Wanamume wanaongea kwa ajili ya taarifa, wanawake wanaongea kwa ajili ya mahaba
Mpendwa rafiki, Huwa kunapengo kubwa sana kwenye mawasiliana kati ya mwanamke na mwanamume wanapokuwa wanazungumuza kwenye mahusiano. Hii hutokana na utofuti uliopo kati ya mwanamke na mwanamume kwenye mazungumzo yao. Mwanamume huwa anaongea pale tu kunapokuwa na taarifa anataka kupata au kutoa kwa mwenza wake, lakini mwanamke yeye huongea kwa ajili ya huba, mahaba na mapenzi kwa yule anayempenda. Nakumbuka siku moja nikiwa kwenye semina ya wa wanandoa, niliulizwa swali na wa mama, kwanini wanamume mkiondoka kwenda kazini hampigi tena…