Browsed by
Month: February 2019

Hiki ndicho kikwazo kimoja cha wewe kutokufanikiwa au kufanikiwa

Hiki ndicho kikwazo kimoja cha wewe kutokufanikiwa au kufanikiwa

Rafiki yangu karibu sana kwenye tafakari yetu ya leo, tutafakari ujumbe huu kwa kina “Hiki ndicho kikwazo kimoja cha wewe kutokufanikiwa au kufanikiwa” Siku moja nikiwa nimejipumzisha ndani kwangu majira ya jioni. Nyuma ya nyumba yangu kulikuwa na mafundi ujezi wakiwa wanaendelea na ujezi wa nyumba ya jirani yetu. Wakati wakiendeleana ujezi kulitokea ubishani, juu ya kuamini. Fundi mmoja alikuwa akiwambia mafundi wezake kuwa yeye haamini kama Mungu yupo. Wezake walijitahidi sana kumuelimisha nakumuonyesha mambo makuu ya Mungu, lakini hakuwaelewa,…

Read More Read More

Je unafanya kazi ya ndoto yako?

Je unafanya kazi ya ndoto yako?

Rafiki, siku ya leo tutafakari swali hili kwa kina “Je unafanya kazi ya ndoto yako?” Ndugu msomaji wa mtandao huu, kuna hadithi ya Ngamia na mtoto wake walikuwa wakizungumza siku moja. Mtoto wa ngamia akauliza “Mama kwa nini tuna miguu yenye vidole vikubwa vitatu?” Mama yake alijibu “ili kutusaidia kutembea kupitia kwenye mchanga mwororo wa jangwa bila kuzama” Mtoto wa ngamia aliuliza swali jingine, “Kwanini tuna kope nzito na ndefu?” Ili kuzuia mchanga usiingie machoni.”Alijibu mama ngamia. Mtoto wa ngamia…

Read More Read More

Usipo tumia chakula kama dawa, utatumia dawa kama chakula

Usipo tumia chakula kama dawa, utatumia dawa kama chakula

Karibu sana rafiki na msomaji wa mtandao huu wa Unaweza, ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha kwenye tafakari yetu ya leo. Ni matumaini yangu kuwa unapiga hatua kuelekea kutimiza malengo na ndoto zako. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Usipo tumia chakula kama dawa, utatumia dawa kama chakula”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Linapokuja suala la kuwa na afya bora, ni kipaumbele cha kila mtu anayetaka kufanikiwa na kuwa anachotaka….

Read More Read More

Huu ndiyo utajiri wa kwanza ulionao

Huu ndiyo utajiri wa kwanza ulionao

Karibu sana rafiki na msomaji wa mtandao huu wa Unaweza, ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha kwenye tafakari yetu ya leo. Ni matumaini yangu kuwa unapiga hatua kuelekea kutimiza malengo na ndoto zako. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Huu ndiyo utajiri wa kwanza ulionao”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Rafiki yangu mpendwa, kama kunakitu cha kwanza kujivunia wewe, basi ni kuwa na afya njema. Kwa takribani siku nzima ya…

Read More Read More

Kataa kukata tamaa

Kataa kukata tamaa

Karibu sana rafiki na msomaji wa mtandao huu wa Unaweza, ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha kwenye tafakari yetu ya leo. Ni matumaini yangu kuwa unapiga hatua kuelekea kutimiza malengo na ndoto zako. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Kataa kukata tamaa”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Kukata tamaa ni kukubali kwamba wewe huwezi. Ni kukubali kwamba umeshindwa na hauna njia nyingine ya kukusaidia. Hataa pale unapopitia changamoto ngumu sana…

Read More Read More

Anguka mara saba, inuka mara nane

Anguka mara saba, inuka mara nane

Ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha sana rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Ni wiki ya sita tangu tu uanze mwaka wetu huu mpya, ni matumaini yangu kuwa unapiga hatua kuelekea ndoto zako. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Anguka mara saba, inuka mara nane”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Ndugu msomaji wa mtandao huu, kuna msemo maarufu wa Kijapani ukimaanisha kuwa, anguka mara saba, lakini inuka mara nane, yaani…

Read More Read More

Kwanini unachokiogopa kitakutawala?

Kwanini unachokiogopa kitakutawala?

Ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha sana rafiki kwenye tafakari yetu ya leo. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Kwanini unachokiogopa kitakutawala? ”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Rafiki yangu, kama kuna kitu ambacho kinawafanya watu wengi washindwe kuwa wanachotaka kuwa, basi ni uoga. Uoga umeandikwa sana, umeongelewa sana na lakini bado ni wachache sana wanaofanikiwa kujinasua kutoka katika uoga. Hakuna kitu chochote dunia ambacho kimewafanya watu kushindwa kutimiza malengo…

Read More Read More

Hii ndiyo Namna bora ya kufikiri

Hii ndiyo Namna bora ya kufikiri

Katika makala iliyopita hapo jana tuliona ni kwa namna gani kufikiri kulivyo na umuhimu katika kufikia mafanikio ya ndoto zako. Tuliona kuwa kufikiria kwako ndicho kitu pekee kwenye maisha yako mtu awaye yote hawezi kukunyang`anya. Kama huja isoma makala hii unaweza kuisoma hapa. Siku ya leo tujifunze namna bora ya kufikiri ili uweze kufanikiwa katika kila shughuli unayoifanya, iwe ni biashara, ajira, kazi na hata kama wewe ni mwanafunzi. Namna bora ya kwanza katika kufikiri  ni kufikiri kwa uwezekano. Maana…

Read More Read More