Browsed by
Category: MAHUSIANO NA NDOA

Maeneo manne ya kuweka malengo ili upige hatua mwaka 2024

Maeneo manne ya kuweka malengo ili upige hatua mwaka 2024

Kwako rafiki mpendwa, Heri ya mwaka mpya 2024. Tayari siku ya kwanza ya mwaka 2023 imeshakatika, je kuna kitu chochote cha tofauti ulichofanya jana kuliko ulivyofanya juzi yaani mwaka 2023? Ni muhimu kukumbuka kuwa kinachobadilika huwa ni namba tu, kama hutabadili fikra na akili zako. Mwaka mpya kwako utakuwa ni jina tu. Sasa ushauri wangu kwa mwaka huu mpya ni kuwa na malengo makubwa, kuliko uliyokuwa umeweka mwaka jana. Unapoweka malengo yako mapya, hakikisha unaweka malengo kwenye maeneo haya manne…

Read More Read More

Heri ya Krismas na mwaka mpya 2024

Heri ya Krismas na mwaka mpya 2024

Mpendwa rafiki, Unaweza Investment inawatakia heri ya Krismass na mwaka mpya 2024. Karibu sana tuendelee kuwa pamoja kwa mwaka 2024. Habari njema ni kwamba, vitabu vyetu pendwa vipo kwenye punguzo kubwa kabisa wakati huu wa sikuku. Jipatie vitabu vya 1. Unaweza Kuwa Unayemtaka kwa 10000/=, 2. Itawale hofu yako kwa 10000/=, 3. Ndoa si ndoano kwa elfu 10000/=. Jumla utalipa elfu 30 tu badala ya elfu 40. Piga 0655046577/0789353877 utaletewa ulipo. Pia Unaweza kujiunga na kundi letu la WhatsApp https://chat.whatsapp.com/LwoojycUxgpE11qCQLcosa…

Read More Read More

MIAKA 8 YA NDOA NA MAMBO 8 NILIYOJIFUNZA KUHUSU NDOA

MIAKA 8 YA NDOA NA MAMBO 8 NILIYOJIFUNZA KUHUSU NDOA

Mpendwa rafiki, mwezi huu wa 12 imetimia miaka 8 toka nilipofunga ndoa. Hapa kuna mambo 8 niliyojifunza kuhusu ndoa. Je, wewe ni namba ipi hapo juu imekugusa moja kwa moja? Kitu kimoja zaidi, ili kujifunza na kupata maarifa zaidi pata nakala ya kitabu NDOA SI NDOANO ili ndoa kwako isiwe ndoano. Habari njema ni kwamba leo utalipia Sh. 15000/= badala ya kulipa 20,000/=. Ofa hii inaisha leo. Pia nakala zimebaki chache. Lipa kwenda 0768497747 au piga 0655046577/0789353877. Pia Unaweza kujiunga…

Read More Read More

Mwanamume kuwa makini na hiki kitu

Mwanamume kuwa makini na hiki kitu

Mpendwa rafiki, Mwanamume ni kama simba anayemfukuzia swala, pale swala anaposimama na asiendelee kukimbie simba naye atasimama. Maana yake ni kwamba, wakati mume wako anakuoa, ulikuwa unaonekana mtanashati kila wakati, ulikuwa unajilemba na kujipamba. Ulikuwa msafi, na mwenye muonekano wa kumvutia na hivyo kumshawishi mpaka akakuoa, sasa umeshaolewa, umeshazaa umeacha kuwa kujilemba nakujipamba maana yake, na mume wako ataacha kushawishika na kuvutiwa na wewe. Madhara yake huwa ni makubwa sana kwani hupelekea wanandoa wengi kuingia kwenye migogoro. Utamsikia mwanamke anasema…

Read More Read More

Je unayajua mahitaji yako na ya mwenza wako kwenye mahusiano?

Je unayajua mahitaji yako na ya mwenza wako kwenye mahusiano?

Mahitaji yasiyotimizwa au kutimia huwa ni chanzo cha mfadhaiko na kukata tamaa kwa watu wengi kwenye mahusiano. Hivyo kitu cha muhimu kabisa ni mahitaji kutimia na kutimizwa kwenye mahusiano. Je, wewe huwa unatimiza mahitaji ya mwenza wako kwenye mahusiano ya ndoa?Je, mwenza wako je naye huwa anatimiza mahitaji yako? Je unajua mahitaji haswa ya mwenza wako? Kwenye kitabu KIPYA cha Ndoa si ndoano utajifunza kanuni ya mahitaji ya mwanamke na mwanamume kwenye mahusiano ya ndoa. Lipa sasa elfu 20 kwenda…

Read More Read More

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Mpendwa rafiki, Watu huingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu mbalimbali. Wengine huingia kwa sababu nzuri na sahihi huku wengine wakiingia kwa sababu mbaya, za hovyo na zisizo sahiihi kabisa. Hapa tuna kwenda kujifunza sababu nane zisizofaa, na zisizo na afya kwa wewe kuingia kwenye ndoa. 1. Matarajio ni hatari kuingia nayo kwenye ndoa na mahusiano Matarajio siyo sawa na mahitaji. Kutarajia chochote kutoka kwa mwenza wako ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako, kwani matarajio yasipotimizwa huo ndiyo mwisho…

Read More Read More

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Sababu Hizi Siyo Za Msingi Kwa Wewe Kuingia Kwenye Mahusiano ya Ndoa

Mpendwa rafiki, Watu huingia kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu mbalimbali. Wengine huingia kwa sababu nzuri na sahihi huku wengine wakiingia kwa sababu mbaya, za hovyo na zisizo sahiihi kabisa. Hapa tuna kwenda kujifunza sababu nane zisizofaa, na zisizo na afya kwa wewe kuingia kwenye ndoa. 1. Matarajio ni hatari kuingia nayo kwenye ndoa na mahusiano Matarajio siyo sawa na mahitaji. Kutarajia chochote kutoka kwa mwenza wako ni hatari kwenye ndoa na mahusiano yako, kwani matarajio yasipotimizwa huo ndiyo mwisho…

Read More Read More

Mambo sita ya kuzingatia kwenye maisha yako ili uwe mkuu

Mambo sita ya kuzingatia kwenye maisha yako ili uwe mkuu

Kwako mpendwa rafiki, Watu wengi huwa hawaijui siri hii. Unatakiwa uwe mtumwa wa kipaji, kazi na kusudi lako kama unataka kuwa mkuu. Ninaposema unakuwa mtumwa, nina maana kwamba wewe utaamka mapema kuliko wenzako ili kukitumikia kipaji, kusudi au kazi yako hiyo. Na pia utalala wa mwisho, na kuamka wa kwanza ili kuhakikisha unakitumikia kipaji chako, kazi yako na kusudi lako. Mtu yeyote anayetaka kuwa mkuu, lazima akubali kuwa mtumwa wa kipaji, kazi na kusudi lake. Hii ni kanuni ya asili,…

Read More Read More

Je unafahamu tofauti hii kati ya Mwanamke na Mwanamume na jinsi ya kuitumia kwenye mahusiano yako?

Je unafahamu tofauti hii kati ya Mwanamke na Mwanamume na jinsi ya kuitumia kwenye mahusiano yako?

Rafiki, iko hivi; Wanamume huwa wanaangalia mambo ya mbele, Wanawake huwa wanakumbuka na kuangalia mambo ya nyuma. Hii ni tofauti muhimu sana kuijua na kuifahamu kama unataka kuwa na ndoa yenye furaha, amani na upendo. Pale kunapokuwa na changamoto yeyote au kutokuelewana kwenye mahusiano kati ya mwanamke na mwanamume, unapaswa kujua kwamba, mwanamume huwa anataka tatizo hilo liishe na anataka kusonga mbele, huku mwanamke yeye anataka kuyaongelea mambo yote ya nyuma yanayohusiana na tatizo hilo. Nakumbuka siku moja nipo kwenye…

Read More Read More

Kwa nini kitabu cha Ndoa si ndoano ni muhimu kwako?

Kwa nini kitabu cha Ndoa si ndoano ni muhimu kwako?

Mpendwa rafiki, Kama unataka kuwa na mahusiano na ndoa bora, yenye furaha, amani na kudumu basi unatakiwa uwekeze kwenye uelewa. Uelewa juu yako wewe, juu ya mtu unayehusiana naye, lakini pia uelewa wa mahusiano ya ndoa. Unapaswa kuelewa mahitaji ya mwenza wako, matarajio yake kwako, na ndoa kwa ujumla, na ndiyo sababu ya uwepo wa kitabu hiki cha Ndoa si ndoano. Kitabu hiki kina kupa uelewa kwamba upendo pekee haufanyi ndoa kudumu bali kanuni ya maarifa, uelewa na hekima. Ili…

Read More Read More