Browsed by
Month: April 2019

Unataka kuwa nani? unataka nini kwenye maisha?

Unataka kuwa nani? unataka nini kwenye maisha?

Rafiki yangu, mara nyingi ukiwauliza maswali watoto wadogo kuwa wanataka kuwa nani au kufanya nini wakiwa watu wazima watakujibu moja kwa moja bila hada kusita sita. Lakini ukiwauliza watu wazima, utashangaa ni kwa namna gani wanavyosita sita. Hii inatokana na kwamba, watu wazima tayari walisha anza kuona na kuamini kuwa hawata weza kufanikiwa kwa kile wanacho taka au wanachofikiria kuwa. Hivyo, uoga wa kushindwa na hofu ya kukabiliana na changamoto zinazo ambatana na kile wanachokitaka huwa zinawafanya washindwe kuwa bayana…

Read More Read More

Kwanini unatakiwa kuwa makini na namna unavyofikiri

Kwanini unatakiwa kuwa makini na namna unavyofikiri

Heri ya Sikuku ya Pasaka rafiki na msomaji wa mtandao huu wa Unaweza, ni bahati ya kipekee sana leo kuwa hai, nakukaribisha kwenye tafakari yetu ya leo. Ni matumaini yangu kuwa unapiga hatua kuelekea kutimiza malengo na ndoto zako. Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Kwanini unatakiwa kuwa makini na namna unavyofikiri”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Kila kitu kinachotokea maishani mwako huwa kinaanzia kwenye kufikiri kwako, na hata kama haikijaanzia kwenye kufikiri…

Read More Read More

Utabarikiwa kwa kazi ya mikono yako

Utabarikiwa kwa kazi ya mikono yako

Siku ya leo tutafakari ujumbe huu kwa kina “Utabarikiwa kwa kazi ya mikono yako ”, na hakikisha unasoma na kuchukua hatua ili kubadili maisha yako. Kuna wakati rafiki yangu aliniambaia “usukani wa meli hauwezi kuigeuza meli mpakaiwe kwenye mwendo. Kama meli ikobandarini imepaki hatakama ufanyenini uleusakani wake haufanyi kazi”ili ukutane na Baraka za Mungu nilazima uweunajishugulisha kama nikuuza nyanya, kupika, kucheza, kuimba nk. ilimradi tu iwe ni kazi ya harali ya mikono yako inayo kuingizia kipato. Mkono mtupu haulambwi, ni…

Read More Read More

Mambo 6 ya kuzingatia ili kutambua shughuli iliyo kuleta duniani

Mambo 6 ya kuzingatia ili kutambua shughuli iliyo kuleta duniani

Karibu sana rafiki, ikiwa tayari robo ya kwanza ya mwaka huu imekatika. Nimatumaini yangu kuwa unaendelea kupiga hatua juu ya mipango na malengo uliyojiwekea. Siku ya leo tutafakari mambo haya sita, muhimu kwa ajili ya kutambua shughuli iliyokuleta duniani. Rafiki yangu, kilio cha watu wengi huwa ni kujiuliza na kutaka kujua hasa ni shughuli ipi iliyowaleta duniani.  Mara nyingi wengi huwaza ‘ Sasa nitajuaje kwamba, kazi hii ndiyo ambayo imenileta au nimekuja kuifanya hapa duniani’? Ni kweli kila mtu duniani…

Read More Read More