Katika kutafuta mafanikio usisahau vitu hivi vitatu
Kila mtu anataka kufanikiwa kwenye maisha yake. Hata yule asiyekuwa na mipango, naye anatamani na kutaka mafanikio. Unaweza ukayatafuta na kuyapata mafaniko kweli, lakini mafanikio yako yatakuwa ni bure kabisa kama yatakosa vitu hivi vitatu. 1. Familia (au mahusiano ). Ni ukweli usiopingika kuwa unaweza ukayapata mafanikio, lakini hayatakuwa na maana kwako kama mahusiano yako na familia, marafiki na wale uwapendao, jamii na Mungu hayatawagusa kwa namna moja ama nyingine. Mafanikio ya kweli ni pamoja na kusaidia familia, marafiki na…