Browsed by
Month: May 2022

Hivi ndivyo unavyoweza kukabiliana na wivu wa kimapenzi

Hivi ndivyo unavyoweza kukabiliana na wivu wa kimapenzi

Rafiki, kila kona, kila sehemu siku hizi kilio kikubwa sana na chanzo kikubwa cha wanandoa na wapenzi kujeruhiana au kuuana kabisa huwa ni wivu wa kimapenzi. Wivu wa kimapenzi umeua wengi, umejeruhi wengi na umevunja ndoa nyingi tu. Hisia ya wivu ni muhimu sana kwenye maisha yetu, ikiwemo mahusiano ya ndoa, kwani hutumika kukilinda kile ambacho tunacho. Lengo ni kuwalinda wenza wetu kwa kuwajali, kuwahudumia kwa kuhakikisha hawaangukii kwenye u miliki au himaya ya watu wengine. Pamoja na ukweli huo,…

Read More Read More

Kwanini unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako ?

Kwanini unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako ?

Rafiki, upendo wa kweli ni msingi muhimu sana wa kujenga mahusiano yako imara na ya kudumu. Upendo wa kweli ambao unapaswa kujenga mahusiano yako ya ndoa, ni upendo wa agape, upendo wa kiMungu, upendo usio na masharti. Unapaswa kuishi kwa upendo kwenye mahusiano yako, kwani upendo wa kweli huvumilia. Hakuna mtu aliyekamilika, kila mtu anamapungufu yake kisaikolojia, kimwili na hata kiroho. Kutokana na mapungufu hayo, kila mtu anayeingia kwenye ndoa, lazima avumiliane na mwenza wake. Ni upendo pekee, ndiyo utakufanya…

Read More Read More

Jenga mahusiano yako ya ndoa kwenye msingi huu

Jenga mahusiano yako ya ndoa kwenye msingi huu

Rafiki, mahusiano ya ndoa yanayodumu kwa muda mrefu na kuwa na furaha na amani yanatokana na kujengwa kwenye msingi imara. Msingi imara ni ule usioteteleka, usiooza wala kumomonyoka. Msingi ambao unajengwa kwenye vitu vinavyodumu badala ya kupita. Usijenge mahusiano yako ya ndoa kwa kutegemea uzuri wa mwili, uzuri huwa haudumu. Nywele hubadilika, rangi ya ngozi hufubaa na kusinyaa. Kuona kunapungua, kusikia nako kunapungua. Meno hung’ooka na mwili hupungua au kuongezeka. Kama ndoa na mahusiano yako umeyajenga kweny uzuri na muonekana…

Read More Read More

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi 2

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi 2

Rafiki, kuzaa si kazi, kazi kulea mwana. Ni msemo maarufu wa Kiswahili ukiweka bayana ugumu uliopo kwenye kulea watoto. Kwenye mahusiano ya ndoa, wanandoa lazima mjue njia na namna bora ya kuwalea watoto mtakao wazaa. Moja ya kitu muhimu kujua kwenye kulea watoto ni kile wanachokihitaji ili waweze kuwa watoto wenye maadili mema kwenye jamii na taifa kwa ujumla. Watoto wanahitaji mafundisho kuliko wanavyohitaji ushauri kutoka kwa wazazi au Walezi wao. Kama ulipitwa makala iliyotangulia juu kile ambacho watoto hukihtaji…

Read More Read More

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi

Watoto wanahitaji kitu hiki zaidi kutoka kwa wazazi na walezi

Rafiki, kuzaa mwana siyo kazi; kazi kulea mwana. Ni kauli muhimu sana ya Kiswahili inayosisitiza ugumu uliopo kwenye malezi ya watoto. Kulea ni kazi kubwa sana, tena ni wajibu mkubwa wa kila mzazi kushiriki. Mzazi au mlezi anategemewa kufanya mambo makuu mawili ambayo ni kulea na kumfundisha mtoto. Ulezi mzuri wa watoto lazima uhusishe mafundisho mazuri kwa watoto. Bahati mbaya ni kuwa; wazazi au walezi wengi huwa hawajui kuwa, muda mzuri wa kumfundisha mtoto ni kuanzia umri wa miaka 0…

Read More Read More

Kwenye mahusiano ya ndoa, malezi mazuri ni jukumu lenu wanandoa

Kwenye mahusiano ya ndoa, malezi mazuri ni jukumu lenu wanandoa

Rafiki, moja ya changamoto kubwa sana kwenye mahusiano ya ndoa ni malezi mazuri ya watoto. Bahati mbaya ni kuwa hakuna chuo au shule inayofundisha wazazi kulea watoto wao, bali kila mzazi analea kulingana na vile yeye alivyolelewa na wazazi wake. Bila shaka umeshawahi kusikia, moja ya kauli ama misemo maarufu sana kwenye jamii yetu, linapokuja suala la malezi mazuri au mabaya ya watoto wetu. Utamsikia mtu anasema “watoto wa siku hizi bwana” au kauli ya “watoto wa kidijitali, watoto wa…

Read More Read More

Haya ndiyo makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano

Haya ndiyo makusudi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano

Rafiki, tendo la ndoa linakusudi lake kwenye mahusiano ya ndoa. Likidanyika nje na makusudi yake, huwa linaleta matatizo, hatia, aibu, uoga, uchungu na hata kukata tamaa na maumivu ya moyo. Ni muhimu kujifunza na kujua ni nini hasa mkasudi ya tendo la ndoa na jinsi linvyoweza kuleta uhuru, furaha, amani na upendo kwenye ndoa. Makusudi ya tendo la ni pamoja na; 1. Tendo la ndoa ni kwa ajili ya kuzaliana. Hili ni kusudi ambalo kila mtu analifahamu. Hata mtoto mdogo,…

Read More Read More

Dhibiti na tawala hamu na njaa hii kwenye mahusiano yako ya ndoa

Dhibiti na tawala hamu na njaa hii kwenye mahusiano yako ya ndoa

Rafiki, zipo hamu au njaa nyingi kwenye mahusiano ya ndoa. Kuna hamu ya chakula, maji, usingizi, n.k . Lakini moja ya hamu muhimu ambayo inahitaji kulishwa na kushibishwa ni tendo la ndoa. Tendo la ndoa ni hitaji linalopaswa kutimizwa au wanandoa kutimiziana. Pamoja na ukweli huo, lakini tendo la ndoa ni zaidi ya hitaji. Ni hamu, ni kiu, ni njaa inayopaswa kushibishwa. Rafiki, unahitaji kujua kuwa, hamu yoyote ile tunaweza kuishibisha au kuikata kama watoto wa mjini wanavyoita. Si Hivyo…

Read More Read More

Kwenye mahusiano ya ndoa, mpe kitu hiki mwenza wako

Kwenye mahusiano ya ndoa, mpe kitu hiki mwenza wako

Rafiki, mahusiano ya ndoa yenyefuraha na amani huhitaji umakini wako kuliko kitu kingine chochote. Unahitaji umakini juu ya ndoa yako, lakini pia umakini wako juu ya mwenza wako. Kumpa umakini wako mwenza wako, ni kitu kidogo sana , siyo gharama kivile na hakichukui muda mrefu pia lakini madhara yake ni makubwa usipomfanyia mwenza wako. Umakini wako unaweza kufanyika kwa njia mbali mbali, ikiwemo kumpa pongezi na kutambua mchango wake kwenye kile anachofanya kwa ajili yako. Inaweza ikawa kumpongeza kwa kupika…

Read More Read More

Acha kudhania unampenda au unapendwa badala yake fanya hivi

Acha kudhania unampenda au unapendwa badala yake fanya hivi

Rafiki, kwenye mahusiano ya ndoa siku zote, upendo huoneshwa mara kwa mara badala ya kudhania au kufikiri unapendwa au unapendwa. Kamwe usidhani kwamba mwenza wako anajua unapenda bali, unapaswa kumwambia.Na hata kama ulimwambia jana kwamba unampenda, mwambie na leo tena, na kesho na kesho kutwa tena na tena. Mwenza wako anahitaji kusikia kila siku, kila wakati kwamba unampenda, hivyo mwambie mke au mume wako kwamba unampenda, hata kama anaonekana ni imara, bado anahitaji kuatamkiwa na wewe kwamba anapendwa. Muoneshe kwa…

Read More Read More