Browsed by
Month: November 2018

Hata usipo chagua, tayari umeshachagua kutokuchagua

Hata usipo chagua, tayari umeshachagua kutokuchagua

  Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kawaida. Na kama hauko vizuri kiafya nakutakia kila la heri, uweze kupona haraka. Siku ya leo tutafakari kwa kina ujumbe huu “Hata usipo chagua, tayari umeshachagua kutokuchagua”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Ndugu msomaji, hakuna kitu mwanadamu anaweza kufanya bila ya kuchagua, isipokuwa azaliwe wapi na wazazi wapi. Unapo amka asubuhi,cha kwanza ni kufanya…

Read More Read More

Unahitaji mtu huyu ili usonge mbele

Unahitaji mtu huyu ili usonge mbele

Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kawaida. Na kama hauko vizuri kiafya nakutakia kila la heri, uweze kupona haraka. Siku ya leo tunaendelea na tafakari yetu kina ya ujumbe huu “Unahitaji mtu huyu ili usonge mbele”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Ndugu msomaji, unahitaji kuwa na mtu wakukusimamia kwa karibu, yani menta, kocha au mshauri. Kuna wakati unaweza ukawa na msukumo…

Read More Read More

Imani hii ina nguvu sana, usiiache.

Imani hii ina nguvu sana, usiiache.

Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Siku ya leo tutafakari kwa kina ujumbe huu “Imani hii ina nguvu sana, usiiache” na tuchukue hatua. Kama umewahi kufika Liverpool, jiji maarufu linalosifika kwa kuwa na bandari kubwa dunia, basi utakubaliana na mimi. Kuna sehemu maarufu sana ya utali, bila shaka huwa siyo ya kulipia bali kama unataka kuendesha mitumbwi, gari za farasi n.k.  Sehemu hii ni Albert…

Read More Read More

Ajira yako siyo wewe

Ajira yako siyo wewe

  Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Siku ya leo tutafakari kwa kina ujumbe huu “Ajira yako siyo wewe”, hakikisha unasoma na uchukue hatua. Siku moja Dr. Myles aliwauliza vijana swali hili “wewe ni nani?” Vijana wengi walijibu kama watu wengi leo hii wangeulizwa wangejibu. Wengi walijibu wao ni manesi, wao ni madakitari n.k. Myles aliwashangaa sana vijana wale kwanini wanajibu na kujitabulisha kwa kupitia…

Read More Read More

Kila kitu kina “expiring date” yake kasoro hiki kimoja tu.

Kila kitu kina “expiring date” yake kasoro hiki kimoja tu.

  Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Siku ya leo tutafakari kwa kina kauli hii, ambayo ninaamini ulisha wahi kuisikia siyo tu mara moja, itakuwa mara nyingi tu. Kila kitu kina “expiring date” yake kasoro hiki kitu kimoja tu. Nilipo fika kwa mara ya kwanza na kuanza kuishi nchini Uingereza nilipata tabu sana, kwa siku za mwanzo. Kwani nilikuwa naenda kununua vitu kwenye supermakert ndogo…

Read More Read More

Kila kitu ni utoaji-sehemu ya pili

Kila kitu ni utoaji-sehemu ya pili

Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Siku ya leo tunaendelea na tafakari yetu kina ya ujumbe huu “Kila kitu ni utoaji”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Nakumbuka kabla sijaanza uandishi wa makala na vitabu, nilikuwa najiona kama sina mchango wowote kwenye jamii. Nilikuwa najiuliza sasa mimi nitaandika vitabu, na makala za kuelimisha jamii, je ni nani atakuwa anasoma makala na…

Read More Read More

Kila kitu ni utoaji-sehemu ya kwanza

Kila kitu ni utoaji-sehemu ya kwanza

Habari za leo msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Siku ya leo tutafakari kwa kina ujumbe huu “Kila kitu ni utoaji”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua. Ndugu msomaji wa mtandao wa Unaweza, kama kuna kitu ambacho unahitaji kujifunza na kujijengea nidhamu, yaani iwe tabia yako basi ni utoaji. Kama hautoi basi pia hupokei. Na kama haupokei basi hutoi. Utoaji ni daraja kati ya mafanikio yako na wewe…

Read More Read More

Je, kweli kinga ni bora kuliko tiba?

Je, kweli kinga ni bora kuliko tiba?

Habari za leo wasomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa hamujambo kabisa, na munaendelea na shughuli zenu kama kwaida. Siku ya leo naomba tutafakari swali hili kwa kina. Swali hili linatokana na methali maarufu sana ya Kiswahili, isemayo “Kinga ni bora kuliko tiba”. Kwa muda wa miaka sita sasa, nimekuwa nikifanya kazi katika Taasisi ya Afya Ifakara ni kiwa mwanasayansi na mtafiti wa magonjwa ya binadamu. Katika utafiti wangu umekuwa ni kujikita na utafiti wa kuja na mbinu…

Read More Read More

Nimejitoa-sehemu ya mwisho

Nimejitoa-sehemu ya mwisho

Habari za leo rafiki yangu na msomaji wa mtandao wa Unaweza, ni matumaini yangu kuwa haujambo kabisa, na unaendelea na shughuli zako kama kwaida. Tunaendelea na kundi la tatu, la maisha yangu. Soma hapa kama hukubahatika kufuatilia sehemu ya kawanza; Nimejitoa – Sehemu ya Kwanza. Unaweza pia uka soma hapa kama hukupata nafasi ya kusoma sehemu ya pili; Nimejitoa -Sehemu ya Pili Katika hatua hii ya kundi la tatu, miaka 60 mpaka kuondoka kwangu duniani. Hiki kitakuwa ni kipindi ambacho mimi…

Read More Read More

Nimejitoa – Sehemu ya pili

Nimejitoa – Sehemu ya pili

Habari Rafiki yangu, karibu sana leo tuendelee  kushirikishana safari yangu ya hapa duniani. Safari yangu hii imejaa milima na mabonde ni safari yangu ya kufanya mambo makubwa hapa duniani. Tunaendelea na kundi la pili, la maisha yangu. Soma hapa kama hukubahatika kufuatilia sehemu ya kawanza; Nimejitoa – Sehemu ya Kwanza. Kundi la pili, ni miaka 30 mpaka miaka 60 Katika kipindi hiki nitakwenda kukushilikisha mambo makuu matano ambayo nitakuwa nimeyafanyia kazi kabla ya miaka 60 yangu. Jambo la kwanza, ni kuandika…

Read More Read More