Je, umeshapata kitabu cha ITAWALE HOFU YAKO?
Rafiki, kwa muda sasa nimekuwa nakueleza kuhusu kitabu kipya nilichotoa kinachoitwa ITAWALE HOFU YAKO. Kitabu hiki nilipenda kila rafiki yangu akipate na akisome, maana nimeweka maarifa mengi na sahihi kwenye kuitawala HOFU YAKO. Hivyo niliamua kukitoa kama zawadi kwa kila rafiki yangu kwa bei ya OFA ili kukipata kitabu. ZAWADI HII INAISHA LEOHivyo nipende kutumia nafasi hii kukujulisha kama bado hujakipata kitabu hiki, chukua hatua sasa hivi ili zawadi hii isikupite. Rafiki, Waswahili wanamsemo wao maarufu usemao “Uoga wako ndiyo…