Browsed by
Month: August 2019

Haya ndiyo matatizo yanayoletwa na malengo, na jinsi ya kuyaepuka

Haya ndiyo matatizo yanayoletwa na malengo, na jinsi ya kuyaepuka

Kama kuna kuna kitu ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele sana, basi ni kuwa na malengo. Watu wengi huwa tunaweka malengo, lakini cha kushangaza ni kuwa kuna mambo manne ya muhimu kuyajua ambayo huwa hatuyafikirii kabisa, pale tunapo kuwa tuna weka malengo. Na haya huwa yanachagia sana kutokutimiza malengo yetu. Mwandishi wa kitabu cha atomic habits, James Clear katika kufanya utafiti wake, alingundua kuwa kuna matatizo 4 yanayo ambatana na uwekaji malengo, ambayo unapaswa kuyafahamu na kuyaepuka. Na haya ndiyo chanzo cha…

Read More Read More

Kuwa na malengo ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Kuwa na malengo ni muhimu, lakini hiki ni muhimu zaidi

Rafiki, mwezi wa nane tumeshauanza. Ni matumaini yangu kuwa unaendelea kutimiza malengo uliyojiwekea kwa mwaka huu.  Hivyi, ulishawahi kujiuliza kwanini watu wengi wanaweka malengo lakini hawayatimizi? Siyo kwasababu hawataki kutimiza, bali wanafanya kila jitihada ilikutimiza malengo yao, lakini bado wanajikuta katika wakati mugumu, kwani mwisho wa siku hakuna malengo yanayotimizwa au kufikiwa. Katika makala hii, tunakwenda kujifunza na kutafakari kwa nini watu walio wengi hawatimizi malengo yao, ukiwemo wewe, na namna ya kufanya iliuweze kutimiza malengo yako. Iko hivi rafiki…

Read More Read More