtumwa wakazi, anakosa uhuru wa kifedha,…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unaweza kuacha kununua vitu usivyovimudu

Hivi ndivyo unaweza kuacha kununua vitu usivyovimudu

Umeshawahi kwenda dukani kununua jojo au pipi? Je, ulianza kufikiria kama unaweza kumudu gharama za kununua pipi au jojo? Hapana, ulitajiwa bei ukalipia na kuondoka. Bei ya kununua pipi haikuwa na madhara kwenye uchumi wako, wala haikuweza kuharibu mipango yako ya pesa. Je hapo ulipo sasa hivi unaweza ukaenda kwenye yadi ya magari na kuchagua gari ya ndoto yako bila kufikiria kama bei unaimudi au hauimudu? Rafiki, hiyo ndiyo maana ya kumudu au kutokumudu gharama au bei ya kitu unachotaka…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo madeni na utumwa wa kazi unavyovuja mahusiano

Hivi ndivyo madeni na utumwa wa kazi unavyovuja mahusiano

Kulingana na utafiti uliofanywa nchini Marekani na kituo cha ndoa na familia cha Chuo Kikuu cha Creighton, ulionesha kwamba madeni ni chanzo kikuu cha migogoro na mafarakano kwa wanandoa wapya au wachanga na wazoefu pia. Hali hii haina tofauti sana na huku kwetu Afrika. Madeni huwa yanawasumbua wanandoa wengi kiasi kwamba yanawafanya washindwe kufurahia ndoa zao. Hali inayopelekea migogoro na hatimaye kuachana. Wanawake wengi utakuta wanamikopo ya siri na marejesho ya kila wiki kwenye vikoba, Sacoss na taasisi zingine za…

Read More Read More

Featured
Pesa haiwezi kununua furaha, lakini hiki ndicho huwa inanunua

Pesa haiwezi kununua furaha, lakini hiki ndicho huwa inanunua

Pesa haiwezi kununua furaha, hii ni kauli maarufu sana inayotumika kwenye jamii ili kuhalalisha kwamba siyo muhimu kuwa na pesa. Swali unalopaswa kujiuliza, kama pesa haiwezi kununua furaha, je umasikini unaweza kuinunua furaha? Watu wote wanaosema pesa hainunui furaha, walishahitimisha kwamba hawawezi kuwa na pesa. Kama pesa haiwezi kununua furaha, utajisumbua kuitafuta? Utajisumbua kuweka akiba? Hapana hutakuwa tayari kuitafuta na kuweka akiba au kuiwekeza. Pesa ni ya pili kwa umuhimu baada ya pumzi tunayovuta alisema Kocha Makirita Amani. Watu huwa…

Read More Read More

Featured
Katika kutafuta mafanikio usisahau vitu hivi vitatu

Katika kutafuta mafanikio usisahau vitu hivi vitatu

Kila mtu anataka kufanikiwa kwenye maisha yake. Hata yule asiyekuwa na mipango, naye anatamani na kutaka mafanikio. Unaweza ukayatafuta na kuyapata mafaniko kweli, lakini mafanikio yako yatakuwa ni bure kabisa kama yatakosa vitu hivi vitatu. 1. Familia (au mahusiano ). Ni ukweli usiopingika kuwa unaweza ukayapata mafanikio, lakini hayatakuwa na maana kwako kama mahusiano yako na familia, marafiki na wale uwapendao, jamii na Mungu hayatawagusa kwa namna moja ama nyingine. Mafanikio ya kweli ni pamoja na kusaidia familia, marafiki na…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unaweza kuachana na umateka wa jamii

Hivi ndivyo unaweza kuachana na umateka wa jamii

Nafaahamu umuhimu wa sisi binadamu kuwa kwenye jamii, kwani ni viumbe wa kijamii. Tatizo linakuja pale jamii tunayoishi au kutokea inapokuwa kikwazo cha sisi kupiga hatua na kuwa na maisha tunayotaka kuishi. Jamii tunayoishi imeweka viwango vyake ambayo kila mwanajamii anapimwa na viwango hivyo. Kwenda kinyume (yaani zaidi ya viwango hivyo au chini ya viwango hivyo) huonekana ni usaliti kwenye jamii husika. Jamii inategemea wewe uwe na maisha ya aina fulani, kipato fulani, elimu fulani na hata kazi au biashara…

Read More Read More

Featured
Unachokitafuta unacho, lakini kimepungua…..

Unachokitafuta unacho, lakini kimepungua…..

Mara nyingi sisi wanadamu ni viumbe wa ajabu. Huwa tunahangaika kutafuta kile ambacho tunacho, na kuacha kutafuta kile ambacho hatuna. Iko hivi, kama kila siku wewe ni wakutafuta na hupati, fahamu ya kwamba hicho kitu tayari unacho ndiyo maana hukipati. Ukiwa unatafuta kitu ambacho unacho, hutaweza kukipata. Siku moja mama alinituma sindano ya kushonea nguo nimchukulie ndani. Niliingia ndani ya nyumba kweli, na kuichukua ile sindano, lakini kabla sijatoka nje likanijia wazo la kunywa maji kabisa nikiwa ndani. Ili niweze…

Read More Read More

Featured
Huyu ndiye rafiki wa kweli

Huyu ndiye rafiki wa kweli

Kama kuna rafiki ambaye hawezi kukusahau, kukutupa na kukunyanyasa basi ni kazi. Kazi ni rafiki wa kweli kwa kila mtu atakayefanya naye urafiki. Kazi ni shughuli yeyote unayoifanya iwe inakuingizia kipato ama la. Uwe unalipwa ama haulipwi, ukifanya urafiki na kazi, matokeo yataonekana tu, na asili itakulipa kwa sababu umeweka kazi. Hakikisha una kazi, shughuli au biashara inayokuingizia kipato, hata kama siyo kikubwa au hakuna kabisa, bado unautofauti na yule ambaye hafanyi kazi. Ipo siku kazi itakulipa, hata kama siyo…

Read More Read More

Featured
Fanya haya ili upate unachokitaka

Fanya haya ili upate unachokitaka

Watu wengi wanaahirisha kufanya kitu juu ya ndoto zao, mpaka wanafikia umri wa utu uzima wakiwa hawajafanya chochote juu ya ndoto zao. Mwisho wake sasa wanaanza kuwashurutisha watoto wao kutimiza ndoto zao. Katika mazingira ya kiafrika  mara nyingi nimekutana na kesi nyingi tu juu ya wazazi na watoto wao. Wazazi wanalazimisha mtoto wao asome masomo flani, lasivyo hatamlipia ada. Watoto wa namna hiyo mara nyingi wana kuwa wahanga wa ajira au hata kazi ambazo hawakuzaliwa kuzifanya. Na kama watoto hao…

Read More Read More

Featured
Usipojitambua, hakuna atakaye kutambua

Usipojitambua, hakuna atakaye kutambua

Kuna msemo maarufu wa Dr. Eli VD Waminian kuwa usipojitambua, utajitahidi kujitambulisha. Kujitambua ni kujigundua wewe umebeba nini, unathamani gani na kisha kuendelea kuijifunza kila siku ili kukiendeleza na kukitoa ulichobeba kwaajili ya wengine. Kama hujatambua thamani uliyonayo wewe kwaajili yao, na wao pia hawatatambua thamani yako, hivyo utakuwa unajitahidi kujitambulisha, lakini haitakusaidia. Kujitambua ni kugundua na kupalilia vipaji vyako, vipawa vyako na ujuzi wako, ili vig’aae kwaajili ya watu wengine, kwani wanavihitaji zaidi wenyewe. Sijawahi kuona muembe umebeba matunda…

Read More Read More

Featured
Unachokihitaji unakijua, lakini hauko tayari kuchukua hatua

Unachokihitaji unakijua, lakini hauko tayari kuchukua hatua

Ni ukweli usiopingika kwamba, kila mtu anajua anachokihitaji na kukitaka katika maisha yake, lakini changamoto ni kuwa hakuna aliyetayari kuchukua hatua. Unajua kabisa uanatakiwa ufanye nini ili ufanikiwe, lakini linapokuja suala la kuchukua hatua, hauchukui. Unajua kabisa unataka mafanikio na namna ya kuyafikia mafanikio lakini hauchukui hatua. Hebu fikiria unataka kununua bidhaa dukani, unajua kabisa nini unatakiwa kufanya. Kwanza utatakiwa kwenda dukani, hapo utatumia muda wako. Pili ukifika dukani utatatakiwa kulipa gharama ya hiyo bidhaa au huduma unayoitaka, na hapo…

Read More Read More

Featured
Wewe ni dhahabu

Wewe ni dhahabu

Ndiyo, umesoma vyema. Wewe ni dhahabu, wewe ni wa thamani. Swali unalopaswa kujiuliza ni je umeshajigundua kuwa wewe ni dhahabu? na hapa ndipo watu wengi wanapaokwama, kwani hawajijui kama wao ni dhahabu. Wao ni wa thamani. Mwili wako huo, umeficha dhahabu ndani yake, ambaye ndiyo wewe. Jukumu kubwa katika maisha yako ni kujigundua kuwa wewe ni dhahabu, wewe ni wa thamani kubwa. Kadili unavyojingundua, ndivyo ambavyo unazidi kuiongeza thamani yako. Unazidi kung’ara zaidi.  Kuna hadithi ya kweli, japo ni ya…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho tunakikosa kwenye elimu yetu, na namna ya kukipata

Hiki ndicho tunakikosa kwenye elimu yetu, na namna ya kukipata

Mtu yeyote asiyejiamini mwenyewe, hawezi kujitoa kafara na kulipa gharama anayotakiwa kulipa ili aweze kufanikiwa. Kama wewe hujiami, huwezi kumuamini mwezako, wala taifa lako. Hii ni kutokana na wewe ndani yako kutokuwa sawa. Mara nyingi kushindwa kutokana na sababu zilizo nje yako ni asilimia 10 tu, huku 90 zikitokana na wewe kushindwa ndani yako. Na hii ni mbaya zaidi kwani mtu asipojiamini kwamba ni wa thamani na maisha yake ni ya muhimu, atafanya ujinga mwingi kwenye maisha yake na asijue…

Read More Read More

Featured
Hata ujinga unaweza kukufikisha kwenye mafanikio, lakini hauwezi kukufanya udumu katika mafanikio hayo

Hata ujinga unaweza kukufikisha kwenye mafanikio, lakini hauwezi kukufanya udumu katika mafanikio hayo

Rafiki, bila shaka ulishawahi kuona au wewe mwenyewe kushuhudia watu wakitumia njia za mkato kuyatafuta mafanikio. Ukweli ni kuwa, hata njia za mkato zinaweza kukufikisha kwenye mafanikio lakini haziwezi kukufanya udumu kwenye hayo mafanikio. Watu hufikiri kuwa njia za mkato kwenye mafanikio huwa zinafanya kazi, lakini ukweli ni kuwa hazifanyi kazi kabisa. Unaweza ukaona unapiga hatua leo kwa sababu ya njia za mkato yaani ujanja ujanja, uongo, uzushi na ulaghai, lakini jua ya kuwa anguko lako laja. Njia za mkato…

Read More Read More

Featured
Unaweza kuwa unayemtaka, ukiyaendesha maisha yako

Unaweza kuwa unayemtaka, ukiyaendesha maisha yako

Wewe ndiye dereva wa maisha yako. Usipojua unayapeleka wapi maisha yako, hutakuwa na mtu wa kumlaumu. Unatakiwa ushike hatamu ya maisha yako. Hatamu ni zile kamba ambazo anafungwa farasi, zinazotumiwa na mtu anayempanda farasi huyo ili kumuongoza. Hivyo, usiposhika hatamu ya maisha yako, watu wengine watakuongozea maisha yako; na watakuamria hatima ya maisha yako. Watakupangia uvae nini, ule nini na hata uishi wapi. Watakupangia wakupe nini na wakunyime nini. Kwa ufupi, utakuwa ni mtumwa wao. Ili uweze kuyaendesha maisha yako,…

Read More Read More

Featured
Unaweza kuwa unayemtaka, ukiamini

Unaweza kuwa unayemtaka, ukiamini

Kila mtu anakiu na shauku ya kuwa kama yule anayemtaka, inaweza kuwa unataka na kutamani kuwa wewe mwenyewe, uliyekusudiwa kuwa katika maisha. Inaweza kuwa unataka na kutamani kufanya biashara au kazi ya ndoto yako, uliyokusudiwa kuifanya hapa duniani lakini swali ni je, unafahamu ni kwa namna gani unaweza kuwa unayemtaka, unaweza kuwa unachokitaka na kupata chochote unachotaka? Iwe unajua au haujui, ndani ya moyo wako kuna mtu ambaye unataka na kutamani kuwa kama yeye. Ili uweze kufanikiwa na kuwa unayemtaka,…

Read More Read More

Featured
Mambo ya kuzingatia ili upate maendeleo-binafsi

Mambo ya kuzingatia ili upate maendeleo-binafsi

Mpendwa rafiki, Katika makala iliyotangulia, isome hapa. Tuliangalia maana na umuhimu wa maendeleo binafsi kwenye kada yeyote unayofanyia kazi. Leo tunaangalia mambo muhimu ya kuzingatia ili upate maendeleo binafsi, yaani kuendeelea wewe mwenye. Sina maana ya maendeleo ya vitu, bali ni maendeleo yako wewe. Kujiendeleza. Kwani maendeleo ya vitu, huwa yanatanguliwa kwanza na maendeleo yako binafsi, ndiyo yanafuata. Usipoendelea wewe kwanza, hakuna maendeleo ya vitu. Unahitaji kukua kila siku. Fanya mambo haya utaona mafanikio. 1. Amka mapema, kabla ya watu…

Read More Read More

Featured
Kwanini bila maendeleo binafsi hutoboi?

Kwanini bila maendeleo binafsi hutoboi?

Maendeleo binafsi ni kujigundua wewe umebeba nini, na kisha kuendelea kuijifunza kila siku ili kukiendeleza ulichobeba. Ni kuona na kupalilia vipaji vyako, vipawa vyako na ujuzi wako, vig’aae kuliko vya watu wengine sokoni. Ni kujifanyia kazi wewe mwenyewe kwa kujiendeleze kupitia kujisomea vitabu, kufanya tafiti, kuhudhuria makongamano na semina na shughuli zozote zinazokupa changamoto ya kuweza kujigundua wewe mwenyewe umebeba nini. Kila mtu ni lundo la dhahabu chafu, inayohitaji kusafishwa ili ing’aee na iwe na thamani kubwa sokoni. Wewe ni…

Read More Read More

Featured
Ni ujumbe gani unaoupeleka kwenye ulimwengu?

Ni ujumbe gani unaoupeleka kwenye ulimwengu?

Mpendwa rafiki, Kila kitu unachokifanya, jua kuna ujumbe unaoutuma kwa walimwengu. Unaweza ukawa ni Ujumbe hasi au chanya. Je wewe Ujumbe wako ni upi? Hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kufanikiwa bila kuwa na ujumbe, iwe ni kwenye dini, siasa, mziki, biashara n.k. Kuufanyia kazi na kuutawala eneo la ujumbe wako ndiyo kutakuletea heshima na utambulisho wako. Kama wewe ni mwibaji, huwezi ukaiba kila aina ya mziki, lazima ujue na uchague eneo kwenye mziki unalotumia kutoa ujumbe wako. Inaweza kuwa ni…

Read More Read More

Featured
Mambo matano usiyoyajua kuhusu hofu yako

Mambo matano usiyoyajua kuhusu hofu yako

Mpendwa rafiki yangu, Katika mambo ambayo yamepotoshwa sana, hofu ni moja ya mambo hayo. Siyo kupotoshwa tu, bali hata kutafasiriwa vibaya. Ukweli ni kuwa hakuna hata mtu mmoja asiyekuwa na hofu. Si wasanii wakubwa, waimbaji wakubwa, wanariadha, wafanyabiashara, matajiri au hoehae, mlala hai au mlala hoi, wote wana hofu. Lakini pia, tusingekuwa na maisha kama kusingekuwa na hofu. Hakuna kitu unachopaswa kukiogopa na kukihofia bali unapaswa kukielewa. Hivyo kama unataka kuitawala hofu yako, ndiyo kuitawala! kwan hutakiwi kushindana nayo bali…

Read More Read More

Featured
Akili yako inavyofanya kazi ili uwe unachotaka

Akili yako inavyofanya kazi ili uwe unachotaka

Mpendwa Rafiki, Kuna njia mbili zinazoweza kukusaidia kuamini kwako na kupata chochote unachotaka; ambazo ni njia ya kisaikolojia na njia ya kisayansi. Katika njia ya kisayansi, unatakiwa kutumia ubongo wako, ambao ndiyo akili inayofikika yaani conscious mind. Ndiyo ambayo huonekana wakati wa upasuaji wa ubongo. Inahusika na kufikiria kwetu. Lakini pia ndiyo inamawasiliano na milango mitano ya fahamu. Na hii milango ndiyo inaingiliana na mazingira ya nje ya miili yetu. Ubongo wetu huwa unapokea maelfu ya taarifa kwa sekunde, lakini…

Read More Read More

Featured
Kwani unao au kuolewa?

Kwani unao au kuolewa?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo kutafakari kwa nini unaoa au kuolewa?. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa. Siku chache zilizopita nilitembelewa na rafiki yangu kutoka nchini Uswisi. Tulipata wasaa wa kuzungumza na kujadiliana mambo mbalimbali ya utofauti wa kimaisha baina yetu na wao. Moja ya swali ambalo nilimuuliza ni kwa nini watu wengi kwenye nchi yao hawako tayaari kuoa au kuolewa? Na hata kama wakioa au kuolewa…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 7

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 7

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa. Katika hatua ya tano unayoweza kuitumia ili kuweza kumshawishi mwenzi wako kubadilika bila ya wewe kumlazimisha, kumshinikiza na kumshurtisha ni kumsaidia na kumuunga mkono katika kile anachotaka kufanya ili aweze kufanikiwa. Mfano mkeo au mume wako anaweza kuwa anataka kupunguza uzito au unene alionao, hivyo…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa.  Katika hatua ya nne ambayo ni kumsikiliza mwenza wako kwa kujiweka kwenye nafasi, tulijifunza kuwa, mwenzi wako akiwa anaongea, jambo kubwa ambalo wewe unaloweza ukafanya ni kumsikiliza kwa umakini, huku ukijiweka kwenye nafasi yake. Kwa kufany hivyo utaweza kuelewa mawazo yake, hisia zake na hata…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 5

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 5

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa.  Hatua ya tatu ya kuifahamu lugha ya kimapenzi ya mwenzi wako inaweza kutumika kumshawishi mwenzi wako kuweza na akaweza kubadilika. Watu tunaofautiana kwenye lugha ya kimapenzi. Kila mtu anaweza kuwa na lugha yake anayoielewa. Inaweza ikawa anapenda kusifiwa, kupokea zawadi au hata kusaidiwa na kuhudumiwa….

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 4

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 4

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa.  Katika makala iliyopita tuliona hatua ya kwanza ni kutambua, kukiri, kujisamehe na kusamehe makosa, kumbukumbu mbaya, na kuachilia yale yote ambayo yanakufanya ujione umeshindwa. Ni hatua ya kwanza kuelekea kwenye kubadilika au kubadili maneno, mitazamo, tabia, matendo mabaya ili kuiokoa ndoa yako kutoka kwenye kipindi…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 3

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 3

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa.  “Kwa muda mrefu, ndoa yetu imekuwa na migogoro na mafarakano ya kila mara na sijui nianzie wapi  ili kuiokoa ndoa yetu”. Hili ni moja ya swali ambalo unaweza ukawa unajiuliza, kutokana na hali unayopitia kwenye ndoa au mahusiano yako.  Jambo la kwanza na la muhimu unalotakiwa…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 2

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi 2

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tuendelee kutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala juu ya namna ya kufanya ili mwenzi wako aweze kubadilika basi isome hapa.  Hakuna mtu aliyetayari kuona anatawaliwa au kuendeshwa ili kubadili tabia au hulka yake. Kila hatua unayoifanya au kumfanyia mke au mumeo ili aweze kubadilika zitashindwa kwa sababu kubwa moja. Mwenzi wako anauhuru wa kuchagua ajibu nini na kwa namna gani akujibu. Pale tu mwenzi wako…

Read More Read More

Featured
Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi

Kama mwenzi wako hataki kubadilika usimlazimishe, bali fanya hivi

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari kama mwenzi wako hataki kubadirika usimlazimishe, bali fanya hivi. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya uwazi na uaminifu kwenye ndoa isome hapa. Yawezakana ndoa au mahusiano yako yanapita katika hali ngumu ya migogoro mafarakano. Hali hiyo inatishia ustawi wa ndoa au mahusiano yako. Umejaribu kila njia ili kuinusuru ndoa yako hiyo. Umesoma vitabu vinachohusu mahusiano. Umetafuta ushauri ili uweze kumbadili tabia mwenzi wako lakini bado huoni mafanikio yoyote ya yeye kubadilika….

Read More Read More

Featured
Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni ubinafsi kwenye ndoa 2

Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni ubinafsi kwenye ndoa 2

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni kutafuta faida binafsi kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya uwazi na uaminifu kwenye ndoa isome hapa. Watu kwenye ndoa wanakuwa siyo wawazi kwa sababu ya kutafuta faida binafsi. Hali hii hupelekea wanandoa wengi kukosa imani na wa wenza wao pale wanapokuja kugundua ukweli kwamba kuna mahali walidanganywa. Ni muhimu kwa wanandoa kuwa wazi kwa kushirikishana na kuhabarishana mambo mbalimbali yanayowahusu wote au mmoja…

Read More Read More

Featured
Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni ubinafsi kwenye ndoa

Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni ubinafsi kwenye ndoa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako ni kutafuta faida binafsi kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya uwazi na uaminifu kwenye ndoa isome hapa. Moja ya changamoto kubwa kwenye ndoa nyingi ni wanandoa kutokuwa wawaazi kwa wenzi wao. Kutokuwa muwazi ni kudanganya. Hali hii hupelekea migogoro, mafarakano na hata kuachana kabisa pale mwenza anapokuja kugundua ukweli aliokuwa amefichwa. Kutokuwa muwazi kwa mwezi wako ni swala la muda tu, kwani ipo siku…

Read More Read More

Featured
Kwenye ndoa mnakuwa mwili mmoja lakini mko tofauti

Kwenye ndoa mnakuwa mwili mmoja lakini mko tofauti

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari kwenye ndoa mnakuwa mwili mmoja lakini wa tofauti. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Kwa ndoa za kikristo, ni mke na mume huwa mwili mmoja ndivyo mafundisho yana sema. Ni kweli mnakuwa mwili mmoja, lakini ni makosa makubwa sana kusahau kuwa kila mtu hubakia na mwili wake, na kuna utofauti kati yako na mwenzi wako. Kutokufahamu hili ni chanzo cha migogoro na taraka kwenye ndoa nyingi. Watu wanapokokuwa kwenye ndoa wanataka…

Read More Read More

Featured
Kama hauna sifa hii usioe au kuolewa

Kama hauna sifa hii usioe au kuolewa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari kama hauna sifa hii usioe au kuolewa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Kume kuwapo na tafsiri mbalimbali juu ya ndoa, kabla ya watu kuingia kwenye ndoa yenyewe. Wengine hutafsiri kuwa ndoa ni muhimu kiasi kwamba mtu au jamii ikikuona unachelewa kuoa au kuolewa wanaanza kukujadili wakisema utakuwa na matatizo. Hii ni kutokana na ukweli kwamba jamii ina kiwango na kipimo chake ambacho kila mtu hupimwa nacho. Ukionekana unaenda kinyume na…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 8

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 8

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanamume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Leo tunaangalia kanuni moja wapo muhimu sana inayowahusu wanamume. Wanamume kwa asili huwa ni wakali yaani aggressive. Ni wakali kwa sababu moja tu, nayo ni kulinda. Wanamume waliopo kwenye ndoa au wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa wote wanaasili ya kutaka kumlinda ziidi ya maadui au watu wabaya yule wanayehusiana naye. Hali hii…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 7

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 7

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanamume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Leo tuangalie kanuni nyingine ya uaminifu na uwazi. Kama kuna kitu anachokihataji mwanamke kutoka kwa mwanamume au mwenzi wake, basi ni uaminifu na uwazi. Hakuna kitu kinachomfanya mwanamke ampende mume wake kama uaminifu. Unapokuwa mwaminifu na muwazi, mke wako atakuamini na kukupenda zaidi. Mwanamume, kama unasiri yoyote mwambie mkeo, na siyo…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 6

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 6

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Leo tunaangalia kanuni muhimu mbili kwa wanawake. Kanuni ya kwanza; unapaswa kufahamu kuwa mwanamke ni mpokeaji, ni kama udongo au ardhi. Chochote utakachokipanda kwenye udongo, kitaota na kisha kukua na kuzaa matunda. Hivyo ndivyo ilivyo kwa mwanamke. Yeye ni mpokeaji. Chochote utakachompa atakipokea, atakizalisha na mwisho atakupa zaidi ya kile ulichompa. …

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 5

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 5

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Si kweli kwamba mwanamke anapenda kudanganywa, bali hushawishika kwa kusikia na kusikiliza. Kumekuwepo na kauli mbalimbali kutoka kwa wanaume wengi za kwamba mwanawake ukimwaambia ukweli, humpati au hawezi kukubali. Kauli hizi si za kweli, kwani hutolewa na wanaume wasio na uelewa wa kanuni hizi zinazoongoza mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 4

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa 4

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu mwanamume kushawishika na kuathiriwa kwakuona isome hapa. Kama wewe ni mwanamke, umeolewa unatakiwa kuwa makini na kile unachokisikia, watu unaowasikiliza na kuwapa kipaumbele kuliko mume wako. Wanawake wengi wamekuwa wakiingia kwenye changamoto mahusiano yao kwa sababu ya kusikiliza, hasa jinsia tofauti.  Wewe ni mke wa mtu, halafu unapenda kusikiliza na kuambata na…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu mwanamume kushawishika na kuathiriwa kwakuona isome hapa. Mwanaume unaangalia nini kila siku? unapokuwa mtandaoni? mwanamke unasikiliza nini kila siku unapokuwa mtandaoni? Nimekuwa nikiwaambia watu kila siku, kwamba hakuna kipindi kigumu ambacho dunia inapita kama kipindi hiki cha karne ya ishirini na moja kwani, kuwa mwanamke ni changamoto na kuwa mwanamume ni changamoto…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari tuendelee kutafakari hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu mwanamke kushawishika na kuathiriwa kwakusikia isome hapa. Kumekuwa na chagamoto nyingi sana kwenye ndoa za siku hizi, si kwa sababu watu hawakotayari kuingia kwenye ndoa, bali ni kutokana na kwamba hawako tayari kujifunza kanuni muhimu zinazoongoza mahusiano ya ndoa.  Kabla ya kuingia kwenye ndoa, na hata ukiwa umeshaingia kwenye ndoa ni muhimu…

Read More Read More

Featured
Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, hizi ndizo kanuni muhimu za kufahamu kwa mwanamke na mwanaume kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya tafsiri na maana ya upendo kwa mwanamke isome hapa. Moja ya kanuni muhimu sana kwa mwanamke kwenye ndoa ni kushawishika na kuathiriwa kwa kusikia, na mwanamume yeye hushawishika na kuathiriwa kwa kuona. Upo utani kwenye jamii yetu kuwa wanawake wanashawishika na kuathirika zaidi kwa kusikia na kusikiliza, kwa sababu ya Eva au Hawa…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo tafsiri na maana ya upendo kwa mwanamke

Hii ndiyo tafsiri na maana ya upendo kwa mwanamke

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, hii ndiyo tafsiri na maana ya upendo kwa mwanamke. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya tafsiri na maana ya upendo kwa mwanaume isome hapa. Mwanamke upendo kwake unamaanisha huba (affection). Wakati mwanaume anatafsiri upendo kwake kuwa ni heshima, mwanamke kwake ni tofauti kabisa kwani kwake tafsiri ya upendo ni huba. Wanamume wengi hufikiria kuwa baada ya kumaliza kufanya tendo la ndoa, mwanamke anakuwa amelizika siyo siku zote ni hivyo. Wanawake walio…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo tofauti ya tafsiri ya upendo kwa mwanaume na mwanamke

Hii ndiyo tofauti ya tafsiri ya upendo kwa mwanaume na mwanamke

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, hii ndiyo tofauti ya tafsiri ya upendo kwa mwanaume na mwanamke. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya upendo ni maamuzi na chaguo lako kumpenda mke au mume wako isome hapa. Upendo wa kweli ni maamuzi na chaguo ambalo mtu anatakiwa kufanya, kama unampenda mtu kwa sababu ya hisia au unahisi unampenda maana yake, hisia zikibadilika hutampenda tena. Kuna watu wengi kwenye ndoa wanateseka kwa sababu ya kuambiwa kwamba wamebadilika maumbo yao,…

Read More Read More

Featured
Upendo ni maamuzi na chaguo lako kumpenda mke au mume wako

Upendo ni maamuzi na chaguo lako kumpenda mke au mume wako

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, upendo ni maamuzi na chaguo lako kumpenda mke au mume wako. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya hili ndilo hitaji muhimu la mwanaume na mwanamke kwenye ndoa isome hapa. Upendo ni nyanja muhimu sana kwenye mahusiano yoyote yale. Bila kuwa na upendo hakutakuwa na furaha kwenye ndoa au mahusiano hayo. Upendo huwa hauonekani, bali huwa kuna ishara ya upendo tu, ambayo huwa ni furaha, soma hapa kwa maelezo zaidi. Pale ndoa au…

Read More Read More

Featured
Hili ndilo hitaji muhimu la mwanamume na mwanamke kwenye ndoa

Hili ndilo hitaji muhimu la mwanamume na mwanamke kwenye ndoa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, Hili ndilo hitaji muhimu la mwanamume na mwanamke kwenye ndoa. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya ndoa ina hitaji wahusika muwe hivi isome hapa.  Kila mtu anaweza kuwa na mahitaji na matarajio mbalimbali kwenye maisha, kazi na hata kwenye mahusiano ya ndoa kwa ujumla. Chagamoto ni kuwa, hitaji au tarajio lolote lisipotimizwa, liwe ni la kazi, biashara, maisha na hata ndoa husababisha hasira, migogoro, migawanyiko na hata kutalakiana kwa wanandoa. Kwa…

Read More Read More

Featured
Ndoa inahitaji wahusika muwe hivi

Ndoa inahitaji wahusika muwe hivi

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, ndoa ina hitaji wahusika muwe hivi. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya upendo pekee haujengi ndoa iliyo bora, bali maarifa, uelewa na hekima isome hapa.  Ndoa ni kama kuandaa kimanda ya mayai mawili, yaani kukaanga mayai mawili. Ili uwe na kimanda nzuri, lazima mayai yote mawili yawe mazima. Kukiwa na yai moja tu bovu, kimanda hicho hakifai. Ukichanganya yai bovu na zima, yai zima hutalisikia kabisa, harufu mbaya itatawala. Ndoa ni…

Read More Read More

Featured
Upendo pekee, haujengi ndoa iliyo bora bali hiki hapa

Upendo pekee, haujengi ndoa iliyo bora bali hiki hapa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, upendo pekee, haujengi ndoa iliyo bora bali maarifa, uelewa na hekima. Kama ulipitwa na makala iliyotoangulia juu ya ndoa si ndoano kama ukielewa hiki, isome hapa. Kumekuwepo na mafundisho mbalimbali yanayosisitiza kuwa mkiwa na upendo kwenye ndoa yenu, ndoa yenu itakuwa bora sana na pengine hakutakuwa na taraka au kuhitilafiana huko mbele ya safari. Sikatai umhimu wa upendo kwenye ndoa, lakini ndoa hujengwa na kuimarishwa kwa hekima, uelewa na maarifa, na si…

Read More Read More

Featured
Ndoa si ndoano kama ukikielewa hiki

Ndoa si ndoano kama ukikielewa hiki

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, ndoa si ndoano kama ukielewa hiki. Kama uliptwa na makala iliyotoangulia juu ya ndoa si ndoano bali ni mgogano wa historia mbili, isome hapa. Ni wazi kuwa ndoa yeyote ile hupitia katika vipindi tofauti tofauti kwenye maisha ya wanandoa. Pale mnapokuwa wanandoa wapya kila mtu anakuwa na furaha na msisimko wa kuingia kwenye ndoa na kuwa na matazamio mazuri ya baadaye. Kipindi kama hicho kwenye mahusiano kinaweza kudumu kwa miezi, au hata…

Read More Read More

Featured
Ndoa si ndoano bali ni mgongano wa historia mbili

Ndoa si ndoano bali ni mgongano wa historia mbili

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, ndoa si ndoano bali ni mgongano wa historia mbili. Kama uliptwa na makala iliyotoangulia juu ya umuhimu wa uelewa kwenye mahusiano ya ndoa katika maisha yetu, isome hapa. Kuna kauli na maelezo mbalimbali juu ya ndoa kwenye jamii tunayoishi. Ndoa ni ndoano ni moja ya kauli maarufu sana kwenye jamii ya kitanzania, ikimaanisha kuwa pale unapoamua kuingia kwenye ndoa, ni kama kumeza ndoano huwezi kujitoa. Na hata kama ukiweza kujitoa bado kutakuwa na…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa uelewa kwenye mahusiano ya ndoa kwenye maisha yetu

Umuhimu wa uelewa kwenye mahusiano ya ndoa kwenye maisha yetu

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, umuhimu wa uelewa kwenye mahusiano ya ndoa kwenye maisha yetu. Moja ya mahusiano muhimu kabisa kwenye maisha ni mahusiano ya ndoa. Eneo hili la maisha ya mwanadamu ndiyo eneo ambalo huwa halipewi kipaumbele kwenye elimu, tamaduni na hata mipango ya serikali au wadau mbalimbali.  Licha ya kuwa linachukua sehemu kubwa ya nguvu na maisha ya mwanadamu, bado kumekuwepo na mkanganyiko na kauli mbalimbali ambazo huwa zinatia hofu, wasiwasi na kuwafanya watu wengi kuogopa…

Read More Read More

Featured
Kwanini unatakiwa kuepuka kuwa mvivu na mzembe kwenye maisha yako?

Kwanini unatakiwa kuepuka kuwa mvivu na mzembe kwenye maisha yako?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari kwanini unatakiwa kuepuka kuwa mvivu na mzembe kwenye maisha yako? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya uvivu ni mzigo wa mwiba kuubeba hutaweza isome hapa. Hebu fikiria madhara ya uvivu na uzembe kwenye maisha yako? Utakuja kugundua kuwa asilimia kubwa ya changamoto, migogoro na matatizo uliyonayo ni kwa sababu ya uvivu na uzembe wako. Kama unapita kwenye changamoto ya kufukuzwa kazi, kukosa kazi, kwana namna moja ama nyingine uzembe na uvivu…

Read More Read More

Featured
Uvivu ni mzigo wa miiba kuubeba hutaweza

Uvivu ni mzigo wa miiba kuubeba hutaweza

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, uvivu ni mzigo wa miiba kuubeba hutaweza. Moja ya tabia mbaya sana ambayo mtu anaweza kuwa nayo ni uvivu. Uvivu ni tabia ambayo mtu hupenda kukaa bila kazi, au hata akifanya kazi basi haikamilishi na kuifanya kama inavyotakikana licha ya kuwa na nguvu, muda na afya njema.  Uvivu rafiki yake ni kughailisha mambo. Unakufanya uzidi kusogeza mbele kitu ambacho ungekifanya leo na kupata mafanikio unayoyatamani. Siku zote uvivu wako unakutenganisha wewe na…

Read More Read More

Featured
Kama huweza kukitunza, kukidhibiti na kukisimamia ulichonacho, wewe ndiye utatunzwa, utadhibitiwa na kusimamiwa

Kama huweza kukitunza, kukidhibiti na kukisimamia ulichonacho, wewe ndiye utatunzwa, utadhibitiwa na kusimamiwa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari kama huweza kukitunza, kukidhibiti na kukisimamia ulichonacho, wewe ndiye utatunzwa, utadhibitiwa na kusimamiwa. Kwenye kila unacho kifanya katika kazi, biashara, maisha na hata mahusiano yako na wale unaohusiana nao kunahitajika utunzaji,udhibiti na usimamizi. Kama huwezi kutunza, kukidhibiti na kukisimamia hicho kidogo ulichonacho muda si mrefu utakuwa wewe ndiye unatunzwa, kudhibitiwa na hata kusimamiwa. Kama kazi uliyonayo usipoithamini na kuitunza, muda si mrefu wewe ndiye utakuwa unatunzwa na wengine. Kama pesa kidogo uliyonayo…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo wivu unavyokuzuia kumiliki kile unachokipokea

Hivi ndivyo wivu unavyokuzuia kumiliki kile unachokipokea

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari wivu unavyokuzuia kumiliki kile unachokipokea. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya umuhimu wa kumiliki baada ya kupokea isome hapa.  Watu wengi hapa duniani hawamiliki vitu kwa sababu ya wivu alisema Dr. Eli VD Wamainian. Wivu ni hisia muhimu sana kwenye maendeleo ya kila siku ya mwanadamu, lakini ni hisia hii hii ya wivu inageuka kuwa kikwazo kwa watu wengi kufanikiwa kwenye kazi, biashara, maisha na mahusiano kwa ujumla. Ni hisia ya…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kumiliki baadala ya kupokea

Umuhimu wa kumiliki baadala ya kupokea

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari kwa nini ni muhimu kumiliki badala ya kupokea? Kama ulipitwa na makala iliyopita juu ya umuhimu wa kumiliki soma hapa.  Siyo kila mtu anayepokea anaweza kumiliki, kwani kuna tofauti kubwa sana kati ya kumiliki na kupokea. Unachokimiliki ni kile amabacho umekishika baada ya kukipokea na unachokipokea ni kile ambacho hukuwa nacho alisema Dr. Eli VD Waminian Katika kitabu chake cha Maisha ya Miujiza.  Siku zote kupokea ni njia ya kuelekea kwenye kwenye…

Read More Read More

Featured
Je ni kweli kila unapoipata maana ya maisha wanaibadilisha?

Je ni kweli kila unapoipata maana ya maisha wanaibadilisha?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari Je ni kweli kila unapoipata maana ya maisha wanaibadilisha? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya unachokifanya kina maana gani 3 isome hapa. Wakati nikiwa UK, ambapo ni rahisi kuingia mtandaoni, kusoma na kununua vitabu kutoka mitandao kama Amazon na ebay, nilikuwa na utaratibu wa kununua vitabu viwili nakala ngumu na viwili vya nakala tete. Nilikutana na kitabu cha Daniel Klein, chenye jina la  Every time I find the meaning of life…

Read More Read More

Featured
Unachokifanya kina maana gani 3?

Unachokifanya kina maana gani 3?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuendelee kutafakari je unachokifanya kina maana gani 2? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya unachokifanya kina maana gani 2 isome hapa. Umuhimu wa kuwa na maana kwenye kila kazi au kitu unachofanya, haupingiki. Kuwa mtu wa kutafuta maana katika kile unachokifikiria, kukisema na kukifanya. Ukikosa maana ya maisha, unakosa maana ya kuishi. Ukikosa maana ya kazi au kitu unachokifanya, utakosa pia maana ya kukifanya kitu hicho. Maana ya kitu ndiyo huleta umuhimu…

Read More Read More

Featured
Unachokifanya kina maana gani 2?

Unachokifanya kina maana gani 2?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuendelee kutafakari je unachokifanya kina maana gani 2? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya unachokifanya kina maana gani isome hapa. Kuna umuhimu wa kujua kila unachokifanya kina maana gani kwenye maisha yako. Mitazamo yetu inaweza kutufanya tuwe na maana tofauti kwenye kazi moja tunayoifanya.  Kazi moja lakini maana inaweza ikatofautiana kulingana na mtu mwenyewe anayeifanya. Kuna fumbo na hadithi maarufu sana ya mafundi mwashi watatu ambayo imetumika mara nyingi sana katika kuelezea…

Read More Read More

Featured
Unachokifanya kina maana gani?

Unachokifanya kina maana gani?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari je unachokifanya kina maana gani?  Kitu kikubwa maishani ni kufanya kitu chenye maana. Kufanya kitu kisicho na maana ni kupoteza muda na nguvu zako kwa ajili ya vitu vyenye maana. Bila shaka katika historia ya ulimwengu huu, kizazi cha sasa ndicho kizazi kilicho endelea zaidi hapa dunia hii. Lakini cha kushangaza ni kuwa; ndicho kizazi chenye usitaarabu mbaya zaidi kuwahi kutokea duniani, kwani kizazi hiki ndicho kinaongoza kwa kufanya vitu vingi visivyo…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa nguvu ya kujua

Umuhimu wa nguvu ya kujua

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari nguvu ya kujua. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya usichokielewa hutakimiliki, isome hapa. Siku zote kutojua ni adui mkubwa wa maarifa na kizuizi cha ufahamu. Kujua kuna umuhimu sana kwenye maisha na mahusiano yetu. Kujua kunakufanya ufikie maamuzi sahihi, hata kama ni mabaya, magumu au mazuri. Pamoja na kuwa na umuhimu sana, kwenye maisha yetu bado kuna changamoto kubwa kwenye jamii namna wanavyoipokea nguvu ya kujua. Kutokujua kunakufanya uwempumbavu, lakini kujua…

Read More Read More

Featured
Usichokielewa hutakimiliki

Usichokielewa hutakimiliki

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari usichokielewa hutakimiliki. Siku zote kutokuelewa ni adui mkubwa wa maarifa na ni kizuizi cha ufahamu. Kitu chochote unachojifunza au unachokifanya hutaweza kukitawala na kukimiliki mpaka ukijue na kukielewa. Kuelewa ni muhimu sana katika ustawi wa kazi, mahusiano na hata maisha kwa ujumla, kwani ni nguzo na ngao yako katika kila hatua ya maisha yako.  Pale unapoweze kujua na kuelewa kile unachojifunza, au kukifanya ndipo hapo utakopoweza kukimiliki na hata kukitawala. Iwe ni…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho huwezi kukimiliki

Hiki ndicho huwezi kukimiliki

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari hiki ndicho huwezi kukimiliki.  Unaweza kumiliki kila kitu kwenye maisha yako, kama ukiamua na kujiandaa kukimiliki. Kila kitu kinahitaji maandalizi, mafanikio yanahitaji maadalizi, na hata kushindwa pia kuna hitajika maadalizi. Mwanafunzi ambaye hajisomea, maana yake anafanya maandalizi ya kushindwa lakini yule anayejiandaa kwa kujisomea anajiaanda kushinda.  Ndiyo maana ni rahisi watu kuweza kutabiri kuwa mtu fulani atafanikiwa au atashindwa kwani, kushindwa na hata mafanikio huwa yanaongozwa na kanuni ambazo hazibadiliki, hivyo ni…

Read More Read More

Featured
Umekitumiaje ulichonacho kwa sasa 2?

Umekitumiaje ulichonacho kwa sasa 2?

Karibu rafiki kwenye tafakari ya leo, tuendelee na tafakari yetu ya umekitumiaje ulichonacho kwa sasa? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Mahusiano uliyo nayo na wapendwa wako unayachuliaje? unayapa thamani ya kutosha? Kumbuka sisi binadamu kila kitu ambacho tunacho kwa sasa kwenye maisha yetu kitaondoka tu, hivyo ni muhimu sana kukipa thamani na kukutumia vizuri ili hali kingalipo. Kila kitu tulichonacho tumeazimwa tu, muda wowote mwenye nacho anaweza kuja kukichukua tukiwemo sisi wenyewe.  Ukilifahamu hili, utajiandaa vizuri. Utakithamini kile ulichonacho…

Read More Read More

Featured
Umekitumiaje ulichonacho kwa sasa?

Umekitumiaje ulichonacho kwa sasa?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari umekitumiaje ulichonacho kwa sasa? Sisi binadamu ni rahisi kutokukipa thamani kile tulichonacho mkononi, na badala yake tunakipa thamani kitu ambacho hatuna au hatujakipata bado. Unatamani kuwa na nyumba, nzuri je umeifanyia nini nyumba mbaya uliyonayo? unatamani kuwa na kazi nzuri, umeifanyia nini kazi mbaya uliyonayo? unatamani kuwa na maisha mazuri je, umefanya nini juu ya maisha mabaya uliyo nayo? rafiki, maswali ni mengi sana ya kujiuliza. Kitu chochote usijoweza kukidhibiti na kukisimamia,…

Read More Read More

Featured
Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako 3?

Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako 3?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, tunaendelea kuangalia kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu uoga wako ndiyo umasikini wako isome hapa. Mara ngapi umeogopa kuwafuata wateja watalajiwa ili uwaelezee kuhusu bidhaa unayo kwa sababu ya hofu, uoga na wasiwasi? Je, ni mara ngapi ni mara ngapi umeogopa kwenda kuongea na mtu ambaye atakupa fursa au kukupa mkopo ambao utakusaidia kwenye kazi zako? Hakika hofu, uoga na wasiwasi ndiyo uoga wako. Pale unapoogopa…

Read More Read More

Featured
Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako 2?

Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako 2?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, tunaendelea kuangalia kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu uoga wako ndiyo umasikini wako isome hapa. Kama unavyoifahamu kauli hii ya maarufu ya woga wako ndiyo umasikini wako. Ukikaa chini na kutathimini ni fursa ngapi zimekupita kwa sababu ya uoga, hofu na wasiwasi utagundua kuwa ni fursa nyingi sana zimekupita. Vivyo hivyo ukikaa chini na kutafakari ni mambo mangapi mazuri maishani mwako yamekupita kutokana na hofu utagundua…

Read More Read More

Featured
Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako?

Kwanini uoga wako ndiyo umasikini wako?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, kwa nini uoga wako ndiyo umasikini wako? Kama ulipitwa na makala zilizotangulia juu ya hofu na uoga zizome hapa.  Uoga wako ndiyo umasikini wako ni kauli maarufu ya Kiswahili, ikiweka msistizo kwamba hapo ulipo wewe kwa sasa kiuchumi, kiafya na kijamii. Uoga wako umekufanya uogopo kufanya biashara ukihofia watu watakuchuliaje, au kuhofia ukishindwa biashara hiyo na ikafa watu watakuchuliaje? Niliona taarifa ya mfanya biashara asiyeona kutoka Mbeya ambaye yeye anauza vocha kwa…

Read More Read More

Featured
Watu wana kutambua kwa sifa gani?

Watu wana kutambua kwa sifa gani?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo tutafakari, je watu wanakutambua kwa sifa gani?  Siku zote sifa yako ni muhimu sana kama ilivyo maisha yako. Ni vigumu kukutenganisha wewe na sifa zako. Unafahamu watu wanakutambua kwa sifa gani? Ukifikiri kwa umakini na kufanya uchambuzi wa kina juu ya sifa yako unayotambuliwa nayo utahitimisha kwamba, sifa mbaya unayotambuliwa nayo inatokana na wewe kuwa na tabia mbaya ambayo ni matokeo ya kutokujali misingi na kanuni muhimu za maisha, na siyo tukio la…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 7

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 7

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tunaendelea kuangalia jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Tumekuwa na mfululizo wa makala zinazo angazia namna ambavyo watu na makampuni mbalimbali wanavyoweza kutumia hofu yako na kukufanya kuwa mtumwa. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia zizome hapa. Watu wa dini na viongozi wa dini wanaweza kutumia hofu yako, usipokuwa makini kwa wewe kujifunza na kuhakikisha kuwa unaelewa kanuni na misingi ya dini…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 6

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 6

Nakukaribisha rafiki, kwenye tafakari yetu ya leo, tunaendelea kuangalia jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Tumekuwa na mfululizo wa makala zinazo angazia namna ambavyo watu na makampuni mbalimbali wanavyoweza kutumia hofu yako na kukufanya kuwa mtumwa. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia zizome hapa. Watu pamoja na makampuni mbalimbali wanatumia hofu yako kwa mtindo wa kipekee sana; wanachochea na kukuongezea hofu, au kuikuza hofu uliyonayo, na kisha wanakuja na…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 5

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 5

Nakukaribisha rafiki, kwenye tafakari yetu ya leo, tunaendelea kuangalia jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Tumekuwa na mfululizo wa makala zinazo angazia namna ambavyo watu na makampuni mbalimbali wanavyoweza kutumia hofu yako na kukufanya kuwa mtumwa. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia zizome hapa. Vyombo vya habari ndiyo wakala mtiifu wa kusambaza na kuchochea hofu zaidi kwenye jamii. Vimekuwa vikijikita zaidi kwenye kutangaza habari mbaya za uharifu, ubakaji, na…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 4

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 4

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tunaendelea kuangalia jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Tumekuwa na mfululizo wa makala zinazo angazia namna ambavyo watu na makampuni mbalimbali wanavyoweza kutumia hofu yako na kukufanya kuwa mtumwa. Kama ulipitwa na makala zilizotangulia zizome hapa Kama ilivyo kwa mitandao ya kijamii, vyombo ya habari pia ni moja wapo wa mawakala wakubwa wa kuchochea hofu. Yaani kutangaza habari ambazo ni za…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 3

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa 3

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Tumekuwa na mfululizo wa makala zinazo angazia namna ambavyo watu na makampuni mbalimbali wanavyoweza kutumia hofu yako na kukufanya kuwa mtumwa. Tuliona kwamba, kwenye afya yako, unatakiwa kuacha kuhofia afya yako. Kitu kisicho na afya kabisa ni kuhofia afya yako. Acha kuwa mgonjwa, badala yake kuwa mzima. Tegemea kuwa mzima. Mtu mmoja aliwa kusema…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa-2

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa-2

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuendelee kuangalia ni jinsi gani hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Kama ulipitwa na makala juu ya makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa soma hapa. Makampuni makubwa ya madawa yanayotumia hofu yako juu ya kifo na maumivu ili kuendelea kuuzia madawa yao. Lakini pia wanatumia shauku yako ya wewe kuwa na furaha na kukubalika kwenye jamii, matokeo yake ni kwamba…

Read More Read More

Featured
Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa

Hivi ndiyo watu na makampuni yanavyoweza kutumia hofu yako ili kukufanya mtumwa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie jinsi hofu yako inavyotumiwa na watu pamoja na makampuni mbalimbali kwa faida zao kwenye maisha na mahusiano yako. Kama ulipitwa na makala juu ya hofu yako inavyotumika ziidi yako soma hapa. Hofu yako ni dili kubwa kwa baadhi ya watu na makampuni makubwa ambayo huwa wanaitumia kukuuzia chochote wanachota ili wapate faida au kile walichokusudia. Ni vigumu sana siku kupita hujakutana na ujumbe wa mawakala wa hofu yaani makampuni na watu wanaotumia…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo hofu yako inavyotumika dhidi yako

Hivi ndivyo hofu yako inavyotumika dhidi yako

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie hofu jinsi hisia yako inavyoweza kutmika ziiadi yako na watu wengine kwenye maisha na mahusiano yako. Kama ulipitwa na makala juu ya kuishinda hofu ya kifo soma hapa. Katika hisia zote, hisia ya hofu ndiyo hisia inayongoza kuwatumikisha watu. Watu wengi wanajikuta katika utumwa mkubwa kwa sababu ya hofu. Hofu yako imekuwa ikitumiwa ili kukunasa uweze kununua au kufanya vitu hata kama siyo vya muhimu kwako bali ni kwa sababu watu na…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo hofu yako kuu na namna ya kuishinda

Hii ndiyo hofu yako kuu na namna ya kuishinda

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie hofu kuu ya mwanadamu na kujifunza namna bora ya kuishinda na kuitawala hofu hii kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala juu ya kuishinda hofu yako soma hapa. Moja ya hofu kubwa kuliko zote kwenye maisha na mahusiano ya mwanadamu ni hofu juu ya kifo. Kifo ndiyo mwamuzi mwenye usawa hapa duniani. Uwe tajiri au masikini, mweupe au mweusi, mrefu kwa mfupi mwisho unaotuunganisha ni kifo. Wanasiasa huwa wanakufa, marais…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda na kuitawala hofu yako 3

Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda na kuitawala hofu yako 3

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, tunaendelea kujifunza namna bora ya kuishinda na kuitawala hofu kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala juu ya kuishinda hofu yako soma hapa na hapa. Hofu ni siku zote ni bosi katili sana usipomshinda na kumtawala. Anaweza akakufanya ukose unachostahili, na kupata usichositahili kama hutaweza kumdhibiti kwani hujenga tabia ya uoga na wasiwasi. Uoga ukisha kuwa tabia yako, inakuwa ni kazi kweli kuuacha na unahitaji kufanya juhudi kubwa ili kujinasua kutoka…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda hofu yako 2

Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda hofu yako 2

Karibu rafiki tuendelee na tafakuri yetu juu ya namna ya kuishinda na kuitawala hofu kwenye maisha yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya kuishinda hofu soma hapa.  Kama huwezi kuitawala hisia hii ya hofu kwenye maisha yako, hata kama ungekuwa na elimu kubwa kiasi gani bado itakusumbua. Itakusumbua kwa sababu hofu ni kitu kizuri kama ukiweza kuijua na kuitawala, lakini ni mbaya pale inapokuzuia hata kufanya vitu vilivyo vya muhimu kwako, vitu unavyohitaji au kuhitajika kuvifanya. Hivyo njia nzuri…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda hofu yako

Hivi ndivyo unavyoweza kuishinda hofu yako

Karibu kwenye tafakari yetu ya leo rafiki, tuangalie ni kwanmna gani tunavyoweza kuishinda hofu kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya madhara ya hofu, isome hapa. Hofu yako ni ipi? unaogopa kushindwa? unaogopa kukataliwa? unaogopa kupoteza? Chochote unachokihofia na kukiogopa, hakipo na wala hakijatokea. Chochote unachokiogopa kitakutawala hata kama hakipo, wala hakitatokea bado utaendelea kuishi nacho. Unaweza kuitawala hofu, na kuishi maisha unayoyatamani.  Ni kawaida kupatwa na hofu au wasiwasi pale unapofanya kitu au jambo…

Read More Read More

Featured
Hapo ulipo ni kwa sababu ya hofu yako

Hapo ulipo ni kwa sababu ya hofu yako

Habari rafiki karibu kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie madhara ya hofu kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya madhara ya hofu, isome hapa. Kama kuna jambo la muhimu sana kwenye maisha yetu sisi binadamu, basi ni kuishinda na kuitawala hofu. Kwani hofu inamadhara makubwa kwenye mustakabaliwa wa mahusiano yetu, mafanikio yetu au hata maisha yetu kwa ujumla. Mtu mwenyehofu ni mbinafsi, mchoyo na huwa anatanguliza kumbukumbu mbaya katika kile anachokihofia na kukiogopa. Hivyo hofu, huzuia…

Read More Read More

Featured
Haya ndiyo madhara ya hofu kwenye mahusiano yako

Haya ndiyo madhara ya hofu kwenye mahusiano yako

Habari rafiki karibu kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie madhara ya hofu kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya madhara ya hofu, isome hapa. Pili, madhara ya kijamii yatokanayo na hofu. Hofu inamadhara makubwa sana kwenye maisha ya mtu, hasa kwenye eneo la kijamii la mtu. Kwa sababu asili ya mwanadamu ni kiumbe mwenye kuhusiana kijamii, hofu huwa inamfanya mtu asijiamini, asijipende na asione thamani yake. Hali hii inamfanya asikubalike kijamii. Pamoja na kwamba madhara…

Read More Read More

Featured
Haya ndiyo madhara ya hofu kwenye mahusiano yako

Haya ndiyo madhara ya hofu kwenye mahusiano yako

Habari rafiki karibu kwenye tafakari yetu ya leo, tuangalie madhara ya hofu kwenye maisha na mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya chanzo cha hofu, isome hapa. Hisia ya hofu, chanzo chake kikuu ni ubinafsi au uchoyo. Pale unapokuwa ogopa kutoa au kuonesha kwa wengine kitu au vitu ulivyonavyo, pale unapohitaji au kuhitajika kufanya hivyo kwa sababu ya hofu, maana yake unaubinafsi. Hisia hii ya hofu inanguvu sana kiasi kwamba inapoozesha na kuzuia hisia zingine za kawaida kwenye…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo cha hofu yako

Hiki ndicho chanzo cha hofu yako

Moja ya hisia muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu, ni hofu. Hisia hii ya hofu, pamoja na hisia ya hasira ndiyo hisia za msingi na za awali kabisa za mwanadamu. Hisia hizi zilikuwa ni msaada sana kwa maisha ya mwanadamu kwenye kumsaidia kupambana na hatari kwenye zama za kale. Kwa mfano, hisia ya hasira ilikuwa ikimsaidia mwanadamu kupambana ili aweze kupata na kutimiza mahitaji yake ya msingi kama kupata chakula na kuzaliana. Lakini pia hasira ilimusaidia sana mtu wa kale…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo hasira yako inamaanisha na namna nzuri ya kuitumia

Hivi ndivyo hasira yako inamaanisha na namna nzuri ya kuitumia

Kama tulivyoona kwenye makala iliyotangulia, kama hujaisoma isome hapa. Hasira chanzo chake ni hitajia au matarajio ambayo yanakuwa hayajatimizwa. Kama mtu atakutukana na wewe ukakasirika, maana yake ni kuwa tusi siyo chanzo cha wewe kukasirika bali ni kichocheo tu cha hasira zako. Lakini chanzo cha hasira zako itakuwa ni hitaji la kutaka uheshimiwe au kutambuliwa vizuri ndiyo limekufanya ukasirike. Katika kila kiini cha hasira, kuna hitaji au matarajio au matamaniao ambayo hayajatimizwa. Hivyo hasira inaweza kuwa kitu cha thamani sana kwetu ikitumika kama…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo cha hasira yako

Hiki ndicho chanzo cha hasira yako

Je umekuwa ukisumbuliwa na hasira? na hata hujui hasira yako ina sababishwa na nini? na hata hujui utaimaliza vipi hasira yako? umekuwa ukijilaumu au kuwalaumu watu wengine kuwa ndiyo chanzo cha hasira yako?  Nataka nikuambie kuwa, huwa hatukasirishwi na kitu ambacho watu wanatuambia au kutufanyia bali hicho huwa ni kichocheo tu cha hasira zetu. Kuna kila haja ya kuweza kutofautisha kati ya chanzo cha hasira zetu na kichocheo cha hasira zetu. Watu wengi wenye hasira huwa wanachanganya na kufikiri kuwa…

Read More Read More

Featured
Hili ndilo swali unalopaswa kuuliza juu ya upendo kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu

Hili ndilo swali unalopaswa kuuliza juu ya upendo kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo juu ya upendo, kama ulipitwa na makala iliyo tangulia juu ya upendo, basi isome hapa.   Palipo na upendo pana furaha. Na furaha ndiyo ishara pekee inayoaashiria uwepo wa upendo. Kama kuna amri inayozidi amri zote basi ni upendo. Hebu fikiria kama watu wote duniani tungekuwa tunaupendo, magereza yasingekuwepo, kwani kusinge kuwa na wezi, wabakaji, wazinzi, waongo na hata wauaji. Dunia ingekuwa sehemu nzuri ya kuishi kwa amani.    Siku moja, Yesu aliulizwa swali na…

Read More Read More

Featured
Upendo hauonekani, bali hii ndiyo ishara yake tu

Upendo hauonekani, bali hii ndiyo ishara yake tu

Hisia ya upendo ni hisia moja wapo muhimu sana kwenye maisha yetu. Upendo huwa hauonekani kwa macho, lakini huonekana kupitia hisia ya furaha. Upendo ninaoongelea hapa ni upendo wa aina tatu, upendo wa kimungu, upendo kati yako na wewe, na upendo kati yako wewe na watu wengine unaohusiana nao, iwe ni familia, kwenye kazi au urafiki.  Upendo ni kama mafuta kwenye kwenye mahusiano yetu, yawe ni mahusiano kati yetu na Mungu, kati yetu na sisi au kati yetu na watu…

Read More Read More

Featured
Unawezaje kuwa kuwa mmnyenyekevu?

Unawezaje kuwa kuwa mmnyenyekevu?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Kama ulipitwa na makala ya jana juu ya nguvu ya unyenyekevu.  Leo tuanaendelea na mtafakari juu ya unyenyekevu. Maada hii ilitokana na mwandishi wa makala hii kuulizwa swali na rafiki yake, juu watanzania wengi pale wanapopewa fursa ya kujitambulisha au kuwatambulisha wengine, sifa inayotangulia kuliko sifa zingine zote ni unyenyekevu. Hali hii imewafanya watanzania kuonekana wanyonge, au wa hali ya chini pale wanapokutana na watu wa mataifa mengine. Rafiki, unachotakiwa kuelewa ni kuwa…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo nguvu ya unyenyekevu

Hii ndiyo nguvu ya unyenyekevu

Kwanini unyenyekevu unakuwa ni kama siraha kwa watanzania wengi? Ni swali nililoulizwa na rafiki yangu mmoja, ambaye alikuwa akitaka kujua ni kwa nini watanzania wengi huwa wanatumia unyenyekevu kama ndiyo sifa ya kwanza wanapoulizwa, wajitambulishe au wamtambulishe mtu wanayemfahamu. Aliendelea kudai kuwa, hali hii ya kila mtanzania kutaka kuonekana au kujiambatanisha unyenyekevu, inawasababisha watanzania wengi waonekane ni wanyonge sana mbele ya mataifa mengine. Na pia inawafanya waonekane ni kama hawajui vitu au hawana uhakika na vitu wanavyovifanya au kuvijua.  Ili…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuwasoma watu unaohusiana nao

Hivi ndivyo unavyoweza kuwasoma watu unaohusiana nao

Hebu fikiria unajisikia furaha kwa sasa, halfu rafiki yako akaja kukuuliza kwa nini unaonekana huna furaha; kwani tatizo ni nini? Katika jambo hili, rafiki yako atakuwa na mtazamo usio sahihi juu ya hisia zako. Ni kweli anaweza akawa anahisi kwamba huna furaha, lakini kama wewe unafuraha, basi atakuwa amekosea. Hapa atakuwa ameshindwa kusoma hisia zako, kwa kuangalia ishara za uso wako.  Uwezo wa kusoma ishara za uso na sura mbalimbali za watu, na kuweza kutambua hisia zinazooneshwa kwenye uso huo…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kutambua hisia zako kwa usahihi na kuzionesha kwa usahihi kwenye mahusianao yako

Umuhimu wa kutambua hisia zako kwa usahihi na kuzionesha kwa usahihi kwenye mahusianao yako

Ni muhimu sana kutambua na kufahamu hisia zetu na za wale tunaohusiana nao kwa usahihi, kwani huwa zimebeba ujumbe na taarifa muhimu kutuhusu sisi na mazingira yetu.  Katika maisha yetu sisi binadamu, ni lazima kuna watu tunahusiana nao, iwe tunajua au hatujui. Hivyo ni muhimu sana kufahamu hisia zetu kwa usahihi na za wale tunao husiana nao, ili tuweze kuwasiliana na kuwasilisha ujumbe tuliokukusudia kihisia. Siyo tu ujumbe wa mafanikio na furaha, lakini pia ujumbe muhimu kwaajili ya sisi kujiokoa…

Read More Read More

Featured
Hatua nne za kupitia ili kuzitawala hisia zako kwenye mahusiano

Hatua nne za kupitia ili kuzitawala hisia zako kwenye mahusiano

Ili uweze kuzitawala hisia zako na hisia za wale unaohusiana nao, lazima hatua hizi nne uzifahamu. Ufahamu wa hatua hizi utakusaidia kuboresha maisha na mahusiano yako, iwe ni kazini, kwenye familia au hata kwenye mahusiano ya kimapenzi.  Hatua ya kwanza, lazima ujue kuwa soma watu.Tambua hisia zako na za wale wanao kuzunguka au kuhusiana nao, kwani hisia ni twakimu zilizojaa ujumbe na taarifa mbalimbali zinazotokea kwenye mazingira yetu ya ndani, ya kijamii na hata mazingira yanayotuzunguka. Tuanatakiwa tuzitambue hisia za…

Read More Read More

Featured
Kwanini tunatakiwa kuwajibika kutokana hisia zetu kwenye mahusiano yetu?

Kwanini tunatakiwa kuwajibika kutokana hisia zetu kwenye mahusiano yetu?

Hisia zetu zina umuhimu sana kwenye maisha yetu. Kila hali unayoipitia kwenye maisha yako, hisia zako zimehusika. Uwe unajua au hujui. Mtu kukutukana tusi huwa haliwi tusi mpaka wewe utakavyolipokea. Mtu akikudharau wewe haiwi dharau mpaka utakapojidharau wewe, na kisha kuchochea hisia. Vile wewe utakavyolichukulia jambo, ndivyo hisia zitaanzia hapo kufanya kazi. Watu huwa hawafadhaishwi na vitu, bali na maoni wanayochukua wenyewe alisema Epectitus, akiweka msisitizo kwenye jambo hili. Hisia zetu siku zote tunatakiwa tuzidhibiti na kuzitawala, na tunatakiwa kuwajibika pale…

Read More Read More

Featured
Kwa nini ni muhimu kudhibiti hisia hii ili usitapeliwa?

Kwa nini ni muhimu kudhibiti hisia hii ili usitapeliwa?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia soma hapa.  Sifa moja wapo ya watu wenye haiba ya Sangwini ni kuongozwa na hisia badala ya kuongozwa na hisia pamoja na mantiki. Hivyo wanakuwa ni wepesi wa kumwamini mtu kwa haraka zaidi, kuliko haiba nyingine. Hisia ya shauku kwao ni kubwa sana, na inakuwa haina kiasi, hivyo hugeuka kuwa tamaa. Kitu ambacho huwa kinawafanya waendelee kuwa shauku ya kufanya na kukumbatia kila fursa mpya inayokuja kwao. Shauku…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo nguvu ya shauku

Hii ndiyo nguvu ya shauku

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia soma hapa.  Shauku ndiyo hisia inayozichochea hisia zingine ziweze kufanya kazi kwenye maisha yetu. Shauku ni kama kiu inayokuongoza uchukue hatua, iwe ni hatua hasi au chanya.  Ili uchukue hatua chanya, iruhusu hisia yako ya shauku ifuatiwe na hisia ya furaha. Kwani, shauku ni kichocheo tu, lakini furaha ndiyo inazitwala hisia zote iwe ni hisia chanya au hasi, furaha huzitawala zote.  Kadri shauku yako juu ya jambo fulani inavyokuwa…

Read More Read More

Featured
Kwanini kuhisi ni kuishi na kuishi ni kuhisi 2?

Kwanini kuhisi ni kuishi na kuishi ni kuhisi 2?

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, kwanini kuhisi ni kuishi na kuishi ni kuhisi? kama kama ulipitwa na makala iliyopita soma hapa.  Katika hisia zote, furaha ndiyo hisia mtawala. Hisia hii ya furaha, inaweza kutumika kuzitawala hisia zingine zote. Ukiweza kuitumia hisia hii ya furaha, utaweza kuzithibiti na kuzitawala hisia zako. Ukiwa unatawaliwa na furaha, hata hasira zako zitakuwa ni chanya. Ukiwa unatawaliwana na furaha, hata huzuni, uoga na chuki zako zitakuwa chanya badala ya kuwa hasi. Rafiki, furaha ni hali…

Read More Read More

Featured
Kwanini kuhisi ni kuishi na kuishi ni kuhisi?

Kwanini kuhisi ni kuishi na kuishi ni kuhisi?

Maisha ni hisia, na hisia ni maisha. Bila kuhisi hakuna maisha, ni kauli kutoka kwa Dr. VD waminian, ikiweka mkazo zaidi kwenye umuhimu wa hisia kwenye maisha yetu. Hisia huwa zinaathiri mawasiliano yetu kwenye mahusiano, matokeo yake tunajikuta kwenye migogoro ya kimahusiano, na kwa kuwa maisha ni mahusiano basi tunakuwa na changmoto kwenye maisha yetu. Watu wengi wamekosa hisia au mihemuko kwenye mahusiano yao ndiyo maana maisha hayana radha kwao. Kuna hisia saba ambazo ni muhimu sana kuzifahamu na kuzijua…

Read More Read More

Featured
Kwanini hutakiwi kuficha hisia zako kwenye mahusiano?

Kwanini hutakiwi kuficha hisia zako kwenye mahusiano?

Ni utamdauni uliozoeleka kwenye nchi nyingi, viongozi na mameneja mbalimbali kuficha baadhi ya taarifa kwa watu wao wanaowaongoza, au huwa wanajaribu kuficha vile wanvyojisikia ili kujilinda wao na kuwalinda wengine. Huwa tunasema kila kitu kiko sawa, lakini kiukweli hakiko sawa. Tunadai hatuogopi, kumbe ndio waoga wa kwanza. Mtoto wangu wa kike wa miaka minne, huwa ananifurahisha sana, mara nyingi huwa anakuja ananiambia; “Baba mimi simuogopi Goliati”. Ili hali ukimwangalia unaona kabisa anaogopa. Na ukitaka ujue kwamba anaogopa basi muwekee filamu…

Read More Read More

Featured
Kwanini hisia huwa zinafanana? na umuhimu wake kwenye mahusiano yetu

Kwanini hisia huwa zinafanana? na umuhimu wake kwenye mahusiano yetu

Siku zote uwezo wa kujua na kuzitawala hisia zetu na za wale tunaohusiana nao, unawezekana kwa sababu hisia zina kanuni zinazofanana. Japo tofauti zinaweza kuwepo kutokana na tabia za tamaduni za jamii moja na nyingine kutofautiana. Miiko na maadili huwa yanatofautiana sana baina ya nchi na nchi, lakini pia hata ndani ya nchi baina ya mikoa au kanda mbalimbali. Suala la hisia ni suala mtambuka, kwani licha ya kuwa tamaduni zinaweza kuwa tofauti, hisia bado zinaweza kufanana baina ya tamaduni…

Read More Read More

Featured
Kwanini ni muhimu maamuzi kujumuisha hisia ili yawe na ufanisi?

Kwanini ni muhimu maamuzi kujumuisha hisia ili yawe na ufanisi?

Hisia zetu zinamadhara kwetu na kwa wale tunaohusiana nao, iwe tunataka au hatutaki. Hakuna maamuzi ambayo yanaweza kufanyika bila kuhusisha hisia iwe unajua ama haujui. Lakini pia fikra za kimantiki, haziwezi kutokea bila ya kuwepo na hisia. Ni vizuri kukumbuka kuwa hisia, zinatufanya sisi binadamu kuwa kweli binadamu, hivyo hisia zinatakiwa kuzikaribisha, kuzikubali, kuzielewa na kuzitumia vizuri.  Wanasaikolojia wengi amabao wamekuwa wakifanya tafiti mbalimbali kwa miaka mingi juu ya mwingiliano uliopo kati ya hisia na fikra, wamegundua kuwa hisia huwa…

Read More Read More

Featured
Tunaweza kudharau hisia, lakini haiwezekani

Tunaweza kudharau hisia, lakini haiwezekani

Karibu rafiki tuendelee na tafakari yetu juu ya hisia zetu, zinavyoweza kuathiri mawasiliano na hatimaye mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia juu ya kanuni ya kwanza isome hapa. Ili kuwa na uwezo wa kuzijua na kuzitawala hisia zako na wale unaohusiana nao ni muhimu kufahamu kanuni hizi muhimu kuhusu hisia. leo tunaendelea na kanuni ya pili isemayo; Tunaweza kujaribu kutokuzipa nafasi hisia, lakini haiwezekani. Watu wengi huwa wanajaribu kuficha hisia zao, kitendo ambacho huwa baadaye kinaleta madhara kwenye maisha au mahusiano…

Read More Read More

Featured
Hiki ndicho chanzo cha huzuni, na namna ya kuiepuka

Hiki ndicho chanzo cha huzuni, na namna ya kuiepuka

Huzuni ni hali ya kimuhemuko inayoambatana na maumivu ya kupoteza kitu au kuondokewa na mtu unayehusiana naye kwa ukaribu na unayempenda. Na mara nyingi hisia hii inatokana na kupoteza kitu au mtu kusiko weza kurudishwa kama hapo awali, yaani upotevu huo hauwezi kurejelewa au kukirejesha kitu kilichopotea.  Upotevu huo unaweza kutokea katika maeneo mengi ya maisha yetu, kama vile kwenye mahusiano, mfano kuondokewa na mpendwa wetu leo, John Pombe Magufuli, aliyekuwa rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano….

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kuelewa kanuni hizi za hisia kwenye mahusiano yetu

Umuhimu wa kuelewa kanuni hizi za hisia kwenye mahusiano yetu

Kama tulivyo ona kwenye makala iliyopita, hisia zimekuwepo tangu enzi na enzi katika maisha ya mwanadamu, ili zimuwezeshe kukabiliana na hatari katika mazingira yake. Lengo kuu la hisia lilikuwa ni kumwezesha kuishi katika mazingira hatarishi yaliyokuwa yakimzunguka. Pamoja na kwamba dunia kwa sasa imepiga hatua kubwa sana kwenye sayansi na tekinolojia, lakini bado hisia zinahitajika, kwani licha ya maisha kuwa mazuri, lakini bado ya utata mwingi na ni magumu pia. Hivyo bado mwanadamu, anahitaji kuongozwa na hisia pamoja na mantiki….

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kuelewa kanuni hizi za hisia kwenye mahusiano yetu

Umuhimu wa kuelewa kanuni hizi za hisia kwenye mahusiano yetu

Karibu rafiki tuendelee na tafakari yetu juu ya hisia zetu, zinavyoweza kuathiri mawasiliano na hatimaye mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Ili kuwa na uwezo wa kuzijua na kuzitawala hisia zako na wale unaohusiana nao ni muhimu kufahamu kanuni hizi muhimu kuhusu hisia. Uwezo wa kuzifahamu na kuzitawala hisia zako na za wale unaohusiana nao huitwa uwezo wa akili kihisia au emotional intelligence.  Hisia ni taarifa Tunaweza kujaribu kutokuzipa nafasi hisia, lakini haiwezekani Tunaweza kujaribu kuzificha hisia, lakini hatuko vizuri sana…

Read More Read More

Featured
Hivyi ndivyo hisia zinavyoathiri mawasiliano yetu na wale tunaohusiana nao 2

Hivyi ndivyo hisia zinavyoathiri mawasiliano yetu na wale tunaohusiana nao 2

Karibu rafiki tuendelee na tafakari yetu juu ya hisia zetu, zinavyoweza kuathiri mawasiliano na hatimaye mahusiano yetu. Kama ulipitwa na makala iliyotangulia isome hapa. Siku zote hisia zinamchango mkubawa sana kwenye mahusiano yetu, yawe ni ya kikazi, kirafiki au hata kwenye mahusiano ya ndoa. Hisia huwa zinaweza kufanya mahusiano yetu kuvunjika pale tunapozitumia vibaya au kuimarika pale tunapotumia vizuri hisia hizi. Ni muhimu sana kuweza kujua namna ya kuzitumia ili kuweza kuboresha mahusiano yetu.  Hisia zetu zina mchango chanya au…

Read More Read More

Featured
Hivyi ndivyo hisia zinavyoathiri mawasiliano yetu na wale tunaohusiana nao

Hivyi ndivyo hisia zinavyoathiri mawasiliano yetu na wale tunaohusiana nao

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Tunajifunza jinsi hisia zetu zinavyoweza kuathiri mawasiliano yetu, na hatimaye mahusiano yetu.  Hisia zetu zinamchango mkubwa sana kwenye kuimarisha mawasiliano yetu na mahusiano yetu na wale tunaohusiana nao.  Rafiki, ilituweze kuendana na somo hili, ni muhimu kukumbuka yafuatayo. Binadamu anaundwa na sehemu kuu tatu. 1. Mwili ambao unaongozwa na milango mitano ya fahamu, yaani ngozi, masikio, pua, macho na ulimi. 2.Nafsi amabayo inaongozwa na sehemu tatu, utashi, hisia na akili. 3. Roho ambayo…

Read More Read More

Featured
Epuka kutumia vibaya makundi ya haiba za watu kwenye mahusiano yako

Epuka kutumia vibaya makundi ya haiba za watu kwenye mahusiano yako

Kama ilivyo kwa kitu chochote kizuri, makundi haya ya haiba yanaweza yakatumika vibaya. Mtu ambaye anamchanganyiko wa makundi mawili ya haiba kwa usawa, mfano 50% ni Sangwini na 50% ni Melankoli au hata ana mchangayiko wa haiba tatu zinazo karibiana. Kwa sababu ya kuto kufiti vizuri na hakuna kudili linanomtambulisha zaidi,  mtu huyu anaweza akatumia vibaya makundi haya kitabia. Lakini pia makuzi, malezi na mapito ya maisha ya mtu yanaweza kuchangia kwenye kuadhiri au kuliondoa kundi moja la haiba ya mtu…

Read More Read More

Featured
Namana bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye mahusiano yako 4

Namana bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye mahusiano yako 4

Karibu rafiki, tuendelee kujifunza matumizi mazuri na faida za kujua makundi ya kitabia au haiba za watu. Tumesha angalia matumizi manne ya makundi ya haiba za watu pale unapozifahamu. Soma hapa na hapa kama hujapitia bado. Leo tunaendelea na matumizi megine. Kutumia makundi ya kitabia kutatua migogoro ya kihaiba. Mara nyingi migogoro mingi tunayokutana nayo au kuiona inatokana utofauiti wetu kwenye makundi ya kitabia au haiba. Mfano, Melankoli yeye ni bwana mkamilifu, mwenye mpangilio na uhakika. Hivyo kulingana tabia zake hizi,…

Read More Read More

Featured
Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako 3

Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako 3

Karibu rafiki, tuendelee kujifunza matumizi mazuri na faida za kujua makundi ya kitabia au haiba za watu. Tumesha angalia matumizi manne ya makundi ya haiba za watu pale unapozifahamu. Soma hapa kama hujapitia bado. Leo tunaendelea na matumizi megine. Kutumia makundi ya kitabia kuwatawala na kuwaongoza watu vizuri. Siku zote, utawala mzuri huwa unahusisha kuchangua, kufundisha, kuhamasisha na kuwaongoza watu katika kutimiza lengo moja kwa utulivu na amani. Kitu kikubwa na cha kwanza ni kuwa weka watu sahihi katika nafasi sahihi….

Read More Read More

Featured
Kwanini Sangwini anaongoza kwa kutapeliwa?

Kwanini Sangwini anaongoza kwa kutapeliwa?

Tabia moja wapo ya Sangwini ni kutokufikiria na kudadisi kwa kina, huku wakiwa na huruma na maisha ya watu wengine, hivyo kutapeli kwao ni jambo la kawaida. Kwa kuwa haiba ya mke wangu ni Sangwini, nimeshuhudia matukio kadhaa wa kadha ya yeye kutapeliwa, huku akiendelea kutapeliwa kila linapokuja tukio jipya la utapeli. Kwa kuwa tabia ya Sangwini ni kutokufikiria na kudadisi kwa kina, kila utapeli mpya unapokuja na yeye lazima atapeliwe. Tukio la yeye kutapeliwa lililoniacha hoi ni hili hapa; …

Read More Read More

Featured
Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako 2

Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako 2

Karibu rafiki, tuendelee kujifunza matumizi mazuri na faida za kujua makundi ya kitabia au haiba za watu. Jana tuliangalia matumizi mawili ya haiba pale unapozifahamu, kama ulipitwa na makala zilizo tangulia soma hapa. Leo tunaendelea. Kutumia makundi ya haiba kwenye uleaji wa watoto. Kama wewe ni mzazi au mlezi wa watoto, utakubaliana na mimi kuwa kila mtoto ana utofauti wake, siyo tu ki maumbile, urefu, ufupi, muonekano au akili bali hata kwenye mchanganyiko wa haiba. Hivyo kujua makundi ya haiba itasaida…

Read More Read More

Featured
Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako

Namna bora ya kutumia makundi ya haiba za watu kwenye maisha yako

Karibu rafiki, kwenye mwendelezo wa makala yetu kujifunza matumizi sahihi ya makundi ya kitabia au haiba za watu kwenye mahusiano na wale tunaohusiana nao. Kama ulikosa makala zilizotangulia, soma hapa Katika makundi haya manne, hakuna kundi lilo bora kuliko lingine, kwani kila kundi lina mapungufu yake na uimara wake. Hivyo isitokee mtu akajidharau au kujiona mnyonge ziidi ya kundi jingine. Utofauti huu ndiyo unatufanya sisi binadamu tuwe bora zaidi, kwani tunategemeana. Pale ambapo wewe unamapungufu, basi mwenye uimara unayehusiana naye…

Read More Read More

Featured
Je, unaifahamu haiba yako na wale unaohusiana nao?

Je, unaifahamu haiba yako na wale unaohusiana nao?

Karibu rafiki kwenye mwendelezo wa tafakari ya kujifunza umuhimu wa kufahamu haiba au makundi ya tabia za watu kwenye mahusiano yetu. Je unaifahamu haiba yako na wale unaohusiana nao? Kupata makala zilizopita, soma hapa na hapa. Tayari tumeshaangalia makundi mawili, Sangwini na Melankoli na leo tutaangalia makundi mawili yaliyobakia. Kama bado hujajua kundi lako la kitabia ni lipi basi fuatana nasi.  Kundi  la tatu ni flagimatiki, ambaye yeye anasifika kuwa ni mtu wa watu pia. Ni mtu anayependa kujichanganya na kila…

Read More Read More

Featured
Je, unaifahamu haiba yako na wale unaohusiana nao?

Je, unaifahamu haiba yako na wale unaohusiana nao?

Karibu rafiki kwenye mwendelezo wa tafakari yetu ya kujifunza umuhimu wa kufahamu haiba au makundi ya tabia za watu kwenye mahusiano yetu. Ili kusoma makala iliyotangulia pitia hapa. Kabla hatujaangalia makundi haya muhimu ya tabia au haiba, ni vizuri kufahamu kuwa, inawezekana mtu kuchanganya haya makundi ya tabia, lakini lazima kuna kundi moja ambalo linakuwa linaongoza makundi mengine. Kuna hali mtu anaweza kuipitia, ambayo inamlazimu kundi ambalo siyo linalomtambulisha likachukua nafasi kwa muda. Mfano, mtu kundi lake linalomtambulisha ni melankoli,…

Read More Read More

Featured
Je, unafahamu umuhimu wa haiba au tabia za watu katika mawasiliano na mahusiano yako?

Je, unafahamu umuhimu wa haiba au tabia za watu katika mawasiliano na mahusiano yako?

Matatizo na migogoro mingi kwenye mahusiano mbalimbali hapa duniani husabishwa na kutokuelewa haiba au tabia mbalimbali za watu, na namna ya kuchukuliana pale ambapo mtu amefanya makosa ama amekukosea.  Haiba ni tabia za ndani za mwanadamu. Nitabia ambazo huwa ziko kwenye damu ya mtu na anadhaliwa nazo. Badhi ya wanasaikolojia wanaamini kuwa haiba hizi zina kaa kwenye moyo, sehemu ambayo inahusika na hisia na muguso (yaani emotional and feeling centre). Makundi haya manne yaliaasisiwa na baba wa utabibu, falsafa na saikolojia…

Read More Read More

Featured
Mambo yanayo haribu mawasiliano na uhusiano wako na wewe

Mambo yanayo haribu mawasiliano na uhusiano wako na wewe

Karibu rafiki, kwenye mwendelezo wa tafakari yetu ya kwanini mahusiano ni mawasiliano? Kama ulipitwa na makala zilizotangulia, basi unaweza kuzisoma hapa na hapa. Leo tutaangalia mambo yanayoweza kuvuruga na kuharibu mawasiliano na mahusiano kati yako na wewe. Mambo haya ni pamoja hatia, uoga, utupu, ufukara, kutokuwa na kusudi pamoja na mkanganyiko.   Mambo haya kwa ujumla tunayaita ni mapungufu au madhaifu yako. Kila mtu hapa duniani ana madhaifu yake na uimara wake. Pale unaposhindwa kujua namna ya kuyakubali madhaifu yako na…

Read More Read More

Featured
Zifahamu aina kuu za tatu za mahusiano na umuhimu wake kwenye maisha yako

Zifahamu aina kuu za tatu za mahusiano na umuhimu wake kwenye maisha yako

Karibu rafiki, kwenye mwendelezo wa tafakari yetu ya kwanini mahusiano ni mawasiliano? Kama ulipitwa na makala iliyotangulia, basi unaweza kuisoma hapa. Leo tutaangalia aina kuu tatu za mahusiano, ambazo ni mahusiano na Mungu au muumba wako, mahusiano kati yako na wewe mwenyewe na mahusiano yako na watu wengine. Naziita aina kuu tatu, kwani aina zingine zote za mahusiano huwa zinatokana na aina hizi kuu tatu za mahusiano. Mfano mahusiano ya kimapenzi, kifamilia, kindugu au hata marafiki yanatokana na mahusiano yako na…

Read More Read More

Featured
Kwa nini mahusiano ni mawasiliano?

Kwa nini mahusiano ni mawasiliano?

Karibu sana rafiki kwenye tafakari ya leo. Ni mfululizo wa makala zihusuzo mahusiano ni mawasiliano.   Siku zote, maisha ni mahusiano na mahusiano ni mawasiliano. Hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuishi hapa duniani bila kuhusiana. Kuhusiana ndiko kunaleta mahusiano. Kuhusiana ni kuwasilisha au kuwasiliana kwa kushirikiana au kushirikishana. Usipoweza kuwasilisha au kuwasiliana bado hujaanza kuishi. Mtoto anapokuwa tumboni mwa mama yake, anawasilisha na anaendelea kuwasiliana na mama yake. Lakini pia tafiti zinaonyesha kuwa hata kuzaliwa kwa mtoto, ni mtoto mwenyewe ndiyo…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kuwa na mfumo wako wa maisha 2

Umuhimu wa kuwa na mfumo wako wa maisha 2

Katika makala iliyotangulia, isome hapa kama hukuisoma tulijifunza umuhimu wakuwa na mfumo wako wa maisha. Hakuna kitu kinachoweza kujiendesha chenyewe bila ya kuwa na mfumo kwani maisha ni mfumo, bila mfumo hakuna maisha. Hata miili yetu inaongozwa na mifumo mbalimbali kama vile mfumo wa fahamu, mfumo wa upumumuaji n.k. Nilikushirikisha pia hadithi moja ya wapwa zake na farao, yani Chuma na Azur ambao walipewa amri ya kifalme na farao kuwa watengeneze piramidi kila mtu la kwake. Huku mmoja akitumia miaka mitatu kutengeneza…

Read More Read More

Featured
Umuhimu wa kuwa na mfumo wako wamaisha

Umuhimu wa kuwa na mfumo wako wamaisha

Hakuna kitu hapa duniani kinachoweza kujiendesha chenyewe, bila ya kutegemea mfumo. Hata mwili wetu wanadamu unamifumo mbali mbali inayotusaidia kuwa na afya njema. Mfumo kama wa upumuaji, mfumo wa chakula na mfumo wa mzunguko wa damu, ni baadhi tu ya mifumo mbalimbali tuliyonayo kwenye miili yetu inayotusaidi kuwa na afya njema. Mfumo mmoja wapo ukishindwa kufanya kazi, maana yake hakuna maisha tena. Hivyo linapokuja suala la kuwa na mfumo katika maisha ni jambo la lazima.  Ukiona maisha yako hayako kama…

Read More Read More

Featured
Haya ndiyo matatizo yanayoletwa na malengo, na jinsi ya kuyaepuka

Haya ndiyo matatizo yanayoletwa na malengo, na jinsi ya kuyaepuka

Kama kuna kuna kitu ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele sana, basi ni kuwa na malengo. Watu wengi huwa tunaweka malengo, lakini cha kushangaza ni kuwa kuna mambo manne ya muhimu kuyajua ambayo huwa hatuyafikirii kabisa, pale tunapo kuwa tuna weka malengo. Na haya huwa yanachagia sana kutokutimiza malengo yetu. Mwandishi wa kitabu cha atomic habits, James Clear katika kufanya utafiti wake, alingundua kuwa kuna matatizo 4 yanayo ambatana na uwekaji malengo, ambayo unapaswa kuyafahamu na kuyaepuka. Na haya ndiyo chanzo cha…

Read More Read More

Featured
Kuwa na malengo ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Kuwa na malengo ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Rafiki, mwezi wa nane tumeshauanza. Ni matumaini yangu kuwa unaendelea kutimiza malengo uliyojiwekea kwa mwaka huu.  Hivyi, ulishawahi kujiuliza kwanini watu wengi wanaweka malengo lakini hawayatimizi? Siyo kwasababu hawataki kutimiza, bali wanafanya kila jitihada ilikutimiza malengo yao, lakini bado wanajikuta katika wakati mugumu, kwani mwisho wa siku hakuna malengo yanayotimizwa au kufikiwa. Katika makala hii, tunakwenda kujifunza na kutafakari kwa nini watu walio wengi hawatimizi malengo yao, ukiwemo wewe, na namna ya kufanya iliuweze kutimiza malengo yako. Iko hivi rafiki…

Read More Read More

Featured
Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti mitano izaayo pesa 3

Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti mitano izaayo pesa 3

Karibu sana rafiki kwenye mwendelezo wa makala yetu ya miti mitano izaayopesa, katika makala zilizopita, tumeona baadhi ya miti hiyo ambayo inazaa pesa hata kama wewe haupo katika usimamizi wa moja kwa moja. Miti hii ni kama mashine ya kuchapa fedha. Tayari tumeshajifunza miti ya Biashara ya upangishaji au ukodishajina Biashara ya mifumo ya kompyuta (Computer software systems) kama hujazisoma zisome hapa na hapa Leo tunaenda kujifunza miti mingine mitatu kwa kina amayo ni Biasahara ya mifumo ya maudhui(content systems), Biashara ya mifumo ya…

Read More Read More

Featured
Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti izaayo pesa 2

Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti izaayo pesa 2

Karibu rafiki kwenye mwendelezo wa tafakari yetu ya leo, juu ya miti mitano izaayo pesa, kama hukubahatika kuisoma makala hiyo isome hapa.  Kumbuka, miti hii mitano, inakupa uhuru na inauondoa ushiriki wako wa moja kwa moja kwenye biashara. Muda na nguvu zako unakuwa hauhusiki tena kuendesha biashara hizi, na hicho ndicho kila mtu anakihitaji sana hapa duniani, yaani uhuru wa kifedha, muda na afya bora. 2. Biashara ya mifumo ya kompyuta (Computer software systems) Katika karne hii ya ishrini na moja,…

Read More Read More

Featured
Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti izaayo pesa

Namna ya kupanda, kupalilia na kuvuna kutoka kwenye miti izaayo pesa

Karibu rafiki kwenye tafakari yetu ya leo, ikiwa ni mwendelezo watafakari yetu ya jana, ambapo tuliangalia kwa ufupi miti mitano inayozaa pesa, kama hukubahatika kuisoma makala hiyo isome hapa.  Leo tunaenda kuangalia mti mmoja baada ya mwingine. Kumbuka, miti hii mitano, inakupa uhuru na inauondoa ushiriki wako wa moja kwa moja kwenye biashara.  Muda na nguvu zako unakuwa hauhusiki tena kuendesha biashara hizi, na hicho ndicho kila mtu anakihitaji sana hapa duniani, yaani uhuru wa kifedha, muda na afya bora. Karibu tutafakari…

Read More Read More

Featured
Hii ndiyo miti mitano inayozaa pesa

Hii ndiyo miti mitano inayozaa pesa

Rafiki, karibu sana kwenye tafakari yetu ya leo. “Unafikiri pesa zinaota kwenye miti eh”?. Hili ni swali maarufu sana ambalo kwa namna moja ama nyingine ulishawahi kulisikia au hata kukutana nalo kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki au hata jamii inayokuzunguka.  Ni kweli pesa hazioti kwenye miti kama huna miti inayozaa au kuzalisha pesa, lakini kama unamiliki mti au miti inayozaa pesa, utakuwa unafahamu kuwa pesa huwa zinaota kwenye miti kama kawaida. Lakini pia rafiki, kama huna mti unaozaa pesa…

Read More Read More

Featured
Hivi ndivyo unavyoweza kuongeza thamani

Hivi ndivyo unavyoweza kuongeza thamani

Rafiki, ulishawahi kujiuliza utofauti wa noti ya shilingi 1000 na shilingi 10,000 uko wapi? Utofauti wa noti ya shilingi 10,000, hauko kwenye karatasi iliyotumika kuitengenezea, lasivyo ingekuwa na ukubwa mara kumi ya ule ukubwa wa noti ya shiligi 1000. Wala utofauti haupo kwenye wino uliotumika kuchapisha noti hizo, bali utofauti upo kwenye thamani. Ndiyo thamani. Noti ya shilingi 10,000 ina thamani mara kumi zaidi ya noti ya shilingi 1000, na hapa ndipo umuhimu wa thamani kwenye maisha yetu unapokuwa pia….

Read More Read More

Ili kufanikiwa na kupata unachokitaka badili hiki kwanza

Ili kufanikiwa na kupata unachokitaka badili hiki kwanza

Mpendwa rafiki, Heri ya mwezi mpya. Mazingira yanamchango mkubwa sana kwenye mafanikio yako. Kile unachokitaka, kile unachokipata kwa namna moja ama nyingine kinaathiriwa na mazingira yanayokuzunguka. Unataka kupunguza uzito? Angalia mazingira yanayokunguka; utaona ni kwa namna gani yanachangia wewe kuwa na uzito uliopitiliza. Marafiki wanokuzunguka, urahisi wa upatikanaji wa vyakula vinavyochangia wewe kupata uzito uliopitiliza n.k. Sasa ili uweze kufanikiwa kuwa na uzito unaoutaka au unaotakiwa unapaswa kupunguza uzito. Mfano; Ili kupunguza uzito umejiwekea utaratibu wa kula karoti kila siku….

Read More Read More