Browsed by
Month: August 2021

Mambo matano usiyoyajua kuhusu hofu yako

Mambo matano usiyoyajua kuhusu hofu yako

Mpendwa rafiki yangu, Katika mambo ambayo yamepotoshwa sana, hofu ni moja ya mambo hayo. Siyo kupotoshwa tu, bali hata kutafasiriwa vibaya. Ukweli ni kuwa hakuna hata mtu mmoja asiyekuwa na hofu. Si wasanii wakubwa, waimbaji wakubwa, wanariadha, wafanyabiashara, matajiri au hoehae, mlala hai au mlala hoi, wote wana hofu. Lakini pia, tusingekuwa na maisha kama kusingekuwa na hofu. Hakuna kitu unachopaswa kukiogopa na kukihofia bali unapaswa kukielewa. Hivyo kama unataka kuitawala hofu yako, ndiyo kuitawala! kwan hutakiwi kushindana nayo bali…

Read More Read More

Akili yako inavyofanya kazi ili uwe unachotaka

Akili yako inavyofanya kazi ili uwe unachotaka

Mpendwa Rafiki, Kuna njia mbili zinazoweza kukusaidia kuamini kwako na kupata chochote unachotaka; ambazo ni njia ya kisaikolojia na njia ya kisayansi. Katika njia ya kisayansi, unatakiwa kutumia ubongo wako, ambao ndiyo akili inayofikika yaani conscious mind. Ndiyo ambayo huonekana wakati wa upasuaji wa ubongo. Inahusika na kufikiria kwetu. Lakini pia ndiyo inamawasiliano na milango mitano ya fahamu. Na hii milango ndiyo inaingiliana na mazingira ya nje ya miili yetu. Ubongo wetu huwa unapokea maelfu ya taarifa kwa sekunde, lakini…

Read More Read More